Tundu Lissu: Legacy ya hayati Magufuli imeanza kusambaratika,uchunguzi usiishie TPA na ATCL

Hawa MATAGA walidhani kila aliyekuwa akimkosoa Magua alikuwa ana issue naye binafsi. Magu alikuwa kiongozi mkandamizaji sana na mbaguzi hilo lipo wazi
 
Madudu ya akina Mkapa yalikuwa yanawekwa wazi, tofauti na tulivyoamishwana miaka hii mitano.
Kwel kabisa madudu yote yamaraisi walipita yaliwekwa wazi vile vilevile kulikua na uhuru WA kuongea sasa awamu hii ya tano ilikua changamoto kwakwel
 
Mbowe anaendelea kuwa mwenyekiti wa cdm. Tunza hii post yangu kwa ajili ya uchakataji huko mbeleni, na ni nani alipeleka wanawake wa covid19 huko bungeni kinyemela.
Phew, sasa kama ni hivyo, huko CHADEMA atakuwa amebaki nani hasa, kama hata Mbowe atakuwa ni pandikizi la CCM?

Halima na Ester Matiko, sikuamini wawe kama walivyogeuka kuwa..., yaani hadi sasa sielewi mchezo huu ulikwenda vipi!

Lakini itashangaza sana kama Mbowe atakuwa ni sehemu ya mchezo huo..., kwa manufaa yapi kwa chama?; au kwake binafsi?
 
Magufuli alisema amemaliza ufisadi, na hiyo ilikuwa ni sehemu ya yeye kunajisi uchaguzi maana kamaliza wizi. Sasa ukisema wanajua tatizo ni Magufuli unamaanisha nini?
Wapi alisema amemaliza ufisadi au rushwa,nenda YouTube usikilize maneno yake 2020 alipokuwa akizindua bunge, alisema tutaendelea kupiga vita vitendo vya ufisadi/rushwa kwa nguvu zetu zote,wewe kauli hiyo ya kumaliza rushwa na ufisadi aliisema lini?acha porojo hii ni serikali ya ccm,na Samia alisema ataendeleza yote yalioachwa na Magufuri 😁😁😄
 
Muda umefika wa Lissu kupambana na ‘post traumatic stress disorder’.

Asichukulie poa akiacha hiyo condition ita develop into other serious forms of stress and mental disorders.
 
Mara umesahau? Vipi ukubwa wa ubongo wako! Lissu aligombea kuwa rais miezi minne iliyopita! Utasemaje hajawahi kuwa na ndoto za kuwa rais? Sasa wewe utaaminika tena mbele za watu? Au ulikuwa umezirai kipindi hicho?
Tumia akili yako vizuri.

Kwa mwaka jana hakuna mtu CHADEMA ambaye angeweza kuwa na mvuto na kupambana kwenye urais kama Tundu Lissu.

Ilibidi, kubidi haimaanishi ana ndoto hiyo.

Mimi ndoto yangu ilikuwa kuwa rubani lakini ikabidi niwe mwalimu.
 
JF mngekuwa Watanzania mngemfungia huyu mppuzi ambaye kazi yake ni kuwakoroga watanzania kwa maslahi ya ma-gays wake,, tunataka mani na maendeleo maraisi wote waliopita Tanzania hawakufanikiwa kupata pesa za kuifanya miradi hiyo ambayo ni kinyume na matakwa ya gays,,, Gays hawataki sisi waafrika tuwe na umeme mpaka vijijini wala tuwe na miundombinu ya kisasa kama reli mabarabara na mifumo ya maji safi na salama ili waendelee kutunyonya na Lissu akiwa wakili wao akipata 10% Gays wanataka kutuchimbia visima vijijini akidai wanatusaidia kumbe kutuchelewesha,,Umeme, Maji, Elimu na miundombinu ya usafir na usafirishaji Gays hawataki tuwe navyo bora na kwa kuwepo kwa kina Lissu na Zitto Gays watafanikiwa hivyo tuwakataeni vikali sana watu hawa wawili,,, Lissu anataka kutuambia ati Magu kanufaika kwenye hii miradi ya kimkakati MUONGO mkubwa
 
Hivi hii hasara ya mabilioni ya uendeshaji wa shirika la ndege,Hayati Magufuli angekuwepo ingesemwa hadharani hata wewe na mimi tukajua?
 
Wewe acha ujinga nenda vijijini huko trecta azina soko baada ya msimu wa kilimo kuisha,matrecta yanabaki kusomba maji tu, wakati msimu wa kilimo eka moja wanalima kwa elfu 20,000)tu sasa hayo yote yakipelekwa huko vijijini yatafanya kazi gani? wakati yaliopo hayana kazi ya kufanya, ndio maana Magufuri alikuwa anakazania tujenge viwanda kwanza ili tuweze kusindika mazao yetu.Kilimo akina tija kama una masoko mkuu
 
Wakague na ule uwanja wa ndege wa chato na Yale mabilioni aliyokuwa akigawia watu njiani...
 
Ulitaka lifanye Kazi ipi zaidi ya kilimo.
 
Alikubali lini kuwa kashindwa urais? Kila siku anadai alishinda.

Washirika wake mpaka wakapeleka malalamiko yao huko Uholanzi kuwa wameibiwa kura!
Kukimbia nchi ni kukubali tosha regardless anasema nini.

Hoja za ubadhirifu ATCL na TPA chini ya Magufuli hazijajibiwa bado.
 
Hunifahamu, leo ndio nasimama kwa ajili ya marehemu, sikuwahi kumtetea mwanzo nilikuwa na Lissu, mpaka nilivyogundua Lissu ana tatizo la ubongo ndio nimemuacha akatibiwe kwanza.
Tujadili hoja zaidi kuliko watu.

Hata watu wenye matatizo ya ubongo wanaweza kutoa hoja nzuri mara mojamoja.

Na watu unaowaheshimu wakakosea.

Waingereza wanasema hata saa iliyosimama huwa inakuwa sawa angalau mara moja kila siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…