Tundu Lissu kurudi bila dereva wake, maisha yake yako shakani

Wagombea urais huko lumumba wamefikia wangapi leo hii?
 
Pumbav.
 
Kwa matendo ya jeshi LA polis kwa wapinzani unahitaji kuwa punguani kuiamini polis. Kilichomtokea mbowe Ni ushahidi
 

Akili zako zinakutosha mwenyewe.
 
Duh, pretentious assumptions! Social media kwa kweli zinatumalizia muda wetu Sana I see!
 
8. Nani alitoa walinzi siku hiyo?
9. Nani aliziondoa CCTV?
N.k
 
Ni aibu sana mwenyekiti wa chama kugombea HAWARA na mteuliwa wake.
 
Rais mpya Malawi Lazarus Chakwera ametangaza kuondoa kinga ya kushtakiwa Marais waliopita hata yeye hapo baadae.
Lakini hapa kwetu sio Rais tuu Bali tumeongeza na Makamu Rais, Waziri mkuu, Spika, na Jaji mkuu.
Ataingia mwingine ataondoa vyote na issue ya Lissu muziki wake ndio utachezeka sawa sawa.
Time will tell
 
Rudisheni CCTV camera kwanza, hizo porojo tu
 
samahani mkuu, pamoja na maelezo yako marefu na yaweza kuwa mazuri!! nikuulize kitu cha kawaida tu... ambacho kimeulizwa sana humu "... hivi walioondoa walinzi na cctv eneo la tukio ni kina nani?" Je wale waliokuwa na Nissan nyeupe zinazosadikiwa kutumika katika uhalifu ni kina nani au nazo chadema waliziwekea nembo au bendera ya ccm kama unavyodai? Je unamaanisha ukiweka bendera ya ccm sehemu yoyote unaruhusiwa kufanya uhalifu? Je ni kwanini wachunguzi huru walikataliwa kuchunguza uhalifu ule..? Je dereva angekuwa kafa tukio lile lisingepelelezwa kugundua wahalifu...? Je eneo la tukio hakukuwa na shuhuda mwingine yeyote zaidi ya cctv na walinzi walioondolewa?
Ukinipatia majibu ya maswali hayo nitashukuru ila pia nikukumbushe kitu "...usiache kazi yako kwa kutegemea utateuliwa maana inategemea mzee kaamkaje!!"
 
Chadema wanataka uchunguzi huru WA vyombo vya nje lakini ni kwanini serikali na ccm inakataa.

Kwanini serikali ilipiga marufuku maombi?
 
Chadema wanataka uchunguzi huru WA vyombo vya nje lakini ni kwanini serikali na ccm inakataa.

Kwanini serikali ilipiga marufuku maombi?
Vyombo vyetu vina uwezo wa kufanya uchunguzi
 
Maswali ni mawili tu,
Kwa nini deleva mpaka sasa anajificha kwani yeye ni mtuhumiwa?

Walisema anatibiwa kisaikolojia je mpaka sasa hajapona?
Tunaomba majibu ya hayo maswali.
 
Tumwombe Mungu upigwe moja tu tuone kama utapona au Lah
 
Hiki takataka peleka sebuleni kwa mwenyekiti wako anaetuhumiwa kuhusika na unyama huu.

Nini kinawazuia kuruhusu uchunguzi huru wa hili tukio?

Hata wagonjwa walioko Mirembe wanajua nani alihusika na tukio la Lissu kupigwa risasi.

Uchunguzi huru unatika wapi?
Kama utasema marekani mbona watu weusi wanauwawa tena na police lakini majibu ya uchunguzi ni hasi?
Kama chadema mnataka uchunguzi huru, waleteni malaika wa mungu waje wachunguze na ndo mtajua uovu wenu.
 
Maswali ni mawili tu,
Kwa nini deleva mpaka sasa anajificha kwani yeye ni mtuhumiwa?

Walisema anatibiwa kisaikolojia je mpaka sasa hajapona?
Tunaomba majibu ya hayo maswali.
Hapo hakuna maswali bali ni uvumi ambao tukiambiwa kuwa tunaishi in a shithole country tunalalamika,dereva huyu anajificha kwa nani?kwani dereva ndio missing part ili kukamilisha uchunguzi wao?je polisi walishatueleza kuwa wamefikia uchunguzi hapa na ukamilikaji wake ni lazima dereva apatikane?polisi wameshindwa hata kutambua silaha zilizotumika kwenye crime scene ile!,kupona au kutopona kwa dereva ni mambo yake na doctor wake,dont put your noise usipotakiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…