Pre GE2025 Tundu Lissu: Kuhusu jinsi gani tutazuia Uchaguzi kila mtu ajiongeze. Hivi wote tukilala barabarani watatuua wangapi?

Pre GE2025 Tundu Lissu: Kuhusu jinsi gani tutazuia Uchaguzi kila mtu ajiongeze. Hivi wote tukilala barabarani watatuua wangapi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Hivi wananchi watakubali kweli kwenda kulala barabarani ili kuipa pressure serikali ili kuzuia Uchaguzi usifanyike?

Hizi njia anazotaka kutumia Lissu mbona zinaanza kutia shaka?

Siku ya leo akiwa Ikungi Singida, Lissu amesema:

"Tutazuiaje, kila mtu na ajiongeze. Ikungi hapa tukilala barabarani, wananchi wote tukilala barabarani watatuua wangapi? Tukikinukisha sawasawa, na tunasema haya mchana kweupe, tutazuia Uchaguzi"

 
Zamani nilijua ukiwa na kichwa kikubwa unakuwa na akili

USSR
 
Wakuu,

Hivi wananchi watakubali kweli kwenda kulala barabarani ili kuipa pressure serikali ili kuzuia Uchaguzi usifanyike?

Hizi njia anazotaka kutumia Lissu mbona zinaanza kutia shaka?

Siku ya leo akiwa Ikungi Singida, Lissu amesema:

"Tutazuiaje, kila mtu na ajiongeze. Ikungi hapa tukilala barabarani, wananchi wote tukilala barabarani watatuua wangapi? Tukikinukisha sawasawa, na tunasema haya mchana kweupe, tutazuia Uchaguzi"

Kujiongeza maana yake ni fujo. Sasa serikali ipo kwenye notisi, fanyeni mabadiriko kabla hawajajiongeza
 
Lissu ni useless hopeless 💩 yaani yeye hajawahi kuwa na akili mbadala...
CCM Daima milele
 
Wakuu,

Hivi wananchi watakubali kweli kwenda kulala barabarani ili kuipa pressure serikali ili kuzuia Uchaguzi usifanyike?

Hizi njia anazotaka kutumia Lissu mbona zinaanza kutia shaka?

Siku ya leo akiwa Ikungi Singida, Lissu amesema:

"Tutazuiaje, kila mtu na ajiongeze. Ikungi hapa tukilala barabarani, wananchi wote tukilala barabarani watatuua wangapi? Tukikinukisha sawasawa, na tunasema haya mchana kweupe, tutazuia Uchaguzi"

Heheheh
 
CCM mtamkumbuka Mbowe na tuliwaambia.

 
Wananchi wazalendo wa taifa hili tuko tayari kulala barabarani kutaka tume huru ya uchaguzi na polisi hawawezi kuishinda nguvu ya umma
 
Magari ya washa washa yameletwa mapya kabisa so jichanganyeni muone
 
Wakuu,

Hivi wananchi watakubali kweli kwenda kulala barabarani ili kuipa pressure serikali ili kuzuia Uchaguzi usifanyike?

Hizi njia anazotaka kutumia Lissu mbona zinaanza kutia shaka?

Siku ya leo akiwa Ikungi Singida, Lissu amesema:

"Tutazuiaje, kila mtu na ajiongeze. Ikungi hapa tukilala barabarani, wananchi wote tukilala barabarani watatuua wangapi? Tukikinukisha sawasawa, na tunasema haya mchana kweupe, tutazuia Uchaguzi"

Granted, this strategy may not work, but the truth is CCM will never voluntarily make any meaningful reforms. Inahitaji kulazimishwa by all means necessary. Sasa ni miongo zaidi ya mitatu tangu Tume ya Nyalali ilipopendekeza hizi reforms ambazo wapinzani wamekuwa wakizidai year in year out, lakini CCM na Serikali yake imeweka pamba masikioni. So, kuilazimisha CCM hakuepukiki, kama wapinzani kweli wanataka reforms zifanyike!
 
Back
Top Bottom