LGE2024 Tundu Lissu: Kama Mnaogopa Mabomu, Mkalale Mshughulikiwe na CCM. Ukiogopa Mabomu Kalale Uchunwe Ngozi na CCM

LGE2024 Tundu Lissu: Kama Mnaogopa Mabomu, Mkalale Mshughulikiwe na CCM. Ukiogopa Mabomu Kalale Uchunwe Ngozi na CCM

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Makamu Mwenyekiti CHADEMA upande wa Bara Tundu Lissu, amewataka wanachama wa chama hicho kutokuwa waoga katika kukabiliana na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchauzi huu wa Serikali za Mitaa na kuwataka kutokuwa waoga wa mabomu. Lissu ameyasema hayo wakati akisalimiana na wananchi wa Kata ya Lamadi wilayani Busega Mkoa wa Simiyu, Leo Novemba 21, 2024 akiwa njiani kuelekea Wilaya ya Tarime mkoani Mara, ambapo jioni atakuwa na mkutano wa hadhara wa kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27.
 
Makamu Mwenyekiti CHADEMA upande wa Bara Tundu Lissu, amewataka wanachama wa chama hicho kutokuwa waoga katika kukabiliana na Chama Cha Mapinduzi, Mhe. Lissu meyasema hayo wakati akisalimiana na wananchi wa kata ya Lamadi wilayani Busega Mkoa wa Simiyu, Leo Nov 21, 2024 akiwa njiani kuelekea Wilaya ya Tarime mkoani Mara, ambapo jioni atakuwa na mkutano wa hadhara wa kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
View attachment 3157692
YEYE MWENYEWE HUWAGA ANAKIMBIA ANAMUACHIA MBOWE NA BINTI YAKE WAANDAMANE NAYEYE NI MUOGA WA MABOMU ASIWADANGANYE KIBOKO YAKE NI MBOWE TU HUYU MHUNI
 
Makamu Mwenyekiti CHADEMA upande wa Bara Tundu Lissu, amewataka wanachama wa chama hicho kutokuwa waoga katika kukabiliana na Chama Cha Mapinduzi, Mhe. Lissu meyasema hayo wakati akisalimiana na wananchi wa kata ya Lamadi wilayani Busega Mkoa wa Simiyu, Leo Nov 21, 2024 akiwa njiani kuelekea Wilaya ya Tarime mkoani Mara, ambapo jioni atakuwa na mkutano wa hadhara wa kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
View attachment 3157692
Hii ndio njia sahihi ya kuweza kuikabili CCM. Ni mwendo wa jino kwa jino, jicho kwa jicho, kuchomwa Moto kwa kuchoma moto!
 
Makamu Mwenyekiti CHADEMA upande wa Bara Tundu Lissu, amewataka wanachama wa chama hicho kutokuwa waoga katika kukabiliana na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchauzi huu wa Serikali za Mitaa na kuwataka kutokuwa waoga wa mabomu. Lissu ameyasema hayo wakati akisalimiana na wananchi wa Kata ya Lamadi wilayani Busega Mkoa wa Simiyu, Leo Novemba 21, 2024 akiwa njiani kuelekea Wilaya ya Tarime mkoani Mara, ambapo jioni atakuwa na mkutano wa hadhara wa kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27.
True
 
Yeye watoto wake na mke wake wako Ubelgiji, wanalipwa na serikali ya huko mamia ya mamilioni. Sisi anataka tupigwe mabomu, wakati miguu yetu ndio inatupa riziki. Na hawajawahi kuwatembelea makada wa chadema waliopata vilema kwa shughuli za chama. Anapiga mdomo tu na kuondoka
 
ChiChieM, mwendo ni ukiChimama NChale, ukikimbia nchale, ukilala nchale.

Mkiwapinga wanawateka, mkikaa kimya wanakula mali za umma, mkiandamana mnakula mkong'oto.
 
Yeye watoto wake na mke wake wako Ubelgiji, wanalipwa na serikali ya huko mamia ya mamilioni. Sisi anataka tupigwe mabomu, wakati miguu yetu ndio inatupa riziki. Na hawajawahi kuwatembelea makada wa chadema waliopata vilema kwa shughuli za chama. Anapiga mdomo tu na kuondoka
Wewe huogopi Panya?🐼
 
Back
Top Bottom