Hongera sana Shujaa wa Taifa, Tundu Antipas Mughwai Lissu hongera sana CHADEMA, kwa kuelimisha umma kuhusu mambo mbalimbali muhimu sana.
Nimekuwa nikifuatilia ONE ON ONE WITH TUNDU LISSU, CYBER LOUNGE zote kutoka NADJ MEDIA, na nimefaidika sana.
Ipo haja kubwa sana ya watu au vikundi wanaojitambua, kuwa jasiri na kuchochea mjadala katika jamii kuhusu Katiba Mpya.
Angalau serikali ya Rais Samia inaonekana kutoa fursa kwa mijadala hii. Hiyo ni mijadala muhimu sana. Karibuni sana kushiriki na kuelimika na kuelimisha wengine