johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Inawezekana ni kakikundi fulani tu ndani ya TIGO ndio walishirikiana na hao Majambazi waliokuwa wanafuatilia nyendo za Lissu.
Hakuna ugumu wowote wa Serikali Kufuatilia nyendo za Mbunge inapolazimu.
Lisu alikuwa anaishi kwenye nyumba ya Serikali sasa hadi uhangaike na akina TIGO kumfuatilia? 🐼
Tamthiliya ya Jumong ina mafundisho yote haya.
Ahsanteni sana 😄
Hakuna ugumu wowote wa Serikali Kufuatilia nyendo za Mbunge inapolazimu.
Lisu alikuwa anaishi kwenye nyumba ya Serikali sasa hadi uhangaike na akina TIGO kumfuatilia? 🐼
Tamthiliya ya Jumong ina mafundisho yote haya.
Ahsanteni sana 😄