Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
Serikali haiwezi kukaa tu eti isubiri sheria kuna vitu vyengine vinamuda mchache sana yani taarifa zake mnatakiwa mzipate hata within 24 hours halafu ni vitu nyeti mno!. sasa kalisha kende usubiri huo muda upite ati unasubiri sheria!.. likitokea lakutokea haohao wananchi itaona serikali haina uwajibikaji!.
Sikufahamu kuwa ukoo chini kiasi hiki katika uelewa wako.

Kumbe unajisemea tu mambo usiyo kuwa hata na chembe ndogo ya ufahamu juu yake; halafu unakija humu JF kupotosha watu kana kwamba wewe ndiye mjuaji mkuu.

Haya ndiyo matatizo makubwa tukiyo nayo katika hizi serikali zetu mbovu hizi. Watu wa aina yako, wasiojuwa kitu ndio mmeshikilia nafasi za maamuzi yanayo husu maisha ya wananchi. Kila jambo mnafanya nje ya sheria, kwa kujiapiza nyinyi mnajuwa kila kitu; kuliko sheria inavyo elekeza.
 
Hujui lolote. Ni nani huyo "anaye tumia gharama yoyote" nje ya sheria? Toa mfano hata mmoja.
Hata taratibu za uwajibishwaji wa viongozi katika nchi hizo huzijui? Huna hata uwezo wa kufahamu kwamba hakuna kiongozi yeyote anaye kuwa juu ya sheria? Hujui kuwa viongozi wanaondolewa madarakani wakikiuka sheria?
sawa mkuu mjuzi wa yote..
 
sawa mkuu mjuzi wa yote..
Hapana.
Mimi siyo "mjuzi wa yote", lakini ninapo ona upotoshaji wa maksudi kabisa kama unavyo fanya wewe, kamwe siwezi kuuacha uposhaji huo usimame.

Maelezo yako juu ya swala hili toka mwanzo ni wazi kabisa kuwa yanapotosha tu; hayaelezi uhalisia wenyewe ulivyo katika nchi hizo unazo zitolea mifano.
 
Hapana.
Mimi siyo "mjuzi wa yote", lakini ninapo ona upotoshaji wa maksudi kabisa kama unavyo fanya wewe, kamwe siwezi kuuacha uposhaji huo usimame..
Maelezo yako juu ya swala hili toka mwanzo ni wazi kabisa kuwa yanapotosha tu; hayaelezi uhalisia wenyewe ulivyo katika nchi hizo unazo zitolea mifano.
😂 hamtakuja kuelewa mpk damu imtoke kenge!.
 
😂 hamtakuja kuelewa mpk damu imtoke kenge!.
Sasa hii mipasho ni ya nini tena hapa!
Kisicho eleweka ni kitu gani kwenye mada hii inayo jadiliwa hapa. Kupotosha hakuwezi kamwe kuwa sehemu ya kuelewesha. Ni kinyume chake.
 
Out of nowhere, katika mgogoro wake na TIGO mh Lissu bila kupepesa macho, amesema anaenda kwenye mahakama ambazo zikitoa amri ya kukamatwa ndege basi zinakamatwa.

Hii si mara ya kwanza kwa Lissu kuonesha mapenzi ya sio ya kawaida kwa ndege hizi. Itakumbukwa sababu ya ndege zetu kukamatwa kipindi cha nyuma ilikuwa baada ya Lissu kuuza 'password' kwa mabeberu.

Naomba serikali yangu, kwa moyo mkunjufu wampe ndege moja ili kuondoa migongano isiyo kuwa na ulazima.
 
TAL ni Daudi wa zama hizi. Wasomaji wa Biblia watakumbuka jinsi Mfalme Sauli alivyopambana sana kumpoteza Daudi. Ila matokeo yake ni yeye Mfalme Sauli ndiye alitangulia kufa akimwacha Daudi akila maisha.

Na Mwenyezi Mungu akamuinua Daudi hadi akaweza kuja kuwa Mfalme aliyeheshimiwa zaidi pale Israeli.
 
Na Michael Crifford ni kama Dr Kigwangalla aliyekuwa akiishambulia Simba SC original ambayo yeye ni Mwanachama mwenye haki zote za Msingi

Labda tujiuluze aliyevujisha Taarifa za Tukutuku na kumpelekea Mwakyembe ni nani?! 🐼

Jumaa Mubarak 😃🌹
 
Back
Top Bottom