Tundu Lissu kuungurumia ITV siku ya tarehe 26, 08, 2024

Tundu Lissu kuungurumia ITV siku ya tarehe 26, 08, 2024

Si umeona nilivyohitumisha ndugu?

"Kwani hatukuyaheshimu maoni yenu?"

Tunachokataa ni ujuaji na kubagaza wengine.

Nakazia:

"Siasa siyo uadui!"
actually,
ieleweke wazi kwamba, binafsi si mpagazi wala mbaguzi kwasabb ya ile dhamana ya wananchi niko nayo,
sibagui dini, chama cha siasa, au kabila la mwananchi yeyote...

lakini zaidi sana,
ninaheshimu mno maoni na mtazamo wa kila mwanafamilia hii muhimu sana ya JF, kwasabb ni uhuru na haki ya kikatiba kwa kila moja wetu hata kama ananiporomoshea matusi...

daima nitasema ukweli kwa uwazi bila kumungunya maneno na wala bila mbambamba yoyote na bila kujali nani atanifikiriaje kwasabb ndio haki na uhuru wake kufanya hivyo...

lakini pia siwez kubabaika kwa ajili ya eti mtu hanieheshimu, hiyo ni hiyari yake..
namuheshimu anae niheshishimu, asie niheshimu simjali 🐒
 
Natumaini angeongelea na ufujaji wa mabilioni kwa kisingizio cha Kisimkazi festival.
Magufuli alikuwa hafuji pesa kule Chato kwa shughuli za anasa.
 
Kumbe makasiriko yako kwangu ni kwa kuwa tu huyo mwamba tumemkubali kwamba ni jembe kweri kweri?

Kwamba kumbe kwa mtazamo wako mtu lazima awe nani, talents zake kuwa appreciated?

Kwa mwendo huu, kumbe si mtatuuliza hata kina Mandela, Mtikila, Seif, Nyerere, Malema, Hamas, Obama, nk, nao ni kina nani kwetu?

Wapi nimesema au hata kujaribu kuashiria kuwa huyo mwamba ni mali yangu?

Kwamba kumbe wewe unamiliki watu?

Looh!

Jifunzeni kuwa appreciative kwa
talents za watu wanaowazidi hata kama hawakusoma kuliko nyie.

Talanta ni kutoka kwa Mungu.

Aliyepewa, kapewa!

"Economist FYI, kuona tunapo "stand our grounds" dhidi ya vitisho uchwara "left, right and center."
Nisha malizana na wewe. Huna la ziada linaloweza kunifanya nijadili hapa.
Una utoto mwingi sana wewe.
 
Nimeshanunua Bia zangu mbili tokea asubuhi nimeziweka ndani ya Friji tayari kwa kusubiria Mahojiano hayo.
 
sasa mimi nikuite wew nyumbu ati kwasababu unakurupuka kujibu mambo rahisi kwa mihememko na ghadhabu itasaidia nini kwa mfano?🐒

mimi nadeal na mambo ya msingi na ya maana yale ambayo wanainchi wanataka kujua, kujifunza na kuongeza ufahamu wa mambo ya mbalimbali kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa...

mengine siwezi babaika nayo hata 🐒
Mada unayojadili hapa ni moja ya mambo unayoona ni ya msingi?
 
Back
Top Bottom