Pre GE2025 Tundu Lissu mgonjwa hafai kugombea Urais 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe ni mzima?
 
Mnamhofia sana Lissu, mumetuma mapolisi wampige lakini yupo kamili na ndiye tutamsimamisha apimane ubavu na huyo wa kwenu ambaye tangu azaliwe hajawahi kuugua.
 
Mlituaminisha mgufuli mzima ,lowasa mgonjwa sasa nani alitangulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…