stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Nape na Makamba Ndio walio ochastrate hii mambo... Bahati mbaya Watu wanaingiza issue ya Makonda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaeelekea mtashindwa kuitetea CCM huko mbeleniKumekucha 😂
Unaamini huu usanii wa Lissu?Wangeruhusu maandamano na kupunguza vijembe kejeli dharau na kebehi haya yasingewakuta
Acha habari zako na wewe, unamchafuje aliyejipaka kinyesi wakati keshachafuka.Haina haja ya kuwa na akili timamu kama kuona Tangu Makamba kutimuliwa, Samia amekuwa akishutumiwa na kusumbuliwa na Watu wale wale ambao walimsumbua Magufuli.
Makamba and Co. Wanatumia nguvu za media kumchafua huyu mama, unfortunately mama wa Watu si mwanasiasa wa mikikimikiki
Ignorance is eating Africa. Hili swali niliwahi kupata alama , 💯 %au sio! hapo wanajisumbua tu hao wazungu wanawahadaa watu wasio na akili ipo hivi...
Hakuna serikali iwe inamamlaka za ulinzi(intelijensia),halafu isifatilie taarifa, taarifa ni muhimu ktk namna yoyote ile na moja kati ya vyanzo vya taarifa ni mitandao ya mawasiliano na mitandao yakijamii,,,
Ndio wamemwambia bwana Clifford aende akafungue kesi kule London? Miaka minne TIGO walikuwa wanapambana kuzuia kesi isisikilizwe public?Nape na Makamba Ndio walio ochastrate hii mambo... Bahati mbaya Watu wanaingiza issue ya Makonda
Na twalisulubu sana shetani kubwa lileKatika mizimu ya marais waliofariki ambao unateseka, ni wa JPM, kila mwaka lazima uibuliwe usulubiwe
Basi,na Mungu wetu alivyo mkuu , akaamua kesi, leo Victim X bado yupo....👏👏👏au sio! hapo wanajisumbua tu hao wazungu wanawahadaa watu wasio na akili ipo hivi...
Hakuna serikali iwe inamamlaka za ulinzi(intelijensia),halafu isifatilie taarifa, taarifa ni muhimu ktk namna yoyote ile na moja kati ya vyanzo vya taarifa ni mitandao ya mawasiliano na mitandao yakijamii.
...
Kampuni ya Apple,inayotengeneza simu za iphone,miaka michache iliyopita iliigomea F.B.I kulifungua lock simu fulani aina ya iphone iliyokuwa imedondishwa na kijana mmoja aliyekuwa na asili ya kiarabu aliyekuwa anashukiwa kuwa ni gaidi ila alofanikiwa kuikimbia nchi ya Marekani,Apple waligoma katakata kui unlock simu hiyo ambayo F.B.I wenyewe walikuwa wamechemka kulifungua lock yake,Apple walikataa huku wakilondwa na Sheria za kulinda faragha za wateja wao.haha! kama mimi nina fix jana mmiliki wa telegram ameachiwa baada yakukubali kuwa anatoa taarifa za watumiaji wa telegram!, takribani wiki 3 telegram ilifungiwa ikawa huwezi kutumia bila vpn haya kama unayo fungua sasahivi bila vpn uone kama kitu hakifanyi kazi...
Amsterdam tena? Hivi huyu mtu wa Lisu ndio nani hasa ?Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara amezungumza hayo mbele ya wanahabari leo, Jumatano Septemba 25.2024 na kueleza kuhusu Tigo kuhusika na tukio lake la kushambuliw...
- Tundu Lissu: Aliyeongoza Kikosi cha wauaji walioagizwa kuniua ni Paul Makonda, ndio maana Marekani ilimzuia
Tatizo ni kwa itaratibu gani? Kufanya hivyo inahitaji uwe na kibali cha mahakama....au sio! hapo wanajisumbua tu hao wazungu wanawahadaa watu wasio na akili ipo hivi.,,,
Lucifer kabisaMagu was for sure an evil person..alikosa utu kwa kiwango kikubwa cha juu mnoo
Una ushahidi katika hili?Tulia ,tusubirie kesi ianze kusikilizwa tutajua mengi tu, jiwe saizi yupo motoni,
Samia muungwana kulinganisha na jiwe