Tundu Lissu kuungurumia ITV siku ya tarehe 26, 08, 2024

Tundu Lissu kuungurumia ITV siku ya tarehe 26, 08, 2024

excuse me,

sikumaanisha wew ni nyumbu na wala unakurupuka au una mihemko au ni wale wa kuyaporomosha, la hashaa...

kwasabb ni useless narrative sioni maana wala muda wa kumcategorize mtu kwenye kundi la nyumbu au chawa kwasabb ni nonsense...

mim nina issues za maana na sina mbambamba yoyote kuziweka wazi regardless nani atajiskiaje, kwasabb ni kimkakati zaidi na kibobevu zaidi 🐒

Unadhani chawa wanaona hawana issue za maana?

Kumbe hukufahamu ni kwa nini waswahili husema nyani haoni kund*le?

Si unakumbuka ulisema wewe huwa huongelei watu?

Ushahidi ukathibitisha vinginevyo siyo?
 
Hapa kwenye kumshauri nini afanye au nini kifanyike, sijawahi acha kumwambia kamanda nguli imhotep kuwa pana ukakasi wa kutosha

Kwamba kuna waungwana wanadhani wako positioned kufanya vyema zaidi:

"Kwanini badala ya kumpa ushauri huo wasiutumie wao wakang'ara zaidi?"

Retired, Salary Slip, JokaKuu au nasema uongo ndugu zangu?
Unaonyesha ujinga wa kushangaza sana wewe.
Lissu sasa hivi ana 'platform', unataka kila mwenye mchango wa ushauri akaanzishe jukwaa lake pembeni?

Seriously, nakushangaa sana leo.

Kwani hapo ulipo wewe unadhani Lissu hachukui ushauri? Huyo atakuwa mwanasiasa wa aina gani. Ulisha ona wapi mtu mmoja ndiye awe anashikilia kila aina ya jambo.
Hata hivyo, kwenye mawazo yako unafikiri kupewa ushauri ni kulazimishwa kuukubali ushauri?

Najuwa u-'fanatic' ulio nao, huna tofauti yoyote na akina Lucas tunao waona humu kila siku.. Tundu Lissu akisikiliza maoni ya watu wa aina yako hafiki popote.
Lakini elewa hili moja, kwamba, kwa sasa hivi matumaini yetu yapo kwa Tundu Lissu kutusaidia kuondoa huu uchafu wa CCM. Kazi hiyo hawezi kamwe kuifanya peke yake; ni kazi yetu sote, ikiwa ni pamoja na sisi kumpa ushauri.
Natumaini utanielewa vyema kuhusu hili.
 
ITV waulize masuala ya Kisera na kikatiba zaidi wananchi wanufaike,waache porojo za mitandaoni

Uzuri ni kuwa Simba anayo majibu Kwa maswali yote + yule mbwa mpumbavu mbwekea ndege kama wakiyataka.
 
Farhia Middle Mtoto wa Kibarbaig anakutana na Simba Dume achunge tu asijeliwa😁
Mie nilidhani ni Mpemba huyo...! EEeeh!...Eti unasema: m,Barbaig', kweli?

Unawajuwa wa'Barbaig' lakini, au ni mimi sijafuatilia muda mrefu hali yao halisi?
Nime changanya madesa hapa! Nilifikiri unazungumzia wale jamaa wasaka asali misituni, sijui wanaitwa akina nani wale!
 
Unaonyesha ujinga wa kushangaza sana wewe.
Lissu sasa hivi ana 'platform', unataka kila mwenye mchango wa ushauri akaanzishe jukwaa lake pembeni?

Seriously, nakushangaa sana leo.

Kwani hapo ulipo wewe unadhani Lissu hachukui ushauri? Huyo atakuwa mwanasiasa wa aina gani. Ulisha ona wapi mtu mmoja ndiye awe anashikilia kila aina ya jambo.
Hata hivyo, kwenye mawazo yako unafikiri kupewa ushauri ni kulazimishwa kuukubali ushauri?

Najuwa u-'fanatic' ulio nao, huna tofauti yoyote na akina Lucas tunao waona humu kila siku.. Tundu Lissu akisikiliza maoni ya watu wa aina yako hafiki popote.
Lakini elewa hili moja, kwamba, kwa sasa hivi matumaini yetu yapo kwa Tundu Lissu kutusaidia kuondoa huu uchafu wa CCM. Kazi hiyo hawezi kamwe kuifanya peke yake; ni kazi yetu sote, ikiwa ni pamoja na sisi kumpa ushauri.
Natumaini utanielewa vyema kuhusu hili.

Tubishanie ujinga ambao qualifications za kuutamka ni kuwa na mdomo tu ndugu?

Aina za kina lukasi? Wengine humo tunakuona wewe!

Nani asiyeijua husuda na kimuhe muhe kilivyowajaa dhidi yake?

Nyani aoneje k*ndule?

IMG_20240824_065438.jpg


Kwamba mjinga nani na hilo ati ni your words against mine?

No wonder tunaongoza Afrika na namba hiyo bila shaka tutakuwa nayo muda mrefu sana!
 
Tubishanie ujinga ambao qualifications za kuutamka ni kuwa na mdomo tu ndugu?

View attachment 3079278

Kwamba mjinga nani na hilo ati ni your words against mine?

No wonder tunaongoza Afrika na namba hiyo bila shaka tutakuwa nayo muda mrefu sana!
Nikisema huna tofauti na akina Lucas, Tlaatlaah wa humu sikosei kitu; na wala siyo mara ya kwanza kukutambua hivyo, na pengine 'worse' kuliko hao.
Kama huamini: rudi nyuma tu ndani ya mada hii hii uliyo anzisha wewe mwenyewe, halafu usome uliyo jaza kwenye mada yenyewe.
Watu wa aina yako mchango wao katika ukombozi wa nchi hii ni sufuri kabisa. Nyinyi ni wapiga vigelegele tu, iwe upande wa wakoloni CCM au huko ndani ya CHADEMA. Tundu Lissu ni mtu mwenye uelewa mzuri, hawezi kuwa na wafuasi kondoo kama wewe ndio muwe watu wa kuwategemea kwa lolote.

Nadhani nimemalizana nawe katika upuuzi huu.
 
Nikisema huna tofauti na akina Lucas, Tlaatlaah wa humu sikosei kitu; na wala siyo mara ya kwanza kukutambua hivyo, na pengine 'worse' kuliko hao.
Kama huamini: rudi nyuma tu ndani ya mada hii hii uliyo anzisha wewe mwenyewe, halafu usome uliyo jaza kwenye mada yenyewe.
Watu wa aina yako mchango wao katika ukombozi wa nchi hii ni sufuri kabisa. Nyinyi ni wapiga vigelegele tu, iwe upande wa wakoloni CCM au huko ndani ya CHADEMA. Tundu Lissu ni mtu mwenye uelewa mzuri, hawezi kuwa na wafuasi kondoo kama wewe ndio muwe watu wa kuwategemea kwa lolote.

Nadhani nimemalizana nawe katika upuuzi huu.

Actually kina Tlaatlaah na Lucas ni much better kuliko wewe.

Kwamba unadhani una ushauri bora? Kulikoni tuandikie mate, si uutumie wewe ili ufanye vizuri zaidi?

Kwani taabu hapo iko wapi ndugu?

Au wewe ni bingwa wa kushauri tu?

Ukweli mchungu wewe kwenye ukombozi ni mzigo.

Watu kama wewe Mollel aliwaona:

FpKL8ABWcAANyqU.jpeg


Ushauri?

Nani anataka ushauri wako ndugu?
 
Sisi tunamwamini, msiomwamini Hilo si tatizo lenu?

Kwani mbona zile za Dodoma hamjawahi kuzidai kwa Muroto?
Mwanasheria hana maneno matupu yasiyo na ushahidi...

Unataka niamini kisicho na ushahidi kwa kuwa amesema Tundu Lissu unayemuamini [emoji817]%?!!

Eti mtunduizi kaka Brazaj?!![emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kwani Tundu Lissu ni nani hasa kwako, ni mali yako au?

Kumbe makasiriko yako kwangu ni kwa kuwa tu huyo mwamba tumemkubali kwamba ni jembe kweri kweri?

Kwamba kumbe kwa mtazamo wako mtu lazima awe nani, talents zake kuwa appreciated?

Kwa mwendo huu, kumbe si mtatuuliza hata kina Mandela, Mtikila, Seif, Nyerere, Malema, Hamas, Obama, nk, nao ni kina nani kwetu?

Wapi nimesema au hata kujaribu kuashiria kuwa huyo mwamba ni mali yangu?

Kwamba kumbe wewe unamiliki watu?

Looh!

Jifunzeni kuwa appreciative kwa
talents za watu wanaowazidi hata kama hawakusoma kuliko nyie.

Talanta ni kutoka kwa Mungu.

Aliyepewa, kapewa!

"Economist FYI, kuona tunapo "stand our grounds" dhidi ya vitisho uchwara "left, right and center."
 
Mwanasheria hana maneno matupu yasiyo na ushahidi...

Unataka niamini kisicho na ushahidi kwa kuwa amesema Tundu Lissu unayemuamini [emoji817]%?!!

Eti mtunduizi kaka Brazaj?!![emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app

Ndugu mwanasheria nguli, umeanza leo kusikia watu kuwa wana imani na watu?

Hata waliokuwa wakiimba kuwa na imani na Nyerere, Lowassa au hata Msigwa hukuwahi kuwasikia?

Usikute mwimbisha kibwagizo hicho almaarufu, hata ni wewe na wenzio wa aina ya kina Tlaatlaah, Lukasi , ya kuwa:

"Mna Imani na Chamia
Oya oya oyaaaa!

Chamia kweli?
Kweli!"
🎼🦿🎵

Kazi kweli kweli.🤣

Kwani hatukuyaheshimu maoni yenu?
 
Ndugu mwanasheria nguli, umeanza leo kusikia watu kuwa wana imani na watu?

Hata waliokuwa wakiimba kuwa na imani na Nyerere, Lowassa au hata Msigwa hukuwahi kuwasikia?

Usikute mwimbisha kibwagizo hicho almaarufu, hata ni wewe na wenzio wa aina ya kina Tlaatlaah, Lukasi , ya kuwa:

"Mna Imani na Chamia
Oya oya oyaaaa!

Chamia kweli?
Kweli!"
🎼🦿🎵

Kazi kweli kweli.🤣

Kwani hatukuyaheshimu maoni yenu?
ni muhimu sana ikaeleweka kwamba, kadiri ya uumbaji wa Mungu, "HATUFANANI "

kila moja wetu kuna Neema na Baraka yake kutoka kwa Mungu ambaye ndiyo inambeba na ndiyo maana yupo hivyo halipo,

waliobebwa na ushirikina kama huo wa sijui wa kua na imani na nani au nin wanaonekana wanavyombwela mbwela majukwaani. Amini Mungu 🐒
 
ni muhimu sana ikaeleweka kwamba, kadiri ya uumbaji wa Mungu, "HATUFANANI "

kila moja wetu kuna Neema na Baraka yake kutoka kwa Mungu ambaye ndiyo inambeba na ndiyo maana yupo hivyo halipo,

waliobebwa na ushirikina kama huo wa sijui wa kua na imani na nani au nin wanaonekana wanavyombwela mbwela majukwaani 🐒

Si umeona nilivyohitimisha ndugu?

"Kwani hatukuyaheshimu maoni yenu?"

Tunachokataa ni ujuaji na kubagaza wengine.

Nakazia:

"Siasa siyo uadui!"
 
Back
Top Bottom