Uchaguzi 2020 Tundu Lissu, Kama Kutia nia tu unapitisha bakuli. Ukipewa nchi si Tutakuwa ombaomba?

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu, Kama Kutia nia tu unapitisha bakuli. Ukipewa nchi si Tutakuwa ombaomba?

inawezekana lisu anataka kuingiza fedha haramu kwenye mzunguko kwa kisingizio cha michango.haiingii akilini kabisa.
 
Walevi hawa Wezi sana

Wao kila kitu lazima watupie namba ya simu kutapeli

Hawa tukiwatosa ndio watahamia kule '…rusha kwenye namba hii…'
 
Hiki kitendo cha Mh Tundu Lissu kuja na kampaini ya kuchangisha pesa za kumuwezesha katika mchakato wa kugombea Urais ninakiona kama ni kitendo cha aibu na cha kihuni kabisa.
View attachment 1479960

Haiwezekani kutia Nia tu ya kugombea a
pitishe bakuli. Inamaana uwezo wake wa mwisho wa kufikiria jinsi ya kupata pesa ni kuomba omba michango?

Hii ni aibu kwa chama na viongozi wa CHADEMA mnatakiwa mmzuie hii tabia. Yani mchakato ndyo unaanza yeye anaomba kuchangiwa kwani yeye ndye nani? Mbona wenzake hawajapitisha bakuli.

Honestly, Tundu Lisu nimekushusha sana kwa hili. Tunajua ulipata matatizo but usiwe kama wale walemavu ambao mwisho wao wa kufikiria jinsi ya kupata pesa ni kuwa ombaomba. Hebu kuwa mbunifu, you are so smart than this, achana na Mabakuli. Tutaogopa kukupa nchi kama akili yako inafikiria kuombaomba tu.
View attachment 1479961
Huyu anajua urais hapati bali anatumia nafasi hii yeye binafsi na genge lililoko nyuma yake kujinufaisha
 
The idea is to make it known how much support he garners from tha mass
 
Mi nishaachaga kufatilia siasa zake toka ahamie Ubelgiji

hana Jipya
 
Hiki kitendo cha Mh Tundu Lissu kuja na kampaini ya kuchangisha pesa za kumuwezesha katika mchakato wa kugombea Urais ninakiona kama ni kitendo cha aibu na cha kihuni kabisa.
View attachment 1479960

Haiwezekani kutia Nia tu ya kugombea a
pitishe bakuli. Inamaana uwezo wake wa mwisho wa kufikiria jinsi ya kupata pesa ni kuomba omba michango?

Hii ni aibu kwa chama na viongozi wa CHADEMA mnatakiwa mmzuie hii tabia. Yani mchakato ndyo unaanza yeye anaomba kuchangiwa kwani yeye ndye nani? Mbona wenzake hawajapitisha bakuli.

Honestly, Tundu Lisu nimekushusha sana kwa hili. Tunajua ulipata matatizo but usiwe kama wale walemavu ambao mwisho wao wa kufikiria jinsi ya kupata pesa ni kuwa ombaomba. Hebu kuwa mbunifu, you are so smart than this, achana na Mabakuli. Tutaogopa kukupa nchi kama akili yako inafikiria kuombaomba tu.
View attachment 1479961
hii ni fursa kwa wafanyabiashara ua wazee wa kubet wamuunge mkono bahati mbaya anaweza akawa laisi akajawalipa ila kuwa raisi si rahisi
 
Hiki kitendo cha Mh Tundu Lissu kuja na kampaini ya kuchangisha pesa za kumuwezesha katika mchakato wa kugombea Urais ninakiona kama ni kitendo cha aibu na cha kihuni kabisa.
View attachment 1479960

Haiwezekani kutia Nia tu ya kugombea a
pitishe bakuli. Inamaana uwezo wake wa mwisho wa kufikiria jinsi ya kupata pesa ni kuomba omba michango?

Hii ni aibu kwa chama na viongozi wa CHADEMA mnatakiwa mmzuie hii tabia. Yani mchakato ndyo unaanza yeye anaomba kuchangiwa kwani yeye ndye nani? Mbona wenzake hawajapitisha bakuli.

Honestly, Tundu Lisu nimekushusha sana kwa hili. Tunajua ulipata matatizo but usiwe kama wale walemavu ambao mwisho wao wa kufikiria jinsi ya kupata pesa ni kuwa ombaomba. Hebu kuwa mbunifu, you are so smart than this, achana na Mabakuli. Tutaogopa kukupa nchi kama akili yako inafikiria kuombaomba tu.
View attachment 1479961
Wabunge wa Chadema walikuwa wanakatwa pesa kila mwezi kutoka katika mishahara yao ili itumike kwenye kampeni za uchaguzi, bakuli za nini tena?
 
Asingeomba, ungesema pia amepata wapi pesa za kuendesha kampeni. Ungesema amepewa pesa na mabeberu na ungetaka kujua atazirejeshaje!

Hakuna jambo mswahili atalipenda!! Usijihusishe na uchangiaji kwa Lissu, waache watakaopenda kuchanga wachange! Hata hapa nyumbani kuchangia harusi hakutumiki kama kashfa kwa bwana harusi!!
 
Chadema wanatuaminisha ili kiongozi awe mzuri ni lazima awe na uwezo mkubwa wa pesa sasa hili la Tundu Lissu kuomba michango sijui chadema sijui wanalionaje
 
Hiki kitendo cha Mh Tundu Lissu kuja na kampaini ya kuchangisha pesa za kumuwezesha katika mchakato wa kugombea Urais ninakiona kama ni kitendo cha aibu na cha kihuni kabisa.
View attachment 1479960

Haiwezekani kutia Nia tu ya kugombea a
pitishe bakuli. Inamaana uwezo wake wa mwisho wa kufikiria jinsi ya kupata pesa ni kuomba omba michango?

Hii ni aibu kwa chama na viongozi wa CHADEMA mnatakiwa mmzuie hii tabia. Yani mchakato ndyo unaanza yeye anaomba kuchangiwa kwani yeye ndye nani? Mbona wenzake hawajapitisha bakuli.

Honestly, Tundu Lisu nimekushusha sana kwa hili. Tunajua ulipata matatizo but usiwe kama wale walemavu ambao mwisho wao wa kufikiria jinsi ya kupata pesa ni kuwa ombaomba. Hebu kuwa mbunifu, you are so smart than this, achana na Mabakuli. Tutaogopa kukupa nchi kama akili yako inafikiria kuombaomba tu.
View attachment 1479961
unahitaji kuelimishwa kidogo ndugu kuhusu michango ya kampeni.

hata wawania urais wa nchi kama USA (akiwemo tajiri Donald Trump) huwa nao wanatembeza bakuli kwenye kampeni.

usiishie kusoma Uhuru, Tanzanite, Jamvi tu au kuangalia tv channels za TBC, Channel 10, ITV tu.
jishughulise kufuatilia kwenye vyombo vya habari vinavyoeleweka!
 
Hiki kitendo cha Mh Tundu Lissu kuja na kampaini ya kuchangisha pesa za kumuwezesha katika mchakato wa kugombea Urais ninakiona kama ni kitendo cha aibu na cha kihuni kabisa.
View attachment 1479960

Haiwezekani kutia Nia tu ya kugombea a
pitishe bakuli. Inamaana uwezo wake wa mwisho wa kufikiria jinsi ya kupata pesa ni kuomba omba michango?

Hii ni aibu kwa chama na viongozi wa CHADEMA mnatakiwa mmzuie hii tabia. Yani mchakato ndyo unaanza yeye anaomba kuchangiwa kwani yeye ndye nani? Mbona wenzake hawajapitisha bakuli.

Honestly, Tundu Lisu nimekushusha sana kwa hili. Tunajua ulipata matatizo but usiwe kama wale walemavu ambao mwisho wao wa kufikiria jinsi ya kupata pesa ni kuwa ombaomba. Hebu kuwa mbunifu, you are so smart than this, achana na Mabakuli. Tutaogopa kukupa nchi kama akili yako inafikiria kuombaomba tu.
View attachment 1479961
Bora kuwaomba kuliko kuwaibia....aisee kila nikikumbuka 1.5 trillion nasikitika Sana....
 
Mleta mada sidhani kama unajua unaishi karne ipi! anyway, umeonyesha ulivyo mbumbumbu wa mambo yanayondelea duniani kwa miaka mingi sasa.
 
Mbona hata awamu ya 5 imekuwa ombaomba zaidi hata ya awamu ya 4!!
 
Mgombea anaetumia pesa za mchango katika harakati za kuomba Uongozi, ni Mgombea makini na msafi zaidi. Duniani kote Wanasiasa makini huchangisha pesa za Kampeni ya uchaguzi. Hata Trump na utajiri wake wote amechangisha pesa za Kampeni. Tufiche ujinga wetu wakati mwingine.
 
unahitaji kuelimishwa kidogo ndugu kuhusu michango ya kampeni.

hata wawania urais wa nchi kama USA (akiwemo tajiri Donald Trump) huwa nao wanatembeza bakuli kwenye kampeni.

usiishie kusoma Uhuru, Tanzanite, Jamvi tu au kuangalia tv channels za TBC, Channel 10, ITV tu.
jishughulise kufuatilia kwenye vyombo vya habari vinavyoeleweka!
Sasa wenzake wanakuwa wapo kwenye uwanja wa vita.
Sasa yeye hela za nini wakati mawasiliano yote ni kwa whatsapp na youtube. ...au anataka akusanye za kununulia BUNDLE?
 
Back
Top Bottom