NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Wakenya hawa ambaobwakitwagana kwa ukabila wanakimbilia Tanzania tuwasuluhishe kupitia Kikwete wana nini cha kujidai hawa? waxungu wanawaacha watwangane wauane na ukabila wao wanakimbilia Tanzania kutafuta usuluhishi watambabaisha nani? pumbavu .Tanzania kashindwa anaenda kiwachokonoa wakenya.
Your transitions lazima watu zaidi ya 50 wafe, our transitions, few to umaskini una affect kwenu zaidi, tukienda kitakwimu.
Mataga washazoea kuishi kwa unafikAngekaa kimya au kusifia kinafiki kwa kuwa ametibiwa enzi za mwana wa Jomo yaani Uhuru, sasa hiyo ndio ingekuwa rushwa
KweliIla Lissu mdomo wake na wa Jiwe tofauti ni 0
Acha leo niwatetee wakenya. Huyu mtoa post ni mchochezi? Wakenya sio watu wakukataa ukweli kama ilivyo.hapa.bongo. hawajakasirishwa wews ni nani uwaamulie? Kwa nini unataka kuwachonganisha ni lissu? Unajua nini. Itikadi zetu hapa bongo usilazimishe wengine waige. Sisi tunaabudu vyama vya siasa. Ukiwa mfano ccm hata kama chama kingine kikifanya vzr huwezi sifia. Wakenya wako tofauti sana ndugu huku walishapita kitambo. Hawaogopi kuambiwa ukweli hata kama vyama ni tofauti. Nazan hapo ndipo unapokosea.
Uzuri Kenya yetu tuna Uhuru wa kutosha.Tunaruhusiwa kukosoa serikali ata rais unamkosoa na haukamatwi Kama nchi jirani....Mimi Mkenya hapa na nakubaliana na yeye asilimia 100%
Huyo jamaa napenda sana ujasiri wake, huwa harembi na hata kuna siku nilimskia akimkosoa Nyerere ambaye Watanzania huwa hawataki asemwe, kwamba alikua kama mungu mtu na mtimilifu 100%
Kubali kuambiwa ukweli ili ikuweke huru, hao Kenyatta na Moi walifanya madudu sana na kama hatungepambana kutafuta ukombozi wa pili, nchi yetu ingeendelea kuwa maskini miaka yote chini ya chama dhalimu kama ilivyo Tanzania ya leo.
Mimi nilihusika kwenye mapambano ya miaka ya tisini mpaka tukafika hapa tulipo, nina makovu kama ishara ya uhusika wangu.
Leo tuna katiba nzuri, nchi yetu inapepea kiuchumi na kwenye kila taasisi na idara, ni dhahiri hatujafika lakini tunakwenda vizuri.
Kenya ina mfumo tofauti sana wa vyama. Jubilee ni muungano wa vyama, kama ilivyo NASA ya upinzani na NARC ambayo Mwai Kibaki alishinda nayo uchaguzi baada ya kuing'atua KANU. CORD, chama cha upinzani wakati wa Kibaki ilikuwa ni muungano wa vyama pia.Uko sahihi kabisa, wenyewe hawafii chama, wanafia kabila lao.
Ndiyo maana, unaweza kujiuliza vyama vilivyoshika hatamu baada ya kanu viko wapi?
Hata hii jubilee, baada ya 2022 hutaiona tena!!!!
Ndio nashangaa jamaa anavolia lia kwa niaba ya wakenya. Tena kuhusu jambo ambalo kila mkenya analifahamu vyema. Hao marais wote walikuwa madikteta. Wakati wa urais wa Mzee Jomo kwa miaka 15 na ule wa Moi kwa miaka 24 wakenya waliumia sana chini ya kisigino cha utawala wa 'chama cha baba na mama', almaarufu Jogoo au KANU.Acha leo niwatetee wakenya. Huyu mtoa post ni mchochezi? Wakenya sio watu wakukataa ukweli kama ilivyo.hapa.bongo. hawajakasirishwa wews ni nani uwaamulie? Kwa nini unataka kuwachonganisha ni lissu? Unajua nini. Itikadi zetu hapa bongo usilazimishe wengine waige. Sisi tunaabudu vyama vya siasa. Ukiwa mfano ccm hata kama chama kingine kikifanya vzr huwezi sifia. Wakenya wako tofauti sana ndugu huku walishapita kitambo. Hawaogopi kuambiwa ukweli hata kama vyama ni tofauti. Nazan hapo ndipo unapokosea.
Huyo poyoyo mlopokaji, mwache tu aendelee na sasa Magu hayupo hilo tobo litaendelea kuporotoa uhalo kila kona ndio watakapolielewa tobo!Kwenye mahojiano jana na television ya Kenya ya KTN live akiwa Ubelgiji aliwaponda sana mzee Jomo Kenyatta na Daniel Arap Moi kuwa walikuwa madikteta akawapongeza wakenya kujitoa kwenye mikucha yao na kuwa vizuri sasa.
Hakuwatendea haki .Naomba wakenya wenyewe rejeeni hayo mahojiano ni ukosefu wa shukrani katibiwa kipindi cha serikali ya Mtoto wa Kenyatta ambaye ni Uhuru Kenyatta sikutarajia atoe matamko kama yale.
Sasa umeanza kubishana hadi waKenya wenye Kenya yaoWewe utakuwa ODM Haina shida Shida yangu msimamo wa Chadema ulikuwa huo wako wa ODM na wakawa rafiki wa ODM wakahamia baadayeJubilee .Sasa Chadema wako na Jubleee kama Chama wakati Lisu kama makamu mwenyekiti wa Chadema taifa kabaki msimamo wa ODM !!!! What a paradox !! Anyway Chadema nao wanatakiwa kutoa tamko wanadimamia wapi kwenye foreign relations na Kenya ODM au Jubilee? Lisu anaonyesha ni single mover ha stand kwenye corporate devisions !! anabeka tu na kubwata anachokiamini yeye kama yeye na kusahau kuwa yeye ni high level political leader ambaye anatakiwa kuangalia misimamo ya chama chake.
Lisu kuna siku atawaporomoshea matusi ya nguoni wakenya sisi tunamjua huyo mtajijua