Tundu Lissu kuungurumia ITV siku ya tarehe 26, 08, 2024

Tundu Lissu kuungurumia ITV siku ya tarehe 26, 08, 2024

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Haya tena kile chuma cha pua kwenye ubora wake kitakuwepo ITV kumwaga shule.

Wengine wanakiita Simba.

Wengine hawachoki kukifanyia fitna.

Ama kwa hakika wengine kwetu huyu:



Ndiye yule mwanetu mpendwa tunaye pendezwa naye!
 
Haya tena kile chuma cha pua kwenye ubora wake kitakuwepo ITV kumwaga shule.

Wengine wanakiita Simba.

Wengine hawachoki kukifanyia fitna.

Ama kwa hakika wengine kwetu huyu:

View attachment 3079045

Ndiye yule mwanetu mpendwa tunaye pendezwa naye!
Kuna dalili ya umeme kukatwa nchi nzima J3, saa 3 usiku.
 
Haya tena kile chuma cha pua kwenye ubora wake kitakuwepo ITV kumwaga shule.

Wengine wanakiita Simba.

Wengine hawachoki kukifanyia fitna.

Ama kwa hakika wengine kwetu huyu:

View attachment 3079045

Ndiye yule mwanetu mpendwa tunaye pendezwa naye!
Simba asiyetulia...

Simba anayependa kurukaruka huku na kule...je ni ATTENTION DEFICIT DISORDER?!!! [emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Anaenda kukubali kuwa mgombea mwenza wa Mama Samia Suluhu Hassan katika uchaguzi wa Rais 2025.
 
Back
Top Bottom