denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Hayo maendeleo unayoyataka ni siasa kama ulikuwa hujui ndio ujue, ile bajeti inayosomwa kule bungeni ndio inatoa muelekeo kama taifa tunaelekea wapi kiuchumi na kijamii, ukiona watu wanapigania Katiba Mpya ujue wanataka kila mwananchi aifaidi nchi yake.Hii ni MADA ya wanasiasa wanaotafuta unafuu wa kupenya kuingia IKULU.
Wananchi MADA yetu ni MAENDELEO STAHIMILIVU pamoja na huduma bora za kijamii.