Pre GE2025 Tundu Lissu: Kuongoza Watu Wajinga ni rahisi sana, tumekuwa Taifa la kuogopa miungu Watu badala ya kumtegemea Mungu wa Mbinguni!

Pre GE2025 Tundu Lissu: Kuongoza Watu Wajinga ni rahisi sana, tumekuwa Taifa la kuogopa miungu Watu badala ya kumtegemea Mungu wa Mbinguni!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lowassa alituhumiwa tu lakini baadae Tume ya Dr Mwakyembe ikaogopa kwenda kumhoji na Edward Lowassa akatangaza Kujiuzulu na kumtaja mwenye Richmond huku Dr Mwakyembe mwenyewe akiwa na Kampuni ya kufua Umeme wa Upepo Singida

Na Lowassa hakuwahi kushtakiwa popote 😂
✍️📝👍🤝🙏
 
Serikali ingemtaka mabeki 3 wangeshughulika naye

Ni beki 3 wa Serikali Ndiye alimuwahisha Tundu Lisu hospital na kuokoa maisha yake kama ulikuwa hujui 😂😂😂

Sema nyie watoto Wadogo mnaongeaga tu mkishakunywa hayo maenergy
Mpango wa kumuondoa TL uliwekewa kizingiti na Mungu mwenyewe.
Mungu na serikali nani ni zaidi!!??
 
Back
Top Bottom