Walinzi wa getini majirani wafanyakazi wa garden na pia wafanyakazi wa ndani cctv camera vyote vilitosha kutoa jawabu juu ya shambulio la Tundu lisu, hakuna haja ya kuhangaika kutaka kununua Dereva apotoshe ukweli.
Mbowe wa Chadema K-Vant ni mafia sana.kuja kumjua wana ufipa itachukua muda sana.Na kwanini wamtoroshe ili hali wanajua kuwa atahitajika kama shahidi?
Deo meck kaja kishamba sana anazani watanzania ni wajinga kama yeye, chadema walijua mapema kuwa madalali wa siasa huko CCM wanamwinda Dereva wamrubuni apakaze uongo.Mnatakq mmulazimishe atoe maelezo kuwa waliomshambulia Lissu ni viongozi wa chadema kama mlivyofanya kwa mfanyakazi wa Lucy Nkya mlivyotaka kumlazimisha aseme Mh Mbowe alikuwa amelewa....mnaandikaga mkiwa mnajichokonoa mavi au mnalambaga Pen-V huko mlipo...
Madalali wa siasa huko CCM hawana pesa wameamua kubuni kila wawezalo wapate uteuziNyie vibaraka wa jiwe mnafanya mauaji kila kona kulinda matumbo yenu mjue Mungu anatenda haki kwa watu wake yetu macho.
Ushahidi upi? Acha kuvuta Bangi huko gheto kwa cyprian Musiba kisha kuja kuwasumbua watu mitandaoni, kazilete zile cctv camera zote utapata ushahidi unaotaka.Kuficha ushahidi
*TUNDU LISSU KURUDI BILA DEREVA WAKE*
- *Ni yule aliyekuwa naye wakati anashambuliwa Dodoma*
- *Chadema walimtorosha akiwa Dar baada ya kuhitajika na Afande Mroto kwa mahojiano*
- *Chadema walimtorosha kwa gari yao walioifunga bendera ya CCM hadi mpakani Namanga*
- *Haijulikani ni kwa nini Chadema wana hofu kubwa huyo dereva kutoa maelezo juu ya tukio lile*
- *Maisha yake yako shakani, anahitaji msaada*
Taarifa isiyo na shaka niliyoipokea toka makao makuu ya Chadema inaeleza mvutano uliopo kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe juu ya lini Lissu anarudi na zaidi juu ya yeye kurejea nchini akiwa na dereva wake.
Chadema wamekuwa na wasiwasi mwingi juu ya dereva huyo kuhojiwa na Polisi kuhusu tukio la kikatili la kushambuliwa kwa Tundu Lissu.
Dereva huyo alitoroshwa kwenda Kenya akitokea Dar es Salaam siku ambayo RPC wa Dodoma alipotangaza kumtaka dereva huyo afike kituo cha Polisi Dodoma kwa mahojiano akiwa kama shahidi wa kwanza aliyekuwepo eneo la tukio.
Chadema walitumia gari aina ya Toyota Landcruiser na kuifunga bendera ya CCM ili wasipate usumbufu njiani na kuwafanya askari wafikiri anayepita ni kiongozi. Gari hilo lilimpeleka dereva huyo hadi Namanga, akavuka mpaka na kwenda Nairobi.
Chadema inajulikana kwa kupanga njama ovu dhidi ya watu wanaoonekana tishio kwenye nafasi ya uenyekiti wa Freeman Mbowe. Kati yao wengine walifukuzwa uanachama na wengine walipoteza maisha katika mazingira ya kutatanisha, kama ilivyokuwa kwa Marehemu Chacha Wangwe na Marehemu Philipo Magadula Shelembi.
Hivyo hofu ya viongozi wa Chadema kutotaka dereva huyo afanye mahojiano na Jeshi la Polisi inatia shaka uhusika wa viongozi wa Chadema katika tukio lililompata Tundu Lissu, na ndio maana pamoja na mengine juhudi kubwa zinafanyika ili asiwe mgombea wao wa Urais katika uchaguzi utakaofanyika October 2020.
Hadi sasa hawajafikia muafaka sababu ya hofu hiyo. Na bado wanaendelea na mazungumzo na ndio maana hadi sasa bado ratiba ya ujio wa Lissu bado haijawekwa hadharani.
Ushauri wangu kwa huyo dereva ni awe makini na usalama wake, kwani kuna watu ndani ya Chadema hawataki atoe ushahidi kuhusu tukio lililompata Tundu Lissu, hivyo kama hawataki ahojiwe kwa njia yoyote basi hata usalama wake uko shakani.
Anapaswa alitazame hilo katika jicho la kiintelijensia na ajue wabaya wake wasiotaka ahojiwe na jeshi la Polisi, na wanaweza chukua hatua yoyote kuhakikisha hafiki mikononi mwa Polisi. Nawashauri pia ndugu zake walitazame hili, pia na Jeshi la Polisi waangalie namna ya kumsaidia huyo kijana maana yuko katika mikono isiyo salama kwake. Ova.
Imeandikwa na:-
Deo Meck.
Mitaa ya Ufipa, Dar es Salaam.
Kwa mtaji huu hutoboi utabakia kuandika ujinga ujinga hawatakupa Teuzi yeyoteYuko Belgium mazee
Hi akili uliyotumia kuwaza maswali haya hebu itumie Tena kuwaza hivi,Issue ya Lisu ishaanza kunifikirisha sana.
1. Ilikuwaje dereva wake hasipate risasi hata moja mwilini mwake??
2. Risasi zote karibu 36 zimlenge mguuni tu na sio kwenye moyo, Liver, kidney au kichwa??
3. Kwa nini dereva wake yupo nje ya nchi naye hana adui yeyote.??
4. Nani anahusika ?? Wa serikalini au wa upinzani?
5. Licha ya serikali kutolizungumzia kabisa ? Chadema wameshindwa kabisa kumjua muhusika?
6. Kwa nini serikali ipo kimya??
SIASA NI MCHEZO MCHAFU SANA.
Ila kuwa CCM automatic unakuwa na Roho ya Kiibilisi*TUNDU LISSU KURUDI BILA DEREVA WAKE*
- *Ni yule aliyekuwa naye wakati anashambuliwa Dodoma*
- *Chadema walimtorosha akiwa Dar baada ya kuhitajika na Afande Mroto kwa mahojiano*
- *Chadema walimtorosha kwa gari yao walioifunga bendera ya CCM hadi mpakani Namanga*
- *Haijulikani ni kwa nini Chadema wana hofu kubwa huyo dereva kutoa maelezo juu ya tukio lile*
- *Maisha yake yako shakani, anahitaji msaada*
Taarifa isiyo na shaka niliyoipokea toka makao makuu ya Chadema inaeleza mvutano uliopo kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe juu ya lini Lissu anarudi na zaidi juu ya yeye kurejea nchini akiwa na dereva wake.
Chadema wamekuwa na wasiwasi mwingi juu ya dereva huyo kuhojiwa na Polisi kuhusu tukio la kikatili la kushambuliwa kwa Tundu Lissu.
Dereva huyo alitoroshwa kwenda Kenya akitokea Dar es Salaam siku ambayo RPC wa Dodoma alipotangaza kumtaka dereva huyo afike kituo cha Polisi Dodoma kwa mahojiano akiwa kama shahidi wa kwanza aliyekuwepo eneo la tukio.
Chadema walitumia gari aina ya Toyota Landcruiser na kuifunga bendera ya CCM ili wasipate usumbufu njiani na kuwafanya askari wafikiri anayepita ni kiongozi. Gari hilo lilimpeleka dereva huyo hadi Namanga, akavuka mpaka na kwenda Nairobi.
Chadema inajulikana kwa kupanga njama ovu dhidi ya watu wanaoonekana tishio kwenye nafasi ya uenyekiti wa Freeman Mbowe. Kati yao wengine walifukuzwa uanachama na wengine walipoteza maisha katika mazingira ya kutatanisha, kama ilivyokuwa kwa Marehemu Chacha Wangwe na Marehemu Philipo Magadula Shelembi.
Hivyo hofu ya viongozi wa Chadema kutotaka dereva huyo afanye mahojiano na Jeshi la Polisi inatia shaka uhusika wa viongozi wa Chadema katika tukio lililompata Tundu Lissu, na ndio maana pamoja na mengine juhudi kubwa zinafanyika ili asiwe mgombea wao wa Urais katika uchaguzi utakaofanyika October 2020.
Hadi sasa hawajafikia muafaka sababu ya hofu hiyo. Na bado wanaendelea na mazungumzo na ndio maana hadi sasa bado ratiba ya ujio wa Lissu bado haijawekwa hadharani.
Ushauri wangu kwa huyo dereva ni awe makini na usalama wake, kwani kuna watu ndani ya Chadema hawataki atoe ushahidi kuhusu tukio lililompata Tundu Lissu, hivyo kama hawataki ahojiwe kwa njia yoyote basi hata usalama wake uko shakani.
Anapaswa alitazame hilo katika jicho la kiintelijensia na ajue wabaya wake wasiotaka ahojiwe na jeshi la Polisi, na wanaweza chukua hatua yoyote kuhakikisha hafiki mikononi mwa Polisi. Nawashauri pia ndugu zake walitazame hili, pia na Jeshi la Polisi waangalie namna ya kumsaidia huyo kijana maana yuko katika mikono isiyo salama kwake. Ova.
Imeandikwa na:-
Deo Meck.
Mitaa ya Ufipa, Dar es Salaam.
Issue ya Lisu ishaanza kunifikirisha sana.
1. Ilikuwaje dereva wake hasipate risasi hata moja mwilini mwake??
2. Risasi zote karibu 36 zimlenge mguuni tu na sio kwenye moyo, Liver, kidney au kichwa??
3. Kwa nini dereva wake yupo nje ya nchi naye hana adui yeyote.??
4. Nani anahusika ?? Wa serikalini au wa upinzani?
5. Licha ya serikali kutolizungumzia kabisa ? Chadema wameshindwa kabisa kumjua muhusika?
6. Kwa nini serikali ipo kimya??
SIASA NI MCHEZO MCHAFU SANA.
KWANINI MNAOGOPA DREVA KUHOJIWA NYIE MNAJUA ALIYEFANYA UNYAMA HUU NI HUKOHUKOHiki takataka peleka sebuleni kwa mwenyekiti wako anaetuhumiwa kuhusika na unyama huu.
Nini kinawazuia kuruhusu uchunguzi huru wa hili tukio?
Hata wagonjwa walioko Mirembe wanajua nani alihusika na tukio la Lissu kupigwa risasi.
Sawa.Ushauri wangu kwa huyo dereva ni awe makini na usalama wake,
Namba ya simu ya Deo meck hii hapa 0715481628 alikuwa msaidizi wa mbowe akamuibia pesa ofisini kwake akamfukuza kazi ni kijana mdokozi muongo muongo mwenye chuki kubwa na mbowe kuliko hata viongozi wake wa CCM, mpigie simu mkataze aache propaganda za kishamba watanzania wameamka hawataki ujingaUzi umeuleta ki muhemuko sana
Asante sana ngoja nimtafuteNamba ya simu ya Deo meck hii hapa 0715481628 alikuwa msaidizi wa mbowe akamuibia pesa ofisini kwake akamfukuza kazi ni kijana mdokozi muongo muongo mwenye chuki kubwa na mbowe kuliko hata viongozi wake wa CCM, mpigie simu mkataze aache propaganda za kishamba watanzania wameamka hawataki ujinga
Pengine Deo meck ndiye Dereva wa ile Nissan nyeupe iliyotumika kwenye shambulio kwani ni mtu mwenye roho mbaya sana haitakuwa ajabu kusikia alihusika moja kwa moja kwenye shambulio la Tundu lisuSawa.
Na wewe ni nani, ni kati ya wale waliowaondoa walinzi siku ya tukio?
Hebu tueleze hilo kwa kuwa unao ufahamu mkubwa juu ya jambo hili.
*TUNDU LISSU KURUDI BILA DEREVA WAKE*
- *Ni yule aliyekuwa naye wakati anashambuliwa Dodoma*
- *Chadema walimtorosha akiwa Dar baada ya kuhitajika na Afande Mroto kwa mahojiano*
- *Chadema walimtorosha kwa gari yao walioifunga bendera ya CCM hadi mpakani Namanga*
- *Haijulikani ni kwa nini Chadema wana hofu kubwa huyo dereva kutoa maelezo juu ya tukio lile*
- *Maisha yake yako shakani, anahitaji msaada*
Taarifa isiyo na shaka niliyoipokea toka makao makuu ya Chadema inaeleza mvutano uliopo kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe juu ya lini Lissu anarudi na zaidi juu ya yeye kurejea nchini akiwa na dereva wake.
Chadema wamekuwa na wasiwasi mwingi juu ya dereva huyo kuhojiwa na Polisi kuhusu tukio la kikatili la kushambuliwa kwa Tundu Lissu.
Dereva huyo alitoroshwa kwenda Kenya akitokea Dar es Salaam siku ambayo RPC wa Dodoma alipotangaza kumtaka dereva huyo afike kituo cha Polisi Dodoma kwa mahojiano akiwa kama shahidi wa kwanza aliyekuwepo eneo la tukio.
Chadema walitumia gari aina ya Toyota Landcruiser na kuifunga bendera ya CCM ili wasipate usumbufu njiani na kuwafanya askari wafikiri anayepita ni kiongozi. Gari hilo lilimpeleka dereva huyo hadi Namanga, akavuka mpaka na kwenda Nairobi.
Chadema inajulikana kwa kupanga njama ovu dhidi ya watu wanaoonekana tishio kwenye nafasi ya uenyekiti wa Freeman Mbowe. Kati yao wengine walifukuzwa uanachama na wengine walipoteza maisha katika mazingira ya kutatanisha, kama ilivyokuwa kwa Marehemu Chacha Wangwe na Marehemu Philipo Magadula Shelembi.
Hivyo hofu ya viongozi wa Chadema kutotaka dereva huyo afanye mahojiano na Jeshi la Polisi inatia shaka uhusika wa viongozi wa Chadema katika tukio lililompata Tundu Lissu, na ndio maana pamoja na mengine juhudi kubwa zinafanyika ili asiwe mgombea wao wa Urais katika uchaguzi utakaofanyika October 2020.
Hadi sasa hawajafikia muafaka sababu ya hofu hiyo. Na bado wanaendelea na mazungumzo na ndio maana hadi sasa bado ratiba ya ujio wa Lissu bado haijawekwa hadharani.
Ushauri wangu kwa huyo dereva ni awe makini na usalama wake, kwani kuna watu ndani ya Chadema hawataki atoe ushahidi kuhusu tukio lililompata Tundu Lissu, hivyo kama hawataki ahojiwe kwa njia yoyote basi hata usalama wake uko shakani.
Anapaswa alitazame hilo katika jicho la kiintelijensia na ajue wabaya wake wasiotaka ahojiwe na jeshi la Polisi, na wanaweza chukua hatua yoyote kuhakikisha hafiki mikononi mwa Polisi. Nawashauri pia ndugu zake walitazame hili, pia na Jeshi la Polisi waangalie namna ya kumsaidia huyo kijana maana yuko katika mikono isiyo salama kwake. Ova.
Imeandikwa na:-
Deo Meck.
Mitaa ya Ufipa, Dar es Salaam.