Tukumbuke hii wizara ya mawasiliano ilikuwa chini ya Nape na yuko tayari kumsaidia Lissu inasemekana🀣
 
Tukumbuke hii wizara ya mawasiliano ilikuwa chini ya Nape na yuko tayari kumsaidia Lissu inasemekana🀣
 
Jiwe alikuwa mtu hatari sana
 
Waulize Interceptor ilitengenezwa kwa ajili ya nini? Wanaenda kwenye Kampuni ya Mawasiliano wakiwa wana data zote! Just to complete the legal process. Wamuulize pia Snowden atawafundisha mambo yalivyo duniani.
 
Silikumbuki weka details zaidi including mwaka na kampuni husika
 
Nape alifukuzwa 2017 kabla Lisu hajapigwa risasi
 
babu hapo hakuna cha kienyeji nimeelezea vyema tu isipokuwa baadhi ya watu wao kila kitu ni pingapinga haswa kikiwa ni kitu ambacho hakipo ktk mlengo wao!,msijifunike sana mtashindwa kuona shauli yenu...πŸ˜‚
Tukuamini we nani? We cdf au?we waziri au,we ndio mwenye akili sana kuliko wanasheria wa huko Uk au? Kwamba ilo sakata we ndio unalijua zaidi sanaaa au!? Acha mbwembwe kiazi mkubwa wewe!
 
Uelewa wako ni mdogo sana hata sasa hivi wakitaka data zako wanapata tu. Na ni duniani kote wanafanya hivyo.
Tulia ,tusubirie kesi ianze kusikilizwa tutajua mengi tu, jiwe saizi yupo motoni,


Samia muungwana kulinganisha na jiwe
 
Tukuamini we nani? We cdf au?we waziri au,we ndio mwenye akili sana kuliko wanasheria wa huko Uk au? Kwamba ilo sakata we ndio unalijua zaidi sanaaa au!? Acha mbwembwe kiazi mkubwa wewe!
au sio mi kenzy kama kenzy..πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…