ndammu
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 3,971
- 4,440
Alikumbetoa mama yako?Amerudi Tanzania, huyu ni wakukamata na kupeleka jela.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikumbetoa mama yako?Amerudi Tanzania, huyu ni wakukamata na kupeleka jela.
Mwehu ni yule aliyewafanya misukule na kujaribu kutaka kumtoa Lissu Dunian Lakin akatangulia yeye.Mkuu, nguvu na muda wako ni muhimu sana kwa mambo ya maana..achana na huyo mwehu.
Mbona hamkumpeleka alipokuja?lisu ana kesi nyingi sana mahakamani, au umesahau ? huyu akirudi ni moja kwa moja jela
Kwa kosa gani alilolifanya,,,we ndo unastahili kupelekwa jela ,kwa hilo jina lako tu,inatosha ufunguliwe kesi ya uhujumu uchumi kabisaAmerudi Tanzania, huyu ni wakukamata na kupeleka jela.
Hilo lijamaa bado linaogopa kutia mguu Tanzania linajua kesi bado zinamsubiri.Amerudi Tanzania, huyu ni wakukamata na kupeleka jela.
Katiba Day ni siku ambayo Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeandaa kongamano la kujadili umuhimu wa kuwepo kwa Katiba Mpya itakayotokana na Raia wote, pamoja na mjadala huo pia kutakuwa na mjadala wa kuchagiza uwepo wa Tume Huru ya Uchaguzi.
Tundu Lissu atakuwa miongoni mwa magwiji watakaotoa mada.
Kongamano hilo litafanyika tarehe 1 JULY 2021.
View attachment 1827616
Katenda kosa gani?Lissu hana kosa lolote linaloweza kumfanya kwenda jela maana enzi za jiwe asinge nusurika,labda aende Kisongo kumjulia hali Sabaya wenyu.lisu ana kesi nyingi sana mahakamani, au umesahau ? huyu akirudi ni moja kwa moja jela
UKAWA ni matokeo ya unajisi uliofanywa na CCM dhidi ya mchakato wa kuandika Katiba.Wakati ule CCM na wapambe wao walihofia anguko lao kwenye kipengele cha Muungano waHizo fedha zinazotumika, ni aheri zikaelekezwa kujenga ofisi za chama
Sababu moja tu, Mpaka muda huu, Jambo la katiba ni kama linsonekana ni la kichama zaidi kuliko kuonekana ni la kitaifa na la wananchi wote?
Kulifanyika makosa makubwa sana kipindi kile ilipopatikana fursa ya kuandikwa kwa katiba moya, matokeo yake kama nchi tukapata Ukawa, kitu ambacho kama wananchi, hutukuwaagiza hivyo waliopata fursa ya kutuwakilishe kutuletea dubwasha hilo lisilo na maana
Mungu ameshatuvisha kwenye hayo maisha..katusaidia sana na tuna Kila sababu ya kumtukuza kwa matendo makuu aliyotutendea watanzanialisu ana kesi nyingi sana mahakamani, au umesahau ? huyu akirudi ni moja kwa moja jela
Maendeleo bora yanakuja kwa kuwepo sheria bora.Hii ni MADA ya wanasiasa wanaotafuta unafuu wa kupenya kuingia IKULU.
Wananchi MADA yetu ni MAENDELEO STAHIMILIVU pamoja na huduma bora za kijamii.
Joined 2010 lakini bado umebakia member kapuku , huu ndio ubaya wa ID za kutumwaKaamua kujitekenya. Hivi hii nayo ni agenda ya kumrudisha kwenye ramani, anatia kinyaa!
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !Mungu ameshatuvisha kwenye hayo maisha..katusaidia sana na tuna Kila sababu ya kumtukuza kwa matendo makuu aliyotutendea watanzania
Kesi zipi?kwani unadhani serikali imeshindwa kumfuata huko aliko kama kweli ana kesi?, ,😨Hilo lijamaa bado linaogopa kutia mguu Tanzania linajua kesi bado zinamsubiri.
Mungu atawapukutisha nyie wachawi wote .Acha mbinja. Jibuni hoja.
Huyu kilema hana jipya.
Kama mtakavyopukutika kina nyie mnaojifanya malaika.Mungu atawapukutisha nyie wachawi wote .