SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Wacha nyodo Mkuu. Haikusaidii. Jikite kwenye hoja.nakwambia unakwenda kweye levelllllllllll
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha nyodo Mkuu. Haikusaidii. Jikite kwenye hoja.nakwambia unakwenda kweye levelllllllllll
Umeambiwa usivae mzeeNguo za Chadema [emoji3][emoji91]
Naomba umfikishie Lissu hizi ushauri, zitamsaidiaUnaonekana kuwa na ushauri mwingi kwa Lissu. Kama hafanyi vyema si ilikuwa ni faida zaidi kwenu?
View attachment 2790459
Hapo juu kwake unaukumbuka pia?
Sina uhusiano na Lumumba. Niko huru, nakosoa popote kwa masilahi ya Taifa. Siyo nyinyi mnaunga mkono ujinga wa Lissu/ MbowebIla kuwasahau Huihui2 UmkhontoweSizwe ujumbe huu unawahusu sana Lumumba pale
mpaka sasa lisu na mbowe hawaangaliani macho kwa macho. Wakiangaliana basi ni kwa aibu na unafiki wa kiwango cha 5G.Kwa lugha ya staha na hekima kubwa, mwanasiasa nguli huyu asikilizwe:
View attachment 2790323
Nyuzi mbili hIzi zinahusika:
1. "CHADEMA, Wanaharakati waalikeni waungwana mpatanishwe"
2. "Heko CCM: Wao wakifarakana, wewe kandamiza hapo hapo!"
Mafarakano ya nini wandugu?
View attachment 2790357
Kupigania haki ndiko kunako tukutanisha. Kulikoni tusikomae na adui yetu?
CCM project haiwezi kuwa kutafuta mapatano yetu. Bali kupalilia mafarakano.
Yani ukitumwa watu wa lumumba unakuja kunichukua mimi? Mimi huyu kabisa?bIla kuwasahau Huihui2 UmkhontoweSizwe ujumbe huu unawahusu sana Lumumba pale
Yani ukitumwa watu wa lumumba unakuja kunichukua mimi? Mimi huyu kabisa?
Sina uhusiano na Lumumba. Niko huru, nakosoa popote kwa masilahi ya Taifa. Siyo nyinyi mnaunga mkono ujinga wa Lissu/ Mbowe
Naomba umfikishie Lissu hizi ushauri, zitamsaidia
Tafuta level yako, mimi na block takataka zote ambazo siyo level yangu! Kama una argue mechanically, tafuta walio wako huko. Kama una argue philosophically njoo tuzungumze...... let us present our arguments syllogistically!....Wacha nyodo Mkuu. Haikusaidii. Jikite kwenye hoja.
Huyo SYLLOGIST! hajui principles za syllogismTafuta level yako, mimi na block takataka zote ambazo siyo level yangu! Kama una argue mechanically, tafuta walio wako huko. Kama una argue philosophically njoo tuzungumze...... let us present our arguments syllogistically!....
When the major statement is wrong, whatever attractive the minor statement might be, the conclusion will be wrong!......................................nadhani unanielewa.
KWAHERI
Tafuta level yako, mimi na block takataka zote ambazo siyo level yangu! Kama una argue mechanically, tafuta walio wako huko. Kama una argue philosophically njoo tuzungumze...... let us present our arguments syllogistically!....
When the major statement is wrong, whatever attractive the minor statement might be, the conclusion will be wrong!......................................nadhani unanielewa.
KWAHERI
Tafuta level yako, mimi na block takataka zote ambazo siyo level yangu!
Nenda ka Block basi, sio kumaka maka tu.Kama una argue mechanically, tafuta walio wako huko. Kama una argue philosophically njoo tuzungumze...... let us present our arguments syllogistically!....
HuelewekiWhen the major statement is wrong, whatever attractive the minor statement might be, the conclusion will be wrong!......................................nadhani unanielewa.
KWAHER
Kama kwa muono wako mada haimgusi mtu, utakuwa na matatizo makubwa kichwani.
Mada inatokana maongezi kati ya lisu na diaspora.
Hao wanaosemwa na lisu kuongea lugha ya ccm ni watu? Au ni nyumbu!
Usizunguke sana, it's about traitors led by mbowe.Lugha ya CCM imeelezwa wazi kuwa no lugha ya mafarakano.
Usizunguke sana, it's about traitors led by mbowe.
Kwahio hii NDIO justification kuwa CHADEMA Kuna mgogoro?