King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Chunga sana kauli za majitaka.Viongozi wa Chadema na Wanaharakati waliochukizwa na kina Mbowe, Lissu, Mnyika, Sugu na wanachama wao wamelalamika kwamba Lissu ni mgonjwa...
Kila mtu mgonjwa hapa duniani ,hakuna aliye 100% health ,hata wewe ukienda kupimwa hapo utakutwa na magonjwa nyemelezi kibao.