Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Prostitute wewe! Ntakupphila bila kyOooh amekuja nimfyutue!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Prostitute wewe! Ntakupphila bila kyOooh amekuja nimfyutue!!
Ni kiki mkuu hakuna kitu hapoNilisema hapa
Mipango 😂😂😂
Amsterdam tena? 🐼
Shithole!Prostitute wewe! Ntakupphila bila ky
Au yule Yukashenko alichokumbana nacho kwa Russia.Watz wengi ni wafuata upepo tu wangejiuliza tu kwanini Snowden alikimbia baada ya kutoa siri za Marekani kuwafuatilia viongozi wa EU kupitia mitandao ya mawasiliano!!?
kuna video fulani ya jiwe akiwa ikulu nafikiri wakati ule wa sakata la barrick kuna maneno alizungumza nafikiri unaweza ukapata mwanga ukiiangalia na ukiwa makini zaidi itajibu swali lako pia...😂Kwahiyo serikali ilitaka taarifa za Lissu ili Imuongezee mshahara? Ujue unaongea na watu wazima sio watoto wa UVCCM.
Uwage unaelewa na wewe 😂🔥Nape alifukuzwa 2017 kabla Lisu hajapigwa risasi
Hii kesi Nape na makamba wanaipenda sana kwasababu wabaya wao wakina Makonda hawana pa kukimbilia tena na kibaya zaidi inaelekea wale vijana wapigaji risasi wanajulikana sasa na team ya Lissu imeshapewa majina. Tukumbuke hii wizara ya mawasiliano ilikuwa chini ya Nape na yuko tayari kumsaidia Lissu inasemekana
Hii nayo ni kesi mpya! Ile ya Lissu Vs Tigo haijaanza sasa wewe unatujuza nyingine, haya tusubiri ipi itashinda.Hii kesi Nape na makamba wanaipenda sana kwasababu wabaya wao wakina Makonda hawana pa kukimbilia tena na kibaya zaidi inaelekea wale vijana wapigaji risasi wanajulikana sasa na team ya Lissu imeshapewa majina. Tukumbuke hii wizara ya mawasiliano ilikuwa chini ya Nape na yuko tayari kumsaidia Lissu inasemekana
Hii nayo ni kesi mpya! Ile ya Lissu Vs Tigo haijaanza sasa wewe unatujuza nyingine, haya tusubiri ipi itashinda.
Hao vijana wauaji walioshirikiana na kiongozi wa wauaji watajwe tu,. Mambo yasiwe mengi
Patamu hapo hebu rudia tenaTukumbuke hii wizara ya mawasiliano ilikuwa chini ya Nape na yuko tayari kumsaidia Lissu inasemekana
Yule ni shetani mwenyewe. UsishangaeHalafu juzi kati yule wa A Town anajidai kushusha maombi ya kuwalaani watumishi wa Mungu walio toa matamko ya kukemea utekaji na mauaji akiwaita watumishi wa Mungu feki ilihali yeye kumbe ana tuhuma nzito za kuongoza wasiojulikana.
Uwage unaelewa na wewe 😂🔥