Tundu Lissu kutoa mada siku ya Katiba (Katiba Day)

Tundu Lissu kutoa mada siku ya Katiba (Katiba Day)

Mimi sijui kwa nini TAL hatumiwi "fully & effectivelly" na serikali!!
Huu mtindo wa watu wenye "uwezo mkubwa wa kiakili,kifikra,kiuweledi na kizalendo" kutotumika ipasavyo kitaifa, ni wa hovyo sana sana.
Mama anafahamu uwezo wa Lissu na ana Mwa-Admire. Anafanya maandalizi ya kufuta makesi na kumlipa haki zake. Ameanza na mahakama na DPP ili huko mbeleni msishangae
 
Hongera sana Shujaa wa Taifa, Tundu Antipas Mughwai Lissu hongera sana CHADEMA, kwa kuelimisha umma kuhusu mambo mbalimbali muhimu sana.

Nimekuwa nikifuatilia ONE ON ONE WITH TUNDU LISSU, CYBER LOUNGE zote kutoka NADJ MEDIA, na nimefaidika sana.

Ipo haja kubwa sana ya watu au vikundi wanaojitambua, kuwa jasiri na kuchochea mjadala katika jamii kuhusu Katiba Mpya.

Angalau serikali ya Rais Samia inaonekana kutoa fursa kwa mijadala hii. Hiyo ni mijadala muhimu sana. Karibuni sana kushiriki na kuelimika na kuelimisha wengine
Rais nje ya Ikulu
 
The world is not static, it is dynamic because of changes in technology for every minute.

Lazima tuandike katika itakayokidhi mahitaji ya sasa.

Katiba iliyopo ni ya tangu Uhuru, imagine 60 years?!

Wenzetu Kenya kila mara wanaboresha ili kuendana na mahitaji ya wakati.

Katiba Katiba katiba
 
Katiba Day ni siku ambayo Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeandaa kongamano la kujadili umuhimu wa kuwepo kwa Katiba Mpya itakayotokana na Raia wote, pamoja na mjadala huo pia kutakuwa na mjadala wa kuchagiza uwepo wa Tume Huru ya Uchaguzi.

Tundu Lissu atakuwa miongoni mwa magwiji watakaotoa mada.

Kongamano hilo litafanyika tarehe 1 JULY 2021.

View attachment 1827616
Ovyo tu. Tundu lissu anafikiri sheria ndio siasa. Hawezi hata kutofautisha sheria na haki. Anafikiri sheria ndio haki. Kazi kuzungusha maneno tu wakati jamii inataka kuona haki sio sheria tu. Wakati ccm inaweka kipaumbele maendeleo ya wananchi chadema wanahangaika kuweka sawa mambo kwa mabwanyenye kuendeleza dhuluma kwa wanyonge. Katiba ipo sasa kuhangaisha watu eti katiba mpya si ili kuondoa taifa kwenye reli kuhusu maendeleo kiuchumi. Alaaniwe huyu mtetezi wa ushoga.
 
Ovyo tu. Tundu lissu anafikiri sheria ndio siasa. Hawezi hata kutofautisha sheria na haki. Anafikiri sheria ndio haki. Kazi kuzungusha maneno tu wakati jamii inataka kuona haki sio sheria tu. Wakati ccm inaweka kipaumbele maendeleo ya wananchi chadema wanahangaika kuweka sawa mambo kwa mabwanyenye kuendeleza dhuluma kwa wanyonge. Katiba ipo sasa kuhangaisha watu eti katiba mpya si ili kuondoa taifa kwenye reli kuhusu maendeleo kiuchumi. Alaaniwe huyu mtetezi wa ushoga.
mwenye laana ya damu alikufa march 12. Yuko huko jehanamu kwa shetani anawaka kama kuni
 
Back
Top Bottom