Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutumia TiGO ndo utu uzima?Punguza utoto dogo.
the gentleman is completely physically and mentally unfit for anything. Tuwe na huruma tu ndrugo zango, na tumuombee sana, but bila kuvunja sheria, taratibu wala katiba ya nchi katika kufanya hivyo..Lissu kaenda kuishtaki Tigo na Serikali ya Tanzania kwa Mahakama ya Mzungu na wakili mzungu then anarudi tena kuja kuomba uongozi kwenye nchi ile ile ambayo kaiweka mahakamani na kasema akishinda kesi anataka kukamata mali za Tanzania kama fidia. Yani nchi unayosema utaifisili kupitia mahakama za Uingereza hiyo hiyo ndo unatamani pia kuja kuwa kiongozi wake? Lissu anajielewa kweli?
USSR
View attachment 3119700
huyo ndo tunamtaka siyo mnafiki anatufaaTundu Lissu anaishitaki nchi au anaishitaki serikali?@ussr, naomba ujifunze kutofautisha kati ya nchi na serikali.
Kinyume na hapo basi ijulikane kwamba dhumuni lako ni kupotosha umma, kumchafua Tundu Lissu, na kumchonganisha na wananchi wa Tanzania
ccm ni laana kwa taifa na serikali yake ndo watakokotwa mahakamani ili nchi yetu iwe salamaLisu aliyesoma kwa kodi za watanzania amegeuka laana kwa taifa
Uzi uishie hapa na mleta mada asiwe mvivu kufikiriTundu Lissu anaishitaki nchi au anaishitaki serikali? USSR, naomba ujifunze kutofautisha kati ya nchi na serikali.
Kinyume na hapo basi ijulikane kwamba dhumuni lako ni kupotosha umma, kumchafua Tundu Lissu, na kumchonganisha na wananchi wa Tanzania
Ameshasema jukumu la kugombea litakuwa kwa ridhaa ya chama. Si yeye so bafonhakuna uhakika huoLissu kaenda kuishtaki Tigo na Serikali ya Tanzania kwa Mahakama ya Mzungu na wakili mzungu then anarudi tena kuja kuomba uongozi kwenye nchi ile ile ambayo kaiweka mahakamani na kasema akishinda kesi anataka kukamata mali za Tanzania kama fidia. Yani nchi unayosema utaifisili kupitia mahakama za Uingereza hiyo hiyo ndo unatamani pia kuja kuwa kiongozi wake? Lissu kichwani yuko sawa kweli?
USSR
View attachment 3119700
Kuna siku alisema wanae kamwe hawawezi kusoma shule za TZ,wakati anatoa hiyo kauli desk la 3 toka kwangu yuko mtoto wa mizengo pinda kipindi iko ni pm,toka pale nikanote kituLisu aliyesoma kwa kodi za watanzania amegeuka laana kwa taifa
Yuko sawa haishtaki nchi ya Tanzania bali anawashtaki Tigo.Lissu kaenda kuishtaki Tigo na Serikali ya Tanzania kwa Mahakama ya Mzungu na wakili mzungu then anarudi tena kuja kuomba uongozi kwenye nchi ile ile ambayo kaiweka mahakamani na kasema akishinda kesi anataka kukamata mali za Tanzania kama fidia. Yani nchi unayosema utaifisili kupitia mahakama za Uingereza hiyo hiyo ndo unatamani pia kuja kuwa kiongozi wake? Lissu kichwani yuko sawa kweli?
USSR
View attachment 3119700