dikteta2020
JF-Expert Member
- Aug 14, 2018
- 595
- 3,991
Mh. Tundu Lissu leo atakuwa na Mikutano mitatu Jimbo la Singida Magharibi ambayo ni;
1: Sepuka,
2: Iglanson na
3: Ihanja.
Wakati wa Mabadiliko ni sasa.
Yani yule mwingine leo anafanya mkutano mmoja Babati na akitoka hapo imeisha hivyo.
Sasa baada ya Lissu kumaliza Singida, kampeni inayofuata ataenda Kilimanjaro majimbo ya Vunjo na Moshi vijijini.
Akitoka hapo ni Babati mjini.
1: Sepuka,
2: Iglanson na
3: Ihanja.
Wakati wa Mabadiliko ni sasa.
Yani yule mwingine leo anafanya mkutano mmoja Babati na akitoka hapo imeisha hivyo.
Sasa baada ya Lissu kumaliza Singida, kampeni inayofuata ataenda Kilimanjaro majimbo ya Vunjo na Moshi vijijini.
Akitoka hapo ni Babati mjini.