- Thread starter
- #21
Anaenda kukubali kuwa mgombea mwenza wa Mama Samia Suluhu Hassan katika uchaguzi wa Rais 2025.
Kwani wewe ndiye huyu uliyekenua zaidi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaenda kukubali kuwa mgombea mwenza wa Mama Samia Suluhu Hassan katika uchaguzi wa Rais 2025.
Hahaaaa....Simba asiyetulia...
Simba anayependa kurukaruka huku na kule...je ni ATTENTION DEFICIT DISORDER?!!! [emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Oookay, single yake ni ile ile ya 'nilifuatwa na abdul' au Kuna nyingine?!!!!
Simba asiyetulia...
Simba anayependa kurukaruka huku na kule...je ni ATTENTION DEFICIT DISORDER?!!! [emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Aisee, kama itatokea Chawa wa CCM wakafanya tendo hili kwa sababu ya Tundu Lissu tu, basi kumbe itakuwa ni kweli kabisa kuwa, hawa viumbe wa kijani watakuwa wajinga, wapumbavu na mashetani wasiostahili kuchangamana na kuishi pamoja na wanadamu........!Kuna dalili ya umeme kukatwa nchi nzima J3, saa 3 usiku.
Abuduli atajuta kumfata na tuela twake... Sikujua dadake abuduli ni mbunge kule nchini kwao!!!
mwana taaluma mbobevu kama mimi siwezi kupuuza maoni au mtazamo wa mwananchi yeyote awe dhaifu ama mwenye nguvu katika medani ya siasa,
mwana taaluma mbobevu kama mimi siwezi kupuuza maoni au mtazamo wa mwananchi yeyote awe dhaifu ama mwenye nguvu katika medani ya siasa,
nguvu na kiwango cha kumfuatilia, kupambana nae, na hatimae kumdhibiti kwa hoja, mawazo mapya na fikra mbadala ni kile kile...
na hivyo ndivyo demokrasia inahitaji tuishi 🐒
mengine sifahamu,
mengine sifahamu,
muhimu sana kuzingatia maisha ya ndani ya demokrasia,
hata kwenye 48 laws of power, ndrugu yangu Robert Greene ametahafharisha mapema kuepuka kumpuuza mshindani wako hata awe dhaifu kiwango gani, kama ni ngumi mpe ile ile kali kabisa ya upper cut chembe la kidevu, lazima akae...
hakuna huruma, hakuna aibu wala kutegeana kwenye mapambano 🐒
Ndo kina nani hao?!!! Nao hawapendi unafiki kama Mimi?!!!
Asiyefugika. Huyu kabeba matumaini yetu wengi...Simba wa Tanganyika, Tundu Antipas Lissu.
Farhia anahoji vyema.huyu binti fardhia yuko njema
Hii ndio Habari inasambaa kwa Kasi Ndani na Nje ya NchiHaya tena kile chuma cha pua kwenye ubora wake kitakuwepo ITV kumwaga shule.
Wengine wanakiita Simba.
Wengine hawachoki kukifanyia fitna.
Ama kwa hakika wengine kwetu huyu:
View attachment 3079045
Ndiye yule mwanetu mpendwa tunaye pendezwa naye!