Swali lako limezidi uwezo wakeNimeona kuna comment unasema ana kesi nyingi kama sababu ya kukamatwa. Kama ndivyo, basi ujiulize ni kwanini alipokuwa nchini hakukamatwa?
We jinga kabisaAmerudi Tanzania, huyu ni wakukamata na kupeleka jela.
Kwani hawajaenguliwa hadi sasa?? Wameishia ubunge wa viti maalum ambao hawana mamlaka hata jimbo mojaMjinga wala hujui. Nani alitaka kupindua nchi kama sio uzushi ili kuwaengua wenye msimamo thabiti kama kina bashiru ali na polepole.
😅😅😅Mfanyabiasha na Mkulima wa bamia ambaye pia ni mfungwa wa kisiasa Yericko Nyerere ndani
View attachment 1828933
Utatangulia wewe....Amerudi Tanzania, huyu ni wakukamata na kupeleka jela.
Kipimo cha jinsi tulivyoishiwa na kufilisika kiakili, Kisomi, na katika maendeleo ya kifalsafa, Mtu akionekana tu ana uelewa mkubwa na ana mchango mkubwa katika kuelimisha umma, basi awe Rais.Rais nje ya Ikulu
Mungu ibariki Chadema
Eee bhana eeeeKipimo cha jinsi tulivyoishiwa na kufilisika kiakili, Kisomi, na katika maendeleo ya kifalsafa, Mtu akionekana tu ana uelewa mkubwa na ana mchango mkubwa katika kuelimisha umma, basi awe Rais.
Kitabu alichozindua Lissu huko Nairobi hivi karibuni, ambacho kimejengwa juu ya utafiti wa kina, ujenzi mahiri wa hoja, na akili pevu, kilitakiwa kiwe sehemu ya matunda ya vyuo vikuu vyetu. Lakini wapi utapata tena mwanazuoni anayehoji namna hii? Tumezoea maisha ya kinafiki, kupeana sifa za kijinga, hadi unamkuta Profesa anadiriki kumwambia Rais kwamba "umeniokota jalalani"