. jamaa mzalendo ..but lisu ni agent wa beberuAnatosha kwa vigezo gani??? Labda kama wewe ni ndugu yake sawa Ila kwa maslahi mapana ya Tanzania na watanzania hapana, hatoshi!
Magufuli mzalendo kuvipi??? Na Lissu ni agent wa mabeberu gani?? Na kivipi??. jamaa mzalendo ..but lisu ni agent wa beberu
Daaah hadi naona aibu kukujibu!! Kwa hiyo kwa uelewa wako wewe majimbo ni haya majimbo ya uchaguzi wa wabunge???!Ufisadi utahamia majimboni, Hapa jimbo la Hai kwa miaka 15 iliyopita pesa za mfuko wa jimbo umefanya kazi mwaka huu tuu, na pesa ziligawiwa kwenye miradi na Mkuu wa wilaya.
Kwa miaka 14 hizi pesa Mbowe alikuwa anapeleka wapi? jana aliulizwa hili swali Uswaa Machame, na mkutano ulivunjika na akaondoka kwa kuzomewa.
Labda sehemu zingine lakini Kilimanjaro labda jimbo la Same Kusini (mwana mama ) na Same Mashariki (katika vitu Mzee Cleopa Msuya amefanikiwa ni dicipline kwa kizazi chake )lakini maeneo yaliyo baki tumepigwa na wabunge ni kutoka Upinzani.
Kweli kabisa! Sera ya katiba mpya nayo imo kwenye ilani ya Chadema ! Chadema wako vizuri sana kwa kweli!Katiba pia inasababisha umasikini.Katiba mbovu inasabisha bunge kibogoyo, kuzalisha wanasiasa ambao uwezo wao wa kijenga hoja ni mdogo 'poor skill set ' bunge kibogoyo linasababisha utendaji mbovu wa serikali kuu 'weak central government'.Hivi vyote kwa ufupi husababisha mkwamo wa kiuchumi wa Taifa
Daaah hadi naona aibu kukujibu!! Kwa hiyo kwa uelewa wako wewe majimbo ni haya majimbo ya uchaguzi wa wabunge???!
Daah CCM kweli imezalisha vijana vilaza sana!! Polee sana kwa kweli!!
KURA yako Moja haitamtosha kuwa Rais. Watanzania, tutampa Magufuli ili amalizie kazi alizozianza.
Aisee umetumia kilevi au??? Mbona unaongea vitu havieleweki???CCM inatufanyia kazi lakini -- tunaiona haitoshi, wangefanya vizuri zaidi.
Chadema inatuuzia maneno-au kwa kifupi hewa -- sasa sijui turidhike na hewa? Kwa sifa ya kuwa upinzani tunaendelea kutaabika tuu, haya maneno pelekeni sehemu ingine ya nchi nao wakajaribu au waendelee kuwa upinzani.
Wacha Kilimanjaro iiachane na upinzani tuelekee CCM 2020.
Aisee umetumia kilevi au??? Mbona unaongea vitu havieleweki???
Naomba tu ulale mzee!! Sijui dozi za Lissu zimekuchanganya???πππTumechoka na maneno ya upinzani kwa miaka 20, sasa Utaelewa tuu tarehe 29/October/2020.
Kazi gani sasa?KURA yako Moja haitamtosha kuwa Rais. Watanzania, tutampa Magufuli ili amalizie kazi alizozianza.
Kabisa mkuu..... Hatutaki dikteta na mharibifu wa uchumi wetu km huyu mshamba na limbukeni wa ndegeHata chato pia hafai!! Anapaswa apumzike tu!!
Limbwata la Lumumba tokaaaaaaaaaa kwa jina la Lisu. jamaa mzalendo ..but lisu ni agent wa beberu
Kabisa mkuu..... Hatutaki dikteta na mharibifu wa uchumi wetu km huyu mshamba na limbukeni wa ndege
Na kama hautakuwa wa huri na wa haki basi atashingmda kwa 58%Safi sana jimama26 ππΎππΎππΎππΎππΎ Mimi naamini kwamba kama uchaguzi utakuwa huru na wa haki Lissu atashinda kwa asilimia 80% kwenda juu kwani Watanzania hatutaki kumsikia huyo dhalimu jiwe na wala chama chao cha majizi, mafisadi na wauaji.
Ufisadi utahamia majimboni, Hapa jimbo la Hai kwa miaka 15 iliyopita pesa za mfuko wa jimbo umefanya kazi mwaka huu tuu, na pesa ziligawiwa kwenye miradi na Mkuu wa wilaya.
Kwa miaka 14 hizi pesa Mbowe alikuwa anapeleka wapi? jana aliulizwa hili swali Uswaa Machame, na mkutano ulivunjika na akaondoka kwa kuzomewa.
Labda sehemu zingine lakini Kilimanjaro labda jimbo la Same Kusini (mwana mama ) na Same Mashariki (katika vitu Mzee Cleopa Msuya amefanikiwa ni dicipline kwa kizazi chake )lakini maeneo yaliyo baki tumepigwa na wabunge ni kutoka Upinzani.