- Thread starter
- #141
Mgombea wa CCM naye aulizwe kama hajawahi kupokea wala kutoa CCM
Tlaatlaah, johnthebaptist, Lukasi watapinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgombea wa CCM naye aulizwe kama hajawahi kupokea wala kutoa CCM
Lissu ni lawyer turned politician.Anadai anataka kuhongwa ili awe mpole. Ngoja tusubiri..
CCm ndio Rushwa?Mgombea wa CCM naye aulizwe kama hajawahi kupokea wala kutoa CCM
Weee! wanaogopa Aibu haoKuwe na mdahalo wa Samia na Lissu, tutajua mengi
Wahuni hao.Hili swali la marafiki wa kimataifa nimecheka sana, kumbe CCM hadi wamejengewa chuo ila wanawasema wenzao wanatumika na mabeberu.
Lisu kawa wa kawaida sana,
2020 alipo kuwa hapo Itv dakika 45 hizo dakika 45 zilikua kama dakika 10 hadi zikaongezwa mpaka 50
Hahaha you can not imagine how Midre was shaking….😂😂😂😂Hili swali la marafiki wa kimataifa nimecheka sana, kumbe CCM hadi wamejengewa chuo ila wanawasema wenzao wanatumika na mabeberu.
Si ndo hapo, na hapa kapiga mshonoHili swali la marafiki wa kimataifa nimecheka sana, kumbe CCM hadi wamejengewa chuo ila wanawasema wenzao wanatumika na mabeberu.
elezea kifupi lakini kwa kina unachohitaji kufahamu zaid kutoka kwangu🐒
Alieleza hilo chadema mwaka jana ilipata 17% na sheria ya vyama vya siasa inasema ili upate ruzuku atleast upate 5% ya kura zote za wabunge au madiwani nchini koteNa hii pesa ya ruzuku ya vyama ambavyo havijakizi vigezo inabidi watweleze uzur
Huyu ndiye mwanasiasa pekee aliyejichanganua...katu hapokei rushwa, anakemea rushwa popote hata ndani ya ChademaHaya tena kile chuma cha pua kwenye ubora wake kitakuwepo ITV kumwaga shule.
Wengine wanakiita Simba.
Wengine hawachoki kukifanyia fitna.
Ama kwa hakika wengine kwetu huyu:
View attachment 3079045
Ndiye yule mwanetu mpendwa tunaye pendezwa naye!