Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
maeneo ya hapo katikati kama unaenda bagamoyoNilikusudia kuandika jack of all trades.

Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maeneo ya hapo katikati kama unaenda bagamoyoNilikusudia kuandika jack of all trades.

Tupo kwenye TV tunasubiri nondo Kwa hamu kubwa!!Haya tena kile chuma cha pua kwenye ubora wake kitakuwepo ITV kumwaga shule.
Wengine wanakiita Simba.
Wengine hawachoki kukifanyia fitna.
Ama kwa hakika wengine kwetu huyu:
View attachment 3079045
Ndiye yule mwanetu mpendwa tunaye pendezwa naye!
Umenishinda tabiaa..... Mie Nina nyagi ndogo nainyonyonga taratibu nikisikiliza neno toka Simba WA YudaNimejiweka teyari mbele ya Runinga yangu na Bia yangu ya Baridi.🤓
Simba wa Taifa ataunguruma.
Nimejiweka teyari mbele ya Runinga yangu na Bia yangu ya Baridi.🤓
Simba wa Taifa ataunguruma.
Tupo kwenye TV tunasubiri nondo Kwa hamu kubwa!!
Simba wa Bara ataunguruma soon
Concur with you! Nothing to expect from this program….. ITV will not air anything that will threat CCM and Samia!Kwanini sio kipindi live? Vipindi vilivyokwisha kurekodiwa na kurekebishwa havivuti hisia sana, naangalia anyway.
Sikiliza kwanza uko online au?Oookay, single yake ni ile ile ya 'nilifuatwa na abdul' au Kuna nyingine?