Hawa jamaa wameanza kuchanganyikiwa kabla ya mchakamchaka kuanza.
Mara tutaingia barabarani tukishindwa uchaguzi
Angalia sasa et wataenda kuchukua fomu tarehe 08/08/2020, siku ambayo ni sikukuu ya kitaifa ambapo ofis zote zitakuwa zimefungwa, hata ingekuwa siyo siku ya sikukuu siku hiyo ni jumamos.
Jamaa wanatengeneza drama ili ionekane wamenyimwa fomu .