Tundu Lissu kuungurumia ITV siku ya tarehe 26, 08, 2024

Tundu Lissu kuungurumia ITV siku ya tarehe 26, 08, 2024

habari za kishirikiana kama hizo za sijui nyumbu ama chawa ni useless na nonsense narrative kwa upande wangu 🐒

Unadhani kuna chawa mmoja huzikubali ni zake?

Believe me hata Mwijak*, Lukasi, wewe au wale wengine hawakubali kuwa ni machawa.

Hao mbona hata kwetu wapo?!

Hizo ni tabia sisi ma observer tunakuona nazo.

Utazikataa je sasa? 🤣🤣
 
Unadhani kuna chawa mmoja huzikubali ni zake?

Believe me hata Mwijak*, Lucas Mwashambwa au wale wengine hawakubali kuwa ni machawa.

Hizo ni tabia sisi ma observer tunakuona nazo.

Utazikataa je sasa? 🤣🤣
sasa mimi nikuite wew nyumbu ati kwasababu unakurupuka kujibu mambo rahisi kwa mihememko na ghadhabu itasaidia nini kwa mfano?🐒

mimi nadeal na mambo ya msingi na ya maana yale ambayo wanainchi wanataka kujua, kujifunza na kuongeza ufahamu wa mambo ya mbalimbali kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa...

mengine siwezi babaika nayo hata 🐒
 
sasa mimi nikuite wew nyumbu ati kwasababu unakurupuka kujibu mambo rahisi kwa mihememko na ghadhabu itasaidia nini kwa mfano?🐒

mimi nadeal na mambo ya msingi na ya maana yale ambayo wanainchi wanataka kujua, kujifunza na kuongeza ufahamu wa mambo ya mbalimbali kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa...

mengine siwezi babaika nayo hata 🐒

Uzuri unajua sikurupuki, siyo nyumbu na sina uadui na mtu.

Kwani tabia ya mtu inajificha?

Kwani wewe hujui kuwa ni chawa wa mama?
 
Uzuri unajua sikurupuki, siyo nyumbu na sina uadui na mtu.

Kwani tabia ya mtu inajificha?

Kwani wewe hujui kuwa ni chawa wa mama?
excuse me,

sikumaanisha wew ni nyumbu na wala unakurupuka au una mihemko au ni wale wa kuyaporomosha, la hashaa...

kwasabb ni useless narrative sioni maana wala muda wa kumcategorize mtu kwenye kundi la nyumbu au chawa kwasabb ni nonsense...

mim nina issues za maana na sina mbambamba yoyote kuziweka wazi regardless nani atajiskiaje, kwasabb ni kimkakati zaidi na kibobevu zaidi 🐒
 
Hahaaaa....
ADHD huanza utotoni na kuendelea kadri mtu akuavyo.
Tuwekee ushahidi kuwa TL alishawahi kuwa nayo hata kwa miaka 3 mfululizo kwenye ukuaji wake.

Mtasema yote na mtatulia na kupotea kama ambavyo huwa una activate ID yako fulani kwa muda fulani na kupotea kisha unakuja na ID nyingine.
Mahambe Ikungi...

Yuko shangazi yangu mtu mzima anamjua mh.Tundu Lissu toka utoto wake pale Mahambe....

TL ndiye mtoto aliyekuwa msumbufu asiyesikia la muadhini ,mnadi swala wala mgonga kengele kanisani....

Ndani ya familia yao ANAJULIKANA vyema kwa hulka hizo....

Ni mtata haswa....anapenda mashindano ya maneno hata kwa yasiyotaka mashindano....


Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
mwana taaluma mbobevu kama mimi siwezi kupuuza maoni au mtazamo wa mwananchi yeyote awe dhaifu ama mwenye nguvu katika medani ya siasa,

nguvu na kiwango cha kumfuatilia, kupambana nae, na hatimae kumdhibiti kwa hoja, mawazo mapya na fikra mbadala ni kile kile...

na hivyo ndivyo demokrasia inahitaji tuishi [emoji205]
[emoji7][emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
mengine sifahamu,
muhimu sana kuzingatia maisha ya ndani ya demokrasia,
hata kwenye 48 laws of power, ndrugu yangu Robert Greene ametahafharisha mapema kuepuka kumpuuza mshindani wako hata awe dhaifu kiwango gani, kama ni ngumi mpe ile ile kali kabisa ya upper cut chembe la kidevu, lazima akae...

hakuna huruma, hakuna aibu wala kutegeana kwenye mapambano [emoji205]
[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Jina la Abdul litatajwa baada ya sentensi hii hapa chini.

""Nilikuwa sijawahi kufuatwa na mtu anipe hela ili niache misimamo yangu fulani fulani. Mara hii nimefuatwa..........,..""
Nyumbani kwake ndugu TL kuna "CCTV CAMERA"...

Kwa elimu yake ya "evidence" angeziachia hizo "CCTV FOOTAGE" tuzione.....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Haya tena kile chuma cha pua kwenye ubora wake kitakuwepo ITV kumwaga shule.

Wengine wanakiita Simba.

Wengine hawachoki kukifanyia fitna.

Ama kwa hakika wengine kwetu huyu:

View attachment 3079045

Ndiye yule mwanetu mpendwa tunaye pendezwa naye!

Hadhara hizi zianze kuwa na mpangilio maalum ya kuongelea maswala mazito yanayo ikabili nchi yetu sasa hivi. Hii iwe fursa ya kuanza kuwafahamisha wananchi mwelekeo inakopelekwa nchi hii.
Kwa mfano:
Kama itampendeza Tundu Lissu, binafsi ningeomba azungumzie maana halisi ya maigizo haya ya kubadili mawaziri kila mara anako fanya huyu 'Chura Kiziwi'.
Kwa maoni yangu ni kwamba huyu mwanamke anatumia njia hiyo kuwatia woga mawaziri hao.
Chukulia alivyo fanya kwa kuwapumzisha Kabuti na mwenzake Lukubi; halafu anawarudisha kana kwamba alikuwa amewapeleka kuchukuwa mafunzo mahli!
Hii ni mbinu ya kuwashughulikia hawa viongozi, halafu anapoona ni hao hao atakao wategemea kumrudisha madarakani, anakimbia haraka kuwarudisha. Hali ni hiyo hiyo hata katika ngazi nyingine za uongozi ndani ya chama na serikalini. Akina Makonda ni mfano halisi.

Jambo la pili ambalo ningeomba atafute njia za kulizungumzia ili wananchi walielewe, ni hili la huyo mwanamke kujipa 'u'Chura Kiziwi' eti asisiskie kelele za waTanzania, huku akiendelea kufanya uharibifu mkubwa kwa nchi yetu.
Huku ni kuwadharau watu anao waongoza.
Hili linafaa kuelezwa kwa wananchi walielewe vizuri kabisa. Hii nchi hatuwezi kuswagwa tu kama mifugo.

Mfano hapa ni: Pesa ya kuwahamisha Maasai ilitoka wapi, na uamzi wa kuhamisha raia wa nchi hii mjadala wake ulifanyika wapi na lini.
 
Hadhara hizi zianze kuwa na mpangilio maalum ya kuongelea maswala mazito yanayo ikabili nchi yetu sasa hivi. Hii iwe fursa ya kuanza kuwafahamisha wananchi mwelekeo inakopelekwa nchi hii.
Kwa mfano:
Kama itampendeza Tundu Lissu, binafsi ningeomba azungumzie maana halisi ya maigizo haya ya kubadili mawaziri kila mara anako fanya huyu 'Chura Kiziwi'.
Kwa maoni yangu ni kwamba huyu mwanamke anatumia njia hiyo kuwatia woga mawaziri hao.
Chukulia alivyo fanya kwa kuwapumzisha Kabuti na mwenzake Lukubi; halafu anawarudisha kana kwamba alikuwa amewapeleka kuchukuwa mafunzo mahli!
Hii ni mbinu ya kuwashughulikia hawa viongozi, halafu anapoona ni hao hao atakao wategemea kumrudisha madarakani, anakimbia haraka kuwarudisha. Hali ni hiyo hiyo hata katika ngazi nyingine za uongozi ndani ya chama na serikalini. Akina Makonda ni mfano halisi.

Jambo la pili ambalo ningeomba atafute njia za kulizungumzia ili wananchi walielewe, ni hili la huyo mwanamke kujipa 'u'Chura Kiziwi' eti asisiskie kelele za waTanzania, huku akiendelea kufanya uharibifu mkubwa kwa nchi yetu.
Huku ni kuwadharau watu anao waongoza.
Hili linafaa kuelezwa kwa wananchi walielewe vizuri kabisa. Hii nchi hatuwezi kuswagwa tu kama mifugo.

Mfano hapa ni: Pesa ya kuwahamisha Maasai ilitoka wapi, na uamzi wa kuhamisha raia wa nchi hii mjadala wake ulifanyika wapi na lini.

Hapa kwenye kumshauri nini afanye au nini kifanyike, sijawahi acha kumwambia kamanda nguli imhotep kuwa pana ukakasi wa kutosha

Kwamba kuna waungwana wanadhani wako positioned kufanya vyema zaidi:

"Kwanini badala ya kumpa ushauri huo wasiutumie wao wakang'ara zaidi?"

Retired, Salary Slip, JokaKuu au nasema uongo ndugu zangu?
 
[emoji1787][emoji1787]
Nachomwa sindano hapo...

Wala simsumbui nesi zaidi ya kuugulia maumivu...mimi ni mtulivu na sirukiruki kama TL..

Kamchome sindano ndugu TL uone kama HAITAMKATIKIA....[emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app

Sasa endelea kutomsumbua nesi mambo yenyewe si mbali.

Dawa ikiacha kukuingia tutashukuru kwa mrejesho.
 
ITV waulize masuala ya Kisera na kikatiba zaidi wananchi wanufaike,waache porojo za mitandaoni
 
Back
Top Bottom