Tundu Lissu kuunguruma Temeke 26/5/2024

Tundu Lissu kuunguruma Temeke 26/5/2024

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kwa Mujibu wa Taarifa iliyosambazwa na Chama chake , Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu atahutubia Mkutano wa Hadhara Wilayani Temeke, DSM.

Nimeona magari ya Matangazo yakipita mitaani na kwamba mkutano huo utafanyika kwenye viwanja vya Mwembeyanga, Tandika

Screenshot_2024-05-24-18-06-48-1.png

Kwa vile kwa sasa niko DSM na Mwembeyanga ndio nyumbani kwangu basi utapata moja kwa moja Spana zikiwa bado za moto

Usiondoke JF
 
Kwa Mujibu wa Taarifa iliyosambazwa na Chama chake , Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu atahutubia Mkutano wa Hadhara Wilayani Temeke, DSM.

Nimeona magari ya Matangazo yakipita mitaani na kwamba mkutano huo utafanyika kwenye viwanja vya Mwembeyanga, Tandika

View attachment 2998314

Kwa vile kwa sasa niko DSM na Mwembeyanga ndio nyumbani kwangu basi utapata moja kwa moja Spana zikiwa bado za moto

Usiondoke JF
bila shaka yoyote,
pamoja na mambo mengine, Makamu mwenyekiti wa chadema Taifa anaweza kutoa maelezo na taarifa juu ya mwenendo wa uchangiaji wa mchango aliomba achangiwe ili aweze kununua gari, na kuwaandaa wanainchi namna ya kuchangia pesa ya mafuta ya hiyo gari ya mchango 🐒
 
Kwa Mujibu wa Taarifa iliyosambazwa na Chama chake , Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu atahutubia Mkutano wa Hadhara Wilayani Temeke, DSM.

Nimeona magari ya Matangazo yakipita mitaani na kwamba mkutano huo utafanyika kwenye viwanja vya Mwembeyanga, Tandika

View attachment 2998314

Kwa vile kwa sasa niko DSM na Mwembeyanga ndio nyumbani kwangu basi utapata moja kwa moja Spana zikiwa bado za moto

Usiondoke JF
mbona Title tarehe 25/5/2024. kwenye Poster tarehe 26/5/2024. Ipi sahihi?
 
Kwa vile kwa sasa niko DSM na Mwembeyanga ndio nyumbani kwangu basi utapata moja kwa moja Spana zikiwa bado za moto
Mimi ningeomba tu, pamoja na ajenda nyingine muhimu, "Funzo la umuhimu wa kura za wananchi" liwe endelevu kila mahali.CCM tayari wamekwishaweka wazi kwamba ushindi wao ni kutegemea njia zilezile za miaka yote; yaani kuharibu kura za wananchi na kupachika washindi wasiochaguliwa na wananchi.

Safari hii, wananchi waelezwe, na wakatae ujinga huo.
 
Sawa, sasa tupe raarifa za uchaguzi kule Njombe ambako makamu mwenyekiti, Kigaila, alikuwepo. Tunatanguliza Shukrani za dhati🙏🙏🙏
 
Mikutano ya mwembe yanga inakuwa mwiba Sana Kwa CCM maana sikuzote Siri zote za mafisadi wa nchi zinawekwa wazi
 
Kwa Mujibu wa Taarifa iliyosambazwa na Chama chake , Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu atahutubia Mkutano wa Hadhara Wilayani Temeke, DSM.

Nimeona magari ya Matangazo yakipita mitaani na kwamba mkutano huo utafanyika kwenye viwanja vya Mwembeyanga, Tandika

View attachment 2998314

Kwa vile kwa sasa niko DSM na Mwembeyanga ndio nyumbani kwangu basi utapata moja kwa moja Spana zikiwa bado za moto

Usiondoke JF
Safi kabisa, kesho niko free nitakuja pande hizo kumsikiliza huyo mwamba. Na nitaongeza mchango tena wa gari mimi na mke wangu, na wapambe wangu kadhaa.
 
Kila la kheri kijana wa Kitanganyika Lissu, Mungu akutangulie kwenye hii safari ya kulikomboa Taifa letu Tanganyika.
 
Mikutano ya Mchungaji Mtikila ilikuwa akikuta tu Kundi la Watu basi anaanza kuwahutubia habari za Tanganyika na Zanzibar 😄
 
Mikutano ya mwembe yanga inakuwa mwiba Sana Kwa CCM maana sikuzote Siri zote za mafisadi wa nchi zinawekwa wazi
Mwembeyanga Kuna zindiko la CCM pale akitoka vurugu zitaanza ndani ya Chadema kutoelewana wao Kwa wao

Hapo hapo Lisu na Slaa waliowahi hutubia kuwa Lowasa ni Fisadi Namba moja Tanzania

Walipotoka hapo Lisu akaenda idhinisha kama mwanasheria nguli kuwa Lowasa kuwa mgombea uraisi Kwa tiketi ya Chadema na kuwa Lowasa Sio Fisadi ikasababisha kutoelewana na Katibu mkuu wa Chadema Dr.Slaa akatimukia CCM na mbele huko Lowasa naye akatimka Chadema akarudi CCM na katibu mkuu kwingine wa Chadema Mashinji akarudi CCM

Mwembe yake Kuna vizee vya CCM vimezindika uwanja si unajua Tena vizee vingi vikongwe vya CCM vinaishi Temeke

Mwembe yanga pasikie tu
 
Mwembeyanga Kuna zindiko la CCM pale akitoka vurugu zitaanza ndani ya Chadema kutoelewana wao Kwa wao

Hapo hapo Lisu na Slaa waliowahi hutubia kuwa Lowasa ni Fisadi Namba moja Tanzania

Walipotoka hapo Lisu akaenda idhinisha kama mwanasheria nguli kuwa Lowasa kuwa mgombea uraisi Kwa tiketi ya Chadema na kuwa Lowasa Sio Fisadi ikasababisha kutoelewana na Katibu mkuu wa Chadema Dr.Slaa akatimukia CCM na mbele huko Lowasa naye akatimka Chadema akarudi CCM na katibu mkuu kwingine wa Chadema Mashinji akarudi CCM

Mwembe yake Kuna vizee vya CCM vimezindika uwanja si unajua Tena vizee vingi vikongwe vya CCM vinaishi Temeke

Mwembe yanga pasikie tu
Unaamini ushirikina?
 
Back
Top Bottom