Jelavic
Senior Member
- Dec 28, 2016
- 183
- 380
Kama tunavojua Rais wetu mpendwa ni Rais msikivu na mchapakazi, kila alichoahidi anajitahidi kukitekeleza, aliahidi kufikia 2020 Upinzani utakuwa umekwisha Tanzania, watu wengi hawakuelewa atatumia njia gani, wengine walivyoona watu wanahudhuria mikutano ya kampeni ya upinzani walibeza kuwa mheshimiwa Rais ameshindwa kutekeleza ahadi yake muhimu kwa chama kilichompa dhamana, lakini kumbe dhana yao haikuwa sahihi, ni kweli aliahidi upinzani utakufa lakini hakusema ATATUMIA NJIA GANI.
Kwahiyo kipimo alichotumia Mh:Tundu Lissu ambacho ni kuhudhuria kwa watu kwenye mikutano, SIO HICHO alichokikusudia mpendwa wetu raisi. Nadhani sasa umeelewa ahadi ya Mtukufu raisi wetu mpendwa imetimia ndani ya wakati Tanzania yote ya kijani na 2020 bado haijaisha.
Tunashukru ulimkumbusha katika muda muafaka, hatimae AMEKUTIMIZIA, Nadhani sasa umefurahi kuona raisi wetu ni mkweli.
Sisi wananchi tunakuona ni shujaa mkubwa sana ambae uliendelea kukumbusha ahadi ya raisi itekelezwe hata kama ulijua utaumiza wanachama wako wachache wasiozidi milioni saba, nadhani uliona kutekelezewa ahadi hiyo kwa wanachama zaidi ya milioni tisa wa chama chetu ni bora ukilinganisha na wanachama wako wachache.
Wewe ni shujaa wa kihistoria, historia itakukumbuka.
Hongera sana.
Kwahiyo kipimo alichotumia Mh:Tundu Lissu ambacho ni kuhudhuria kwa watu kwenye mikutano, SIO HICHO alichokikusudia mpendwa wetu raisi. Nadhani sasa umeelewa ahadi ya Mtukufu raisi wetu mpendwa imetimia ndani ya wakati Tanzania yote ya kijani na 2020 bado haijaisha.
Tunashukru ulimkumbusha katika muda muafaka, hatimae AMEKUTIMIZIA, Nadhani sasa umefurahi kuona raisi wetu ni mkweli.
Sisi wananchi tunakuona ni shujaa mkubwa sana ambae uliendelea kukumbusha ahadi ya raisi itekelezwe hata kama ulijua utaumiza wanachama wako wachache wasiozidi milioni saba, nadhani uliona kutekelezewa ahadi hiyo kwa wanachama zaidi ya milioni tisa wa chama chetu ni bora ukilinganisha na wanachama wako wachache.
Wewe ni shujaa wa kihistoria, historia itakukumbuka.
Hongera sana.