Tundu Lissu kwenye spotlight: Unaikumbuka kesi ya Rais Magufuli? Clip yake haitaji "Rais Samia". Inataja "Rais" na "mama" tu

Tundu Lissu kwenye spotlight: Unaikumbuka kesi ya Rais Magufuli? Clip yake haitaji "Rais Samia". Inataja "Rais" na "mama" tu

Na kiongozi yeyote anaposimama kukemea udhalilishaji wa viongozi wetu, kwa kuwa kumbe ccm wameona ubaya wakutukanwa kwa viongozi, basi asisemee hili la leo peke yake, bali aanze kukemea yote yaliyokuwa yakiwadhalilisha viongozi wote wa kipindi cha nyuma miongoni mwao akiwapo hayati JPM
JPM ndiye mwanzilishi wa udhalilishaji wa viongozi. Musiba alikuwa anatukana viongozi mchana kweupe huku akiwa anacheza na kuruka ruka ikulu kwa baraka za Jiwe. Misiba alikuwa anatamba atakavyo kwasabb alikuwa analindwa na kufadhiliwa na jiwe
 
Lissu amekuja na id nyingine kujaribu kuonyesha jinsi huu utetezi utamsadia!
kipara kipya Tundu Lissu hawezi kuwa na unanimous ID kama wewe mwoga mwoga. Akitaka kukukabili anakuja kwako uso kwa uso live...

Kwa hiyo, Uzima Tele ni shabiki na mpenzi mkubwa wa falsafa na aina ya siasa na harakati za Tundu Lissu...

Pole sana kwa kufikiri na kudhani hivyo....
 
Chadema bhana 😂😂 Kwahy mtu akisema Rais Samia ni tofauti na akisema Rais Samia Suluhu Hassan?
 
Yule hawezekaniki courtini!!!

Magu alimshindwa,

Risasi zilimshindwa,

Anatakiwa asikilizwe tu asemacho na anachoshauri,

Akimlilia Muumba wake mtaadhibiwa!!
KWa mateso aliyopitia hana raha yoyote hapo alipo, mnajifariji tu ni wa kuonewa huruma kwa aliyopitia hakuna ushindi wowote hadi sasa, labda aje kufanikiwa kuwa rais ambayo na yenyewe ni ndoto.
 
Ukisikiliza ile clip inayodaiwa na Nape kuwa Tundu Lissu kamtukana Rais na ghafla kwa kufikiri ni kosa, DCI Kingai kamwita Tundu Lissu ili amhoji na bila shaka ikiwezekana afungulie mashitaka, basi utagundua mambo kadhaa kuonesha kuwa walioindaa wana akili sana na kina Nape na Kingai bila kutumia akili wanataka kuingia mkenge ili kulipa milage suala la mkataba wa bandari kusikika zaidi na zaidi.

Na bila shaka unaweza kuona tu kuwa, kesi hiyo itakuwa aidha kosa la uchochezi au defamation of character au yote mawili.

HERE ARE THE SOME FACTS CHECKS ZA HIYO CLIP

1. Ukisikiliza ile clip vizuri, utagundua kuwa mazungumzo hayo yalikuwa katika mtindo wa mahojiano yaani maswali na majibu. Kuna aliyekuwa anauliza swali/maswali na kisha Tundu Lissu kutoa majibu ya maswali hayo.

2. Producer wa clip ya mazungumzo hayo ame - mute sauti ya muuliza maswali kiasi cha msikilizaji asijue swali lilikuwaje. Sauti inayosikika ni ya mjibu maswali tu - Tundu Lissu. Bila shaka ni walikubaliano hivyo.

3. Kwenye clip hiyo, Tundu Lissu hamtaji Rais kwa jina. Kinachosika ni maneno mawili "Rais" na "mama". Na ofcoz hataji ni Rais wa wapi au wa taasisi gani. Na hataji mama fulani kwa jina specific. Maana tuna Marais wengi kama Rais wa TFF, TLS nk nk. Na tuna kina mama wengi akiwemo mama yake mwenyewe Tundu Lissu..

Kilichomwibua Nape na Kisha DCI Kingai bila shaka ni kuoanisha kilichozungumzwa na Tundu Lissu na kutamkwa kwa maneno "Rais" na "mama" na mjadala mkali unaoendelea sasa hapa nchini wa mkataba wa kuuza au kugawa bure kwa bandari zote za Tanganyika kwa waarabu wa Dubai kulikofanywa moja kwa moja na Rais Samia Suluhu Hassan (ambaye ni mama pia) na Waziri wake Prof Mbarawa - hawa wote ni Wazanzibari na wamesaini mkataba wa kugawa bure mali za Tanganyika kwa waarabu..!!

4. Hii itukumbushe huko nyuma wakati wa utawala wa hayati Rais Magufuli ambapo TL aliwahi kufunguliwa kesi tata ya dizaini hii hii akidaiwa kumtukana au kumkashifu mtu anayeitwa JPM.

Kesi hii iliishiaga hewani kwa sababu mshitakiwa alimtaka huyo mtu anayeitwa JPM aje mahakamani aseme ni kwa namna gani ameathiriwa na maneno yake. Hakutokea ama walioshitaki walishindwa kumleta maana haikujulikana wamlete JPM yupi!!

Na sasa Je, ikitokea Kingai kapeleka kesi mahakamani, atampeleka Rais au mama yupi mahakamani ili aeleze namna alivyoathiriwa na kauli ya TL..??

Haaa haa haa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Patamu sana hapo...!!!

5. Naona na utawala huu wa Rais Samia Suluhu Hassan unafuata njia ileile ya hayati Rais Magufuli na kwa mtu yule yule.

Je safari hii watashinda? Tusubiri huyu mwamba (Tundu Lissu) arudi toka safari yake huko ughaibuni ili akabiliane na Kingai kwanza....
Hapa Itabidi tufanye duwa ili Mungu atuamulie huu ugomvi kwa mara nyingine
 
Binafsi naamini Lussu kawehuka baada ya kupata kile kipigo na kuuguwa kwa muda mrefu. Hiyo ni kawaida sana.


Huyo namshauri DCI ampeleke Lussu kwanza akapimwe akili au amuombe jaji ampeleke akachunguzwe akili na mabingwa wa magonjwa ya vichaa.

Hayupo "normal" kabisa.

hata kwenye chama chake hawamuelewi elewi, kwenye familia yake ndiyo kabisa. Majanga.
Na wewe ukapimwe marinda maana stori za yule kibenten wako ni kuwa unampeleka sana mitaa ya mpalange
 
kipara kipya Tundu Lissu hawezi kuwa na unanimous ID kama wewe mwoga mwoga. Akitaka kukukabili anakuja kwako uso kwa uso live...

Kwa hiyo, Uzima Tele ni shabiki na mpenzi mkubwa wa falsafa na aina ya siasa na harakati za Tundu Lissu...

Pole sana kwa kufikiri na kudhani hivyo....
Kichwa cha habari LISSU AMPIGA MKWARA MBUZI KIPARA KIPYA kwa kutumia id ya Uzima Tele!
 
Nafahamu huko kwa waliberali hamna haja ya kupimwa, kauli zenu tu zinajionesha mpo behewa kabisa.
images (44).jpeg
 
Ukisikiliza ile clip inayodaiwa na Nape kuwa Tundu Lissu kamtukana Rais na ghafla kwa kufikiri ni kosa, DCI Kingai kamwita Tundu Lissu ili amhoji na bila shaka ikiwezekana afungulie mashitaka, basi utagundua mambo kadhaa kuonesha kuwa walioindaa wana akili sana na kina Nape na Kingai bila kutumia akili wanataka kuingia mkenge ili kulipa milage suala la mkataba wa bandari kusikika zaidi na zaidi.

Na bila shaka unaweza kuona tu kuwa, kesi hiyo itakuwa aidha kosa la uchochezi au defamation of character au yote mawili.

HERE ARE THE SOME FACTS CHECKS ZA HIYO CLIP

1. Ukisikiliza ile clip vizuri, utagundua kuwa mazungumzo hayo yalikuwa katika mtindo wa mahojiano yaani maswali na majibu. Kuna aliyekuwa anauliza swali/maswali na kisha Tundu Lissu kutoa majibu ya maswali hayo.

2. Producer wa clip ya mazungumzo hayo ame - mute sauti ya muuliza maswali kiasi cha msikilizaji asijue swali lilikuwaje. Sauti inayosikika ni ya mjibu maswali tu - Tundu Lissu. Bila shaka ni walikubaliano hivyo.

3. Kwenye clip hiyo, Tundu Lissu hamtaji Rais kwa jina. Kinachosika ni maneno mawili "Rais" na "mama". Na ofcoz hataji ni Rais wa wapi au wa taasisi gani. Na hataji mama fulani kwa jina specific. Maana tuna Marais wengi kama Rais wa TFF, TLS nk nk. Na tuna kina mama wengi akiwemo mama yake mwenyewe Tundu Lissu..

Kilichomwibua Nape na Kisha DCI Kingai bila shaka ni kuoanisha kilichozungumzwa na Tundu Lissu na kutamkwa kwa maneno "Rais" na "mama" na mjadala mkali unaoendelea sasa hapa nchini wa mkataba wa kuuza au kugawa bure kwa bandari zote za Tanganyika kwa waarabu wa Dubai kulikofanywa moja kwa moja na Rais Samia Suluhu Hassan (ambaye ni mama pia) na Waziri wake Prof Mbarawa - hawa wote ni Wazanzibari na wamesaini mkataba wa kugawa bure mali za Tanganyika kwa waarabu..!!

4. Hii itukumbushe huko nyuma wakati wa utawala wa hayati Rais Magufuli ambapo TL aliwahi kufunguliwa kesi tata ya dizaini hii hii akidaiwa kumtukana au kumkashifu mtu anayeitwa JPM.

Kesi hii iliishiaga hewani kwa sababu mshitakiwa alimtaka huyo mtu anayeitwa JPM aje mahakamani aseme ni kwa namna gani ameathiriwa na maneno yake. Hakutokea ama walioshitaki walishindwa kumleta maana haikujulikana wamlete JPM yupi!!

Na sasa Je, ikitokea Kingai kapeleka kesi mahakamani, atampeleka Rais au mama yupi mahakamani ili aeleze namna alivyoathiriwa na kauli ya TL..??

Haaa haa haa😂😂😂😂. Patamu sana hapo...!!!

5. Naona na utawala huu wa Rais Samia Suluhu Hassan unafuata njia ileile ya hayati Rais Magufuli na kwa mtu yule yule.

Je safari hii watashinda? Tusubiri huyu mwamba (Tundu Lissu) arudi toka safari yake huko ughaibuni ili akabiliane na Kingai kwanza....
Kesi za uchochezi ni za kikoloni hata Prof Kabudi alishasema zifutwe hazina mantiki wala.maslahi yoyote kw aTaifa zaidi ya watu binafsi
 
Huyo Lisu labda wamtishe tishe tu polisi halafu waachane nae. Kuna kesi ilikuwa hata haihusiani na muungano lakini jinsi alivyocheza na maneno ikatakiwa serikali/jamhuri ilete ushahidi. Jamaa wakaona ushahidi ukiletwa utatikisa muungano kuanzia hapo ikapigwa tarehe mpaka ikafutwa. Sasa kwenye hili nafikiri kafanya makusudi wakimpeleka tu mahakamani kuna vitu watatakiwa walete hapo sasa ndio itapigwa tarehe mpaka itafutwa.
 
Tutajie kesi moja mliomfungulia toka enzi na mkamshinda.

Kumbe ni ubobezi katika kulumbana na kesi zake za siasa DHIDI ya CCM??

Sasa huo ni ubobezi Gani,hata kamanda uchwara yericko Nyerere ameshindwa kesi nyingi tuh mahakamani.
 
Hivi Tindu Lissu na nape wapi na wapi!
Domo kaya ni mtu wa kupuuza ili mambo mengine yaendelee!
Nimeangalia hadi CV zao nimecheka hadi mbavu zinauma!! 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom