Tundu Lissu kwenye spotlight: Unaikumbuka kesi ya Rais Magufuli? Clip yake haitaji "Rais Samia". Inataja "Rais" na "mama" tu

Tundu Lissu kwenye spotlight: Unaikumbuka kesi ya Rais Magufuli? Clip yake haitaji "Rais Samia". Inataja "Rais" na "mama" tu

Maana tuna Marais wengi kama Rais wa TFF, TLS nk nk.
Marais hawa Wana ikulu!!!???
===
Bunge libatilishe Azimio lake juu ya bandari huku likiitaka serikali kuleta maelezo mapya ya mkataba/makubaliano baina yake na Dubai ambayo yanavigezo vyote vya kuaminiwa na watanzania wote!!!
 
Marais hawa Wana ikulu!!!???
===
Bunge libatilishe Azimio lake juu ya bandari huku likiitaka serikali kuleta maelezo mapya ya mkataba/makubaliano baina yake na Dubai ambayo yanavigezo vyote vya kuaminiwa na watanzania wote!!!
Ikulu ni ofisi za taasisi wanazozi - Rais..!!
 
JPM ndiye mwanzilishi wa udhalilishaji wa viongozi. Musiba alikuwa anatukana viongozi mchana kweupe huku akiwa anacheza na kuruka ruka ikulu kwa baraka za Jiwe. Misiba alikuwa anatamba atakavyo kwasabb alikuwa analindwa na kufadhiliwa na jiwe
Jpm hayupo lakin musiba si yupo malizaneni naye ,jpm anaongiaje hapa
 
Back
Top Bottom