Pre GE2025 Tundu Lissu mwana wa Yese amepewa kibali cha kuwaongoza Watanzania

Pre GE2025 Tundu Lissu mwana wa Yese amepewa kibali cha kuwaongoza Watanzania

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Keynez

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
2,428
Reaction score
3,937
Embu Watanzania wenzangu tuchukue wasaa kujikumbusha mafundisho muhimu sana yaliyopo katika hadithi ya Daudi, Mwana wa Yese. Naweza kuandika volume ya vitabu kuhusu hadithi ya Daudi na mafundisho yake.

Daudi alikuwa mpakwa mafuta ambaye angali bado mdogo alipewa kibali cha kuwaongoza Wana wa Israeli. Ni lini na kwa njia gani unabii huo ungeenda kutimia, si yeye wala Samweli, Nabii aliyetumwa kumpaka mafuta waliokuwa wanajua.

Ukiweza kujitenga na ushabiki wa kisiasa na kuuweka pembeni, utaona wazi kabisa kuwa Tundu LIssu amepewa kibali cha kuwaongoza Watanzania. Njia anayopitia ni kama njia ya Daudi, Mwana wa Yese. Ni njia ya kupambana bila kukata tamaa, ya kuwakimbia watesi wake, ya kusamehe, ya kuvumilia, ya kuepuka kulipa kisasi hata pale unapokuwa na nafasi, ya kuwa na uwezo wa kunyumbulika kulingana na mazingira na changamoto iliyopo mbele.

Daudi alikuwa mchunga kondoo, commando, superspy na mwanasiasa. Kama ambavyo sina uhakika wa mafunzo aliyopitia Daudi katika maeneo haya, ni vivyo hivyo kwa Lissu ila kuna viashiria ana "uwezo wa asili" aliopewa na Muumba katika maeneo haya yote. Experience ya maisha na changamoto alizopitia inampa "on the job training" aliyohitaji ili ahadi ipate kutimia.

Sijui itakuwaje mbele ya safari ila kama hadithi hii ya Daudi nimeielewa na inatupa fundisho, inawezekana kabisa kwa Tundu, mwana wa Lissu akaja kupata kile alichoahidiwa, nalo ni kuwaongoza Wana wa Tanzania.

Ni suala la muda tu. Wanasema "It's not a matter of if but when".
 
Mods naomba mrekebishe tag mlizoupa Uzi huu. Pamoja na kwamba hii mada ni ya kisiasa ila haihusiani moja kwa moja na uchaguzi wa 2025.
 
Embu Watanzania wenzangu tuchukue wasaa kujikumbusha mafundisho muhimu sana yaliyopo katika hadithi ya Daudi, Mwana wa Yese. Naweza kuandika volume ya vitabu kuhusu hadithi ya Daudi na mafundisho yake.

Daudi alikuwa mpakwa mafuta ambaye angali bado mdogo alipewa kibali cha kuwaongoza Wana wa Israeli. Ni lini na kwa njia gani unabii huo ungeenda kutimia, si yeye wala Samweli, Nabii aliyetumwa kumpaka mafuta waliokuwa wanajua.

Ukiweza kujitenga na ushabiki wa kisiasa na kuuweka pembeni, utaona wazi kabisa kuwa Tundu LIssu amepewa kibali cha kuwaongoza Watanzania. Njia anayopitia ni kama njia ya Daudi, Mwana wa Yese. Ni njia ya kupambana bila kukata tamaa, ya kuwakimbia watesi wake, ya kusamehe, ya kuvumilia, ya kuepuka kulipa kisasi hata pale unapokuwa na nafasi, ya kuwa na uwezo wa kunyumbulika kulingana na mazingira na changamoto iliyopo mbele.

Daudi alikuwa mchunga kondoo, commando, superspy na mwanasiasa. Kama ambavyo sina uhakika wa mafunzo aliyopitia Daudi katika maeneo haya, ni vivyo hivyo kwa Lissu ila kuna viashiria ana "uwezo wa asili" aliopewa na Muumba katika maeneo haya yote. Experience ya maisha na changamoto alizopitia inampa "on the job training" aliyohitaji ili ahadi ipate kutimia.

Sijui itakuwaje mbele ya safari ila kama hadithi hii ya Daudi nimeielewa na inatupa fundisho, inawezekana kabisa kwa Tundu, mwana wa Lissu akaja kupata kile alichoahidiwa, nalo ni kuwaongoza Wana wa Tanzania.

Ni suala la muda tu. Wanasema "It's not a matter of if but when".
Tuondolee ujinga wako hapa na hadithi zako za watu wa kale a.k.a mizimu. Labada umchukue akuongozee familia yako.
 
Embu Watanzania wenzangu tuchukue wasaa kujikumbusha mafundisho muhimu sana yaliyopo katika hadithi ya Daudi, Mwana wa Yese. Naweza kuandika volume ya vitabu kuhusu hadithi ya Daudi na mafundisho yake.

Daudi alikuwa mpakwa mafuta ambaye angali bado mdogo alipewa kibali cha kuwaongoza Wana wa Israeli. Ni lini na kwa njia gani unabii huo ungeenda kutimia, si yeye wala Samweli, Nabii aliyetumwa kumpaka mafuta waliokuwa wanajua.

Ukiweza kujitenga na ushabiki wa kisiasa na kuuweka pembeni, utaona wazi kabisa kuwa Tundu LIssu amepewa kibali cha kuwaongoza Watanzania. Njia anayopitia ni kama njia ya Daudi, Mwana wa Yese. Ni njia ya kupambana bila kukata tamaa, ya kuwakimbia watesi wake, ya kusamehe, ya kuvumilia, ya kuepuka kulipa kisasi hata pale unapokuwa na nafasi, ya kuwa na uwezo wa kunyumbulika kulingana na mazingira na changamoto iliyopo mbele.

Daudi alikuwa mchunga kondoo, commando, superspy na mwanasiasa. Kama ambavyo sina uhakika wa mafunzo aliyopitia Daudi katika maeneo haya, ni vivyo hivyo kwa Lissu ila kuna viashiria ana "uwezo wa asili" aliopewa na Muumba katika maeneo haya yote. Experience ya maisha na changamoto alizopitia inampa "on the job training" aliyohitaji ili ahadi ipate kutimia.

Sijui itakuwaje mbele ya safari ila kama hadithi hii ya Daudi nimeielewa na inatupa fundisho, inawezekana kabisa kwa Tundu, mwana wa Lissu akaja kupata kile alichoahidiwa, nalo ni kuwaongoza Wana wa Tanzania.

Ni suala la muda tu. Wanasema "It's not a matter of if but when".
tuwe na utu na huruma kidogo ndrugu zango dah,

Inasikitisha sana, inafedhehesha sana kumchochea na kumpa ujasiri mtu ambae kabisa ni bayana na iko wazi kwamba utimamu wa mwili wake hauko sawa na hauwezi chochote,

ni mtu wa kuomba omba kuchangiwa tu ili maisha yake yasonge. Zaidi sana athari za udhaifu wa mwili tayari zinajidhihirisha hata katika kifikiria, kujenga hoja na katika mazungumzo yake tu inaonyesha kuna kitu hakiko sawa...

Tumuombee Mungu, na ashauriwe apate nafasi na muda wa kutosha kupata ahueni zaidi kuliko kumuumiza zaidi kiafya, kuliko kumuhangaisha kwenye hizo songombingo za kisiasa ambazo ataambulia kuhurumiwa tu bila chochote...

Ni mtazamo tu masela msijenge chuki 🐒
 
Tuondolee ujinga wako hapa na hadithi zako za watu wa kale a.k.a mizimu. Labada umchukue akuongozee familia yako.

tuwe na utu na huruma kidogo ndrugu zango dah,

Inasikitisha sana, inafedhehesha sana kumchochea na kumpa ujasiri mtu ambae kabisa ni bayana na iko wazi kwamba utimamu wa mwili wake hauko sawa na hauwezi chochote,

ni mtu wa kuomba omba kuchangiwa tu ili maisha yake yasonge. Zaidi sana athari za udhaifu wa mwili tayari zinajidhihirisha hata katika kifikiria, kujenga hoja na katika mazungumzo yake tu inaonyesha kuna kitu hakiko sawa...

Tumuombee Mungu, na ashauriwe apate nafasi na muda wa kutosha kupata ahueni zaidi kuliko kumuumiza zaidi kiafya, kuliko kumuhangaisha kwenye hizo songombingo za kisiasa ambazo ataambulia kuhurumiwa tu bila chochote...

Ni mtazamo tu masela msijenge chuki 🐒
Mkiweka siasa pembeni na kunisoma vizuri, nina uhakika mtakubaliana na bandiko hili.
 
tuwe na utu na huruma kidogo ndrugu zango dah,

Inasikitisha sana, inafedhehesha sana kumchochea na kumpa ujasiri mtu ambae kabisa ni bayana na iko wazi kwamba utimamu wa mwili wake hauko sawa na hauwezi chochote,

ni mtu wa kuomba omba kuchangiwa tu ili maisha yake yasonge. Zaidi sana athari za udhaifu wa mwili tayari zinajidhihirisha hata katika kifikiria, kujenga hoja na katika mazungumzo yake tu inaonyesha kuna kitu hakiko sawa...

Tumuombee Mungu, na ashauriwe apate nafasi na muda wa kutosha kupata ahueni zaidi kuliko kumuumiza zaidi kiafya, kuliko kumuhangaisha kwenye hizo songombingo za kisiasa ambazo ataambulia kuhurumiwa tu bila chochote...

Ni mtazamo tu masela msijenge chuki 🐒
Dhihaka kwa TAL na kilema Cha kuchonga kilitoka kwenu.

Kilema Cha mwili Ni Bora kuliko kilema Cha Akili.
Mzee unahitaji Mental wheelchair ( A.I).
Ugali sio poa😂
 
Daudi yumo ndani ya chama Cha kijani, wakimkataa ndipo ataingia upinzani na kushinda vita.
 
Dhihaka kwa TAL na kilema Cha kuchonga kilitoka kwenu.

Kilema Cha mwili Ni Bora kuliko kilema Cha Akili.
Mzee unahitaji Mental wheelchair ( A.I).
Ugali sio poa😂
sifahamu kama ni kilema gentleman,

huruma imeniingia sana binafsi, nadhani huruma zaid itawajaa waTanzania endapo Chama chake kitamlazimisha kuomba nafasi ambayo waTanzania watamuonea huruma kwamba kamwe hataweza kulingana na hali yake,

na nadhani kwa namna fulani yoyote iwavyo, watalazmika kumpumzisha nyumbani kwenye sanduku la kura endapo atakaidi huruma zao 🐒
 
Mkiweka siasa pembeni na kunisoma vizuri, nina uhakika mtakubaliana na bandiko hili.
Binafsi sina tatizo kabisa na bandiko lako na nia yako njema kabisa,

Ila nadhani mimi na waTanzania wengine tuna huruma sana na kwamba dah!, tuwe wastarabu jaman na Afya na uhai wa wengine..

Ni ngumu kusema ukweli lakini inatulazimu kufanya hivyo ili angalau kujihakikishia uhuru moyoni..

Lakini kiukweli, kibinadamu, kiungwana si sawa hata kidogo, apumzike tu wengine wafanye kazi hiyo 🐒.
 
Binafsi sina tatizo kabisa na bandiko lako na nia yako njema kabisa,

Ila nadhani mimi na waTanzania wengine tuna huruma sana na kwamba dah!, tuwe wastarabu jaman na Afya na uhai wa wengine..

Ni ngumu kusema ukweli lakini inatulazimu kufanya hivyo ili angalau kujihakikishia uhuru moyoni..

Lakini kiukweli, kibinadamu, kiungwana si sawa hata kidogo, apumzike tu wengine wafanye kazi hiyo 🐒.
Unajaribu kuwa "sarcastic" ila inakuja kama mtu asiyejitambua na aliyechanganyikiwa.
 
Sijui itakuwaje mbele ya safari ila kama hadithi hii ya Daudi nimeielewa na inatupa fundisho, inawezekana kabisa kwa Tundu, mwana wa Lissu akaja kupata kile alichoahidiwa, nalo ni kuwaongoza Wana wa Tanzania.
Amen 🙏
 
Unajaribu kuwa "sarcastic" ila inakuja kama mtu asiyejitambua na aliyechanganyikiwa.
For sure muungwana ni kama kachanganyikiwa tu,
hadi police inakwepa kumuhifadhi kwenye custody zake hata kama kafanya makosa, vitu anavyotumia vinaogofya vinatisha hasa.

Inatia huruma sana, inatia uchungu mno. The gentleman is completely very weak physically and of course mentally 🐒
 
Tuondolee ujinga wako hapa na hadithi zako za watu wa kale a.k.a mizimu. Labada umchukue akuongozee familia yako.
For sure muungwana ni kama kachanganyikiwa tu,
hadi police inakwepa kumuhifadhi kwenye custody zake hata kama kafanya makosa, vitu anavyotumia vinaogofya vinatisha hasa.

Inatia huruma sana, inatia uchungu mno. The gentleman is completely very weak physically and of course mentally 🐒

Huyu Daudi aliyebeba simulizi hii ya mleta mada, alidhihakiwa na kubezwa na kutukanwa kila aina ya matusi si tu na watu baki kama wewe Tlaatlaah na mwenzako senzighe bali na ndugu zake kabisa akiwemo baba yake Mzee Yesse....

Lakini mnafikiri hayo yalimzuia Mungu muumba kumfanya Daudi mfalme wa Israeli...?

HAPANA, haikuzuia. Nyie mko mwilini mleta hoja anatembea na kufikiri kwa kutumia upeo wa frequency za rohoni za juu sana ambazo ufahamu wa akilini zako wewe Tlaatlaah na mwenzako senzighe haufikii hata kiwango cha 0.00000001%.....

Poleni sana watoto wa Chawa na Chura Kiziwi Samia Suluhu Hassan....!!
 
Huyu Daudi aliyebeba simulizi hii ya mleta mada, alidhihakiwa na kubezwa na kutukanwa kila aina ya matusi si tu na watu baki kama wewe Tlaatlaah na mwenzako senzighe bali na ndugu zake kabisa akiwemo baba yake Mzee Yesse....

Lakini mnafikiri hayo yalimzuia Mungu muumba kumfanya Daudi mfalme wa Israeli...?

HAPANA, haikuzuia. Nyie mko mwilini mleta hoja anatembea na kufikiri kwa kutumia upeo wa frequency za rohoni za juu sana ambazo ufahamu wa akilini zako wewe Tlaatlaah na mwenzako senzighe haufikii hata kiwango cha 0.00000001%.....

Poleni sana watoto wa Chawa na Chura Kiziwi Samia Suluhu Hassan....!!
watu wa kiroho hawaambatani na mihemko gentleman 🤣

kazi ya kuhubiri ni ngumu sana, inahitaji ustahimilivu, subra, hekima na busara ya kiwango cha juu sana, tena iliyojazwa na roho mtakatifu ndani yake..

Kukosa maono kiroho ni kuzongwa na mapepo. Kukosa huruma kwa wasio jiweza kiroho, kimwili na kiakili ni ukatili mbaya sana, tena ni mauaji yasiostahili msamaha..

Mtu hajiwezi, unampamba anaweza.
Ndugu zangu, kwani hadi mtu afie kwenye jukwaa la kisasa ndipo muamini, kisha muibuke na unafiki mwingine wa huzuni msibani?🐒

kuweni wangwana
 
Huyu Daudi aliyebeba simulizi hii ya mleta mada, alidhihakiwa na kubezwa na kutukanwa kila aina ya matusi si tu na watu baki kama wewe Tlaatlaah na mwenzako senzighe bali na ndugu zake kabisa akiwemo baba yake Mzee Yesse....

Lakini mnafikiri hayo yalimzuia Mungu muumba kumfanya Daudi mfalme wa Israeli...?

HAPANA, haikuzuia. Nyie mko mwilini mleta hoja anatembea na kufikiri kwa kutumia upeo wa frequency za rohoni za juu sana ambazo ufahamu wa akilini zako wewe Tlaatlaah na mwenzako senzighe haufikii hata kiwango cha 0.00000001%.....

Poleni sana watoto wa Chawa na Chura Kiziwi Samia Suluhu Hassan....!!
Sahihi kabisa mkuu. Simulizi ile ni fundisho tosha kuwa "Mungu siyo Athumani" na kwamba "Wakati wa Mungu ndiyo wakati sahihi"
 
Back
Top Bottom