Pre GE2025 Tundu Lissu: Kuongoza Watu Wajinga ni rahisi sana, tumekuwa Taifa la kuogopa miungu Watu badala ya kumtegemea Mungu wa Mbinguni!

Pre GE2025 Tundu Lissu: Kuongoza Watu Wajinga ni rahisi sana, tumekuwa Taifa la kuogopa miungu Watu badala ya kumtegemea Mungu wa Mbinguni!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unaongea jambo usilolijua kabisa. Lissu hakumpinga Magufuli juu ya makinikia bali alimshauri njia bora ya kudili na hao mabeberu lakini kwa vile Jiwe alikuwa kilaza kwenye maeneo hayo akatafsiri ushauri wa Lissu kuwa ni usaliti na akaamuru Lissu auwawe kwa kupigwa risasi. Lissu hakufa na yale yote aliyoshauri yalikuja kutokea vile vile, makinikia yalikwenda na tumeshitakiwa na kulipishwa mabilioni ya shilingi na kesi nyingine bado zipo mahakamani.
Wee unadhani hao wenye mawazo kama huyo uliyemjibu hapa hawajui ukweli ulivyo ueleza hapa? Wanajuwa sana; na hata Magufuli mwenyewe angekuwepo wakati huu dhamira ingekuwa inamshtaki sana.
Naamini alikufa akijutia kosa hili alilofanya kwa pupa zake tu.
 
Siku ile anapokea ripoti ya madini alisema kuwa ameidukua simu ya Lissu na amegundua kuwa alikuwa anawasiliana na Mwanyika aliyekuwa mwanasheria wa Barrick,na akamaliazia kuwa kwa askari mnajua mtu wa namna hiyo huwa anafanywa nini wakati wa vita na ni siku Lissu alipigwa risasi. Ushahidi wa kimazingira unaonyesha kuwa alitoa yeye amri ya Lissu kupigwa risasi.
Udhaifu wa kipekee sana aliokuwa nao Magufuli, ambao pamoja na mambo mengine yaliyokuwa kwa manufaa ya taifa hili, bado udhaifu huo mbaya kabisa unamnyima nafasi ya kuheshimika kama kiongozi.
 
Kwahiyo Nyerere hakuwa rijali alipokuwa anachangiwa kwenda UNO? Au umeishiwa na hoja, Sasa unaishia kuongea utoto?
Alichangiwa fedha za usafiri wake binafsi na familia yake au zilichangwa fedha ili aende UNO kwa niaba ya watanzania hawa ambao wapo huru kwa wakati huu.
Lissu alipaswa kuiambia ofisi impatie gari kwa shughuli za uenezi wa siasa zake matawini, hilo analochangiwa ni lake na familia yake na mke wake, Chama kingetamka tunahitaji gari kwa ajili ya makamu mwenyekiti, yaani gari mali ya chadema, ningechanga haraka sana, hilo ni la sokoni na familia yake!
 
Alichangiwa fedha za usafiri wake binafsi na familia yake au zilichangwa fedha ili aende UNO kwa niaba ya watanzania hawa ambao wapo huru kwa wakati huu.
Lissu alipaswa kuiambia ofisi impatie gari kwa shughuli za uenezi wa siasa zake matawini, hilo analochangiwa ni lake na familia yake na mke wake, Chama kingetamka tunahitaji gari kwa ajili ya makamu mwenyekiti, yaani gari mali ya chadema, ningechanga haraka sana, hilo ni la sokoni na familia yake!
Lisu anachangiwa na sisi tunaojua mchango wake kwa ajili ya uwezo wake wa kusukuma mabadiliko ndani ya nchi. Na sio yeye alitaka gari, Bali sisi tunaomkubali tulimwambia tumchangie hela apate gari. Chama wakataka wanaweza kumnunulia lao, lakini hili ni letu sisi wafuasi wake. Ama hela zetu zinakuuma?
 
Lisu anachangiwa na sisi tunaojua mchango wake kwa ajili ya uwezo wake wa kusukuma mabadiliko ndani ya nchi. Na sio yeye alitaka gari, Bali sisi tunaomkubali tulimwambia tumchangie hela apate gari. Chama wakataka wanaweza kumnunulia lao, lakini hili ni letu sisi wafuasi wake. Ama hela zetu zinakuuma?
""Nimekuelewa sasa, "Akatokea kiongozi anapendwa kubebwa, na wabebaji kwa uzuzu wao na ujinga wapo tayari kwa hili basi na wambebe"""
-Mwl JKN, 1985.
 
Yeye ndiye mjinga wa kwanza. Kwanini alishindwa kumsapoti Dkt Magufuli kwenye makinikia, akawa anachukua hela kwa wazungu ili akwamishe zoezi. Yaani lisu ni jinga sana na mla rushwa mkubwa. Kipindi cha Dkt Magufuli ndipo ujinga wake ulijiweka bayana. Ni Dkt Slaa tu ndiye aliyesimamia haki na unyoofu. Huwezi sema leo fulani ni fisadi then kesho upo naye jukwaani au huwezi yasema makampuni ya madini then kesho unasema yanaonewa. Huyo lisu wenu muulizeni ni lini katoa kauli mauaji ya wananchi kwenye migodi huko mara?? Yaani ana viajenda vya ki NGO tu ili mabeberu waone anafanya kazi.
Ha ha ha. Wewe unajiandikia tu lolote ili tuchague la kweli na lile la uongo! Nora liende siyo! Kanyaga twende uonekane na wewe umeshiriki mdahalo.
 
Magu
Yeye ndiye mjinga wa kwanza. Kwanini alishindwa kumsapoti Dkt Magufuli kwenye makinikia, akawa anachukua hela kwa wazungu ili akwamishe zoezi. Yaani lisu ni jinga sana na mla rushwa mkubwa. Kipindi cha Dkt Magufuli ndipo ujinga wake ulijiweka bayana. Ni Dkt Slaa tu ndiye aliyesimamia haki na unyoofu. Huwezi sema leo fulani ni fisadi then kesho upo naye jukwaani au huwezi yasema makampuni ya madini then kesho unasema yanaonewa. Huyo lisu wenu muulizeni ni lini katoa kauli mauaji ya wananchi kwenye migodi huko mara?? Yaani ana viajenda vya ki NGO tu ili mabeberu waone anafanya kazi.
Magufuli alikuwa anavunja mikataba hovyo na taifa kuingia hasara ya kulipa fidia.
Makinikia ilikuwa changa la macho ndio manaa hawakufanywa kitu wale wazungu wanaendelea mubeba nchanga
 
Yeye ndiye mjinga wa kwanza. Kwanini alishindwa kumsapoti Dkt Magufuli kwenye makinikia, akawa anachukua hela kwa wazungu ili akwamishe zoezi. Yaani lisu ni jinga sana na mla rushwa mkubwa. Kipindi cha Dkt Magufuli ndipo ujinga wake ulijiweka bayana. Ni Dkt Slaa tu ndiye aliyesimamia haki na unyoofu. Huwezi sema leo fulani ni fisadi then kesho upo naye jukwaani au huwezi yasema makampuni ya madini then kesho unasema yanaonewa. Huyo lisu wenu muulizeni ni lini katoa kauli mauaji ya wananchi kwenye migodi huko mara?? Yaani ana viajenda vya ki NGO tu ili mabeberu waone anafanya kazi.
Mkuu yeye Lisu alikuwa anapinga, je wewe uliyekuwa hupingi tuambie binafsi ulipata shilingi ngapi za makinikia??
 
Unaongea jambo usilolijua kabisa. Lissu hakumpinga Magufuli juu ya makinikia bali alimshauri njia bora ya kudili na hao mabeberu lakini kwa vile Jiwe alikuwa kilaza kwenye maeneo hayo akatafsiri ushauri wa Lissu kuwa ni usaliti na akaamuru Lissu auwawe kwa kupigwa risasi. Lissu hakufa na yale yote aliyoshauri yalikuja kutokea vile vile, makinikia yalikwenda na tumeshitakiwa na kulipishwa mabilioni ya shilingi na kesi nyingine bado zipo mahakamani.
✍️📝👌👍👊👏🤝🙏💐🎁🛡️
 
Siku ile anapokea ripoti ya madini alisema kuwa ameidukua simu ya Lissu na amegundua kuwa alikuwa anawasiliana na Mwanyika aliyekuwa mwanasheria wa Barrick,na akamaliazia kuwa kwa askari mnajua mtu wa namna hiyo huwa anafanywa nini wakati wa vita na ni siku Lissu alipigwa risasi. Ushahidi wa kimazingira unaonyesha kuwa alitoa yeye amri ya Lissu kupigwa risasi.
✍️📝👊👌👍👏🤝🙏🎁💐🛡️
 
Mwanaume lijali hawezi kuchangiwa fedha kamwe, ni kufuru kwa muumba na fedheha, Mungu aliumba mwanadamu afanye kazi apate riziki yake ale kwa jasho, hii tabia hii, ushoga hautakwisha kwa tabia hii.
Mkuu sahihisha kauli yako, sio kweli kuwa mwanaume hawezi kuchangiwa fedha. Ni wanaume wengi huchangiwa fedha wakiwa na changamoto kadhaa bila kujali itikadi za kisiasa, dini au kabila lao.
 
Mwanaume lijali hawezi kuchangiwa fedha kamwe, ni kufuru kwa muumba na fedheha, Mungu aliumba mwanadamu afanye kazi apate riziki yake ale kwa jasho, hii tabia hii, ushoga hautakwisha kwa tabia hii.
🙄🙄🤔
 
Wewe kweli hamnazo. Yawezekana hujitambui kuwa umgonjwa wa akili. Wenzako wanaleta hoja, wewe unaleta porojo.

Hakuna mtu hata mmoja anayeweza kuleta uthibitisho wa Lisu kupokea rushwa au kudai rushwa kutoka kwa mtu yeyote katika maisha yake.

Katika masuala ya rushwa, ufisadi na unafiki, Lisu ni mtu anayeweza kusimama mahali popote Duniani kuthibitisha kuwa ni mtu safi.
✍️📝👌👍👊👏🤝🙏💐🎁🛡️
 
Mwanaume lijali hawezi kuchangiwa fedha kamwe, ni kufuru kwa muumba na fedheha, Mungu aliumba mwanadamu afanye kazi apate riziki yake ale kwa jasho, hii tabia hii, ushoga hautakwisha kwa tabia hii.
Mungu huwa tunamchangia sadaka.Unamwambia nini Mungu?Think,and think deeply!
 
Back
Top Bottom