LGE2024 Tundu Lissu: Kama Mnaogopa Mabomu, Mkalale Mshughulikiwe na CCM. Ukiogopa Mabomu Kalale Uchunwe Ngozi na CCM

LGE2024 Tundu Lissu: Kama Mnaogopa Mabomu, Mkalale Mshughulikiwe na CCM. Ukiogopa Mabomu Kalale Uchunwe Ngozi na CCM

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Yeye watoto wake na mke wake wako Ubelgiji, wanalipwa na serikali ya huko mamia ya mamilioni. Sisi anataka tupigwe mabomu, wakati miguu yetu ndio inatupa riziki. Na hawajawahi kuwatembelea makada wa chadema waliopata vilema kwa shughuli za chama. Anapiga mdomo tu na kuondoka
Mnataka kuwaua tena?
 
HOTUBA YA KIOGA HAIJAWAHI TOKEA YAANI ANAWASUSIA WANANCHI YEYE ANAKIMBIA UGHAIBUNI ANAWAACHA WAO WASIO NA AKILI WAANDAMANE MJINGA TU NDIYO ANAWEZA KUFANYA HIVYO
Dada angu siyo kila jambo lazima uchangie mengine yapo nje ya uwezo wa akili yako. Asante
 
Yeye watoto wake na mke wake wako Ubelgiji, wanalipwa na serikali ya huko mamia ya mamilioni. Sisi anataka tupigwe mabomu, wakati miguu yetu ndio inatupa riziki. Na hawajawahi kuwatembelea makada wa chadema waliopata vilema kwa shughuli za chama. Anapiga mdomo tu na kuondoka
Bora wazazi wako wangepiga punyeto, hii ni asara kwa taifa
 
Back
Top Bottom