kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Mnafurahia wapinzani waumizwe mkifiwa mnataka marehemu asichekweHilo lijamaa bado linaogopa kutia mguu Tanzania linajua kesi bado zinamsubiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnafurahia wapinzani waumizwe mkifiwa mnataka marehemu asichekweHilo lijamaa bado linaogopa kutia mguu Tanzania linajua kesi bado zinamsubiri.
Alikofia jiwe?..tunamshukuru mbowe kwa kung'ang'ania lissu apelekwe nairobi. Angepelekwa mzena ungesikia amevuja damu nyingi mpaka umauti.
mnataka kuzika kinyago kingine? Hamjakoma?Ndio
Kinyago kipi?mnataka kuzika kinyago kingine? Hamjakoma?
kinyago aliyekufa hata rudi tena. Laana ya Lisu itawatesa sanaHilo lijamaa bado linaogopa kutia mguu Tanzania linajua kesi bado zinamsubiri.
KAMA MAMAKO ALIVYOPELEKWA JELA!!!Amerudi Tanzania, huyu ni wakukamata na kupeleka jela.
wanapukutika watu waovuKama mtakavyopukutika kina nyie mnaojifanya malaika.
mlichozikaKinyago kipi?
Ahaaa you made my day..operesheni zinazofanyika hospitali ya mzena ndio wagonjwa huwa hawaponi.
Hata baregu tumezika,mlichozika
Mbona wazungumzia wingi, zungumzia wew na familia yako, ukisema wananchi una maana hata na mimi wakati mimi siyo chiziHii ni MADA ya wanasiasa wanaotafuta unafuu wa kupenya kuingia IKULU.
Wananchi MADA yetu ni MAENDELEO STAHIMILIVU pamoja na huduma bora za kijamii.
Acha kulinganisha Prof Baregu na hivyo vinyagoHata baregu tumezika,
Msiyempenda kaja sasa, atajaaa tele, na sindano zake zitawakingia kisawasawa sana pro chato,,Amerudi Tanzania, huyu ni wakukamata na kupeleka jela.
hawa washenzi walishindwa tar 27 July alipokuja wakati huo Viampire Jiwe akioganize vikundi vyake vimdaka Airport. Leo Kafa wataweza kweli?Msiyempenda kaja sasa, atajaaa tele, na sindano zake zitawakingia kisawasawa sana pro chato,,
Mitano tena kwa mama!!
Si umesema tuliowazika ni vinyago?Acha kulinganisha Prof Baregu na hivyo vinyago
Vipi huyo jamaa yako bado anachechemea?kinyago aliyekufa hata rudi tena. Laana ya Lisu itawatesa sana
Tugange yalioyopo.Mnafurahia wapinzani waumizwe mkifiwa mnataka marehemu asichekwe
Analipwa na stahiki zake za ubungeVipi huyo jamaa yako bado anachechemea?
Sasa kwani tatizo liko wapi?Analipwa na stahiki zake za ubungeView attachment 1828497