Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
Alifuatilia kupitia tigo?
Mbona mnaifanya JF kuonekana kuwa jamvi la vilaza?
Yes, kama wana mifumo nje ya hapo mbona walishindwa mkamata Kigogo2014 hadi wakatuma complaints 1000 ndio akaunti ikafungwa na twitter kwa muda. Likewise, kuna jf user anaitwa "fuhrer" alisakwa ila walishindwa mtrack hadi wakamkamata Melo awape taarifa za user yule. Same to kabendera ilibidi vodacom wampigie na kutoa location ya nyumba yake!! Hao TISS walikuwa wapi?

So hao jamaa hawana hizo akili au vifaa unavyowaza ni lazima watumie secondary sources mfano usajili wa mita za luku au location ya mnara ndio wajue ulipo.
 
Inawezekana ni kakikundi fulani tu ndani ya TIGO ndio walishirikiana na hao Majambazi waliokuwa wanafuatilia nyendo za Lisu

Hakuna ugumu wowote wa Serikali Kufuatilia nyendo za Mbunge inapolazimu

Lisu alikuwa anaishi kwenye nyumba ya Serikali sasa hadi uhangaike na akina TIGO kumfuatilia? 🐼

Tamthiliya ya Jumong ina mafundisho yote haya

Ahsanteni sana 😄
Wewe jamaa una mkia mdomoni au?
 
Yes, kama wana mifumo nje ya hapo mbona walishindwa mkamata Kigogo2014 hadi wakatuma complaints 1000 ndio akaunti ikafungwa na twitter kwa muda. Likewise, kuna jf user anaitwa "fuhrer" alisakwa ila walishindwa mtrack hadi wakamkamata Melo awape taarifa za user yule. Same to kabendera ilibidi vodacom wampigie na kutoa location ya nyumba yake!! Hao TISS walikuwa wapi?

So hao jamaa hawana hizo akili au vifaa unavyowaza ni lazima watumie secondary sources mfano usajili wa mita za luku au location ya mnara ndio wajue ulipo.
Kigogo huyu huyu Chawa wa Sukuma gang? 😂😂😂
 
Inawezekana ni kakikundi fulani tu ndani ya TIGO ndio walishirikiana na hao Majambazi waliokuwa wanafuatilia nyendo za Lisu

Hakuna ugumu wowote wa Serikali Kufuatilia nyendo za Mbunge inapolazimu

Lisu alikuwa anaishi kwenye nyumba ya Serikali sasa hadi uhangaike na akina TIGO kumfuatilia? 🐼

Tamthiliya ya Jumong ina mafundisho yote haya

Ahsanteni sana 😄
Unatakiwa kujua kuwa sio kila kitu kifanywacho na Government officers ni legal Government action vingine ni matumizi mabaya ya ofisi.
Sasa hayo matumizi mabaya ya ofisi haya fanywi kwa uwazi na hivyo yanapita njia za panya lakini yakibuma yanaigharimu Government nzima.
Jiwe alikuwa anaagiza mauaji kupitia watu wa vyombo vya dola lakini sio dola yenyewe, ndio maana huwezi kuta govt document amesaini kuagiza mambo hayo.
 
Hawawezi bila kupitia mitandao ya simu nakuambia.
Mkuu hicho kitu hakichukui hata sek 30 kuanzia kucrack password zako na Kila kitu..... Omba MUNGU utue kwenye mikono Yao utashuhudia
 
kama wakishindwa kuzipata kupitia sheria wapo radhi watumie njia nyengine!.
Hujui lolote. Ni nani huyo "anaye tumia gharama yoyote" nje ya sheria? Toa mfano hata mmoja.
Hata taratibu za uwajibishwaji wa viongozi katika nchi hizo huzijui? Huna hata uwezo wa kufahamu kwamba hakuna kiongozi yeyote anaye kuwa juu ya sheria? Hujui kuwa viongozi wanaondolewa madarakani wakikiuka sheria?
 
Back
Top Bottom