Pre GE2025 Tundu Lissu mgonjwa hafai kugombea Urais 2025

Pre GE2025 Tundu Lissu mgonjwa hafai kugombea Urais 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Desprospero

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
1,015
Reaction score
2,493
Viongozi wa Chadema na Wanaharakati waliochukizwa na kina Mbowe, Lissu, Mnyika, Sugu na wanachama wao wamelalamika kwamba Lissu ni mgonjwa. Anatumia dawa muda wote lakini Polisi walimkatalia kutumia dawa zake. Huu ni ushahidi usio na shaka kwamba mwamba ni mgonjwa.

Kama muda wote ni kama gari la mkaa tripu moja shamba tripu saba gereji, wamewasaidia Watanzania kumtoa mapema kwenye orodha ya waliofikiriwa kuchuana na Raia Samia lakini hatutaki tena kurudia makosa kumpeleka Ikulu mtu mgonjwa.

CHADEMA jikagueni afya za mnaotaka wagombee Urais 2025. Ila kwa Lissu aendelee kuuguza afya yake hata kama alisababishiwa na hao hao!
 
ASHAKUM SI MATUSI maoni yako ni ya...
Akili ya mtanzania "mnyonge."
Mnyonge= maamuma, hajielewi, hana utambuzi, maamuzi.
Hii kwa mujibu wa 'nzi wa kijani' wanavyowaona ndio maana hawaishi kuwaita wanyonge(watanzania/mtanzania wa kawaida)
N.B chukia ukiitwa mnyonge au mtanzania wa kawaida.
 
Viongozi wa Chadema na Wanaharakati waliochukizwa na kina Mbowe, Lissu, Mnyika, Sugu na wanachama wao wamelalamika kwamba Lissu ni mgonjwa..
Kwani wewe hujui kwamba anakunywa dawa, bora hata huyo kuliko wenye ugonjwa wa akili (wanao ahirisho kufikiri kwa nafsi) , a.k.a kujizima data, human herding(unyumbu). Mmeboresha mnajiita chawa, unyumbu ni tabia ya waliopewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza, kutumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga kwa viongozi wao
 
Mlimsema hivi Lowasa dhidi ya John Kivuruge akajitanabaisha kwa kupiga push ups kwenye majukwaa na kurukaruka kama.mwehu lakini alikufa fasta zaidi ya mliyemtukana.

Sasa kwa haya unayosema kuna laana itakufata aidha babako au mamako afe kama mbwa na kama walishakufa basi walikufa kama mbwa tu.
 

Attachments

  • 20240812_094210.jpg
    20240812_094210.jpg
    17.3 KB · Views: 4
Mlimsema hivi Lowasa dhidi ya John Kivuruge akajitanabaisha kwa kupiga push ups kwenye majukwaa na kurukaruka kama.mwehu lakini alikufa fasta zaidi ya mliyemtukana.

Sasa kwa haya unayosema kuna laana itakufata aidha babako au mamako afe kama mbwa na kama walishakufa basi walikufa kama mbwa tu.
SAFI SANA MKUU, HUYU ANAYEITA WENZAKE WAGONJWA NI MPUMBAVU
 
Mlimsema hivi Lowasa dhidi ya John Kivuruge akajitanabaisha kwa kupiga push ups kwenye majukwaa na kurukaruka kama.mwehu lakini alikufa fasta zaidi ya mliyemtukana.

Sasa kwa haya unayosema kuna laana itakufata aidha babako au mamako afe kama mbwa na kama walishakufa basi walikufa kama mbwa tu.
Laumu viongozi wako waliyetuambia Lissu ni mgonjwa anatumia dawa kila mara ila polisi walimnyima huduma hiyo. Usinilaumu mimi wala kunirushia make.
 
Unamatatizo mengi wewe
Hupaswi kumbagua mtu
Kwa sasa tunaona anafaa na anauchungu na taifa
 
Back
Top Bottom