Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

Mimi nipotoshe ili inisaidie nini?.

Mh. Tundu Lissu alianisha mambo manne katika muktadha wa makundi ndani ya CCM na kila jambo lilikuwa na kundi lake. Jambo la nne lilikuwa linamhusu Mwl. Nyerere na siasa za Zanzibar kama nilivyobainisha hapo juu.

Jaribu kuangalia video yake ili upate ukweli na kubainisha vizuri ninachokisema.

mkuu naomba link ya hiyo video
 
kilaza ni wewe ambaye huwez kulinganisha kati ya matatizo tuliyonayo na structure ya kiuongoz tulionayo.........zero kabisa wewweee

Hakuna kitu Hapo ni upuuzi Mtupu kupigania kuwa na haki sawa na Kaanchi kenye 2000 km^2 wakati wewe unaishi kwenye ya zaidi 940 000 km^2!

Mlipaswa nguvu mnazowekeza kupigania kulima Zanzibar muwekeze kwenye Rasilimali zetu kama Gesi, Madini, Utalii n.k.

Zanzibar inahusiana vipi na watoto kukaa chini Shuleni? Zanzibar inahusiana nini na Wageni Kumaliza Dhahabu yetu na kuachiwa mashimo? Zanzibar inahusiana vipi na EPA? Zanzibar inahusiana vipi na Shule yenye Watoto 500 kuwa na Walimu 2? Zanzibar inahusinana vipi na Mwalimu kutolipwa Mshahara wake kwa zaidi ya miezi 6?
Hayo mambo yote niliyoyataja hayamo ktk swala la Muungano bali ni Mambo ambayo yamo Tanzania Bara kwa 100% labda ukiondoa EPA ambapo Benki Kuu ni moja! Ndio maana nasema kama Mnaona Zanzibar ni muhimu kuliko mambo mengine Basi wote ni Vilaza na Mna IQ ndogo!
 
Tundu Lissu ni smart lawyer na very good mwanaharakati but he is a lousy politician....huwezi mtukana Nyerere na isi ku cost

Nyerere ni nani mpaka hasikosee? Tundu Lissu kasema ukweli mtupu na katoa ushahidi kuwa Nyerere alikuwa muongo.
 
Last edited by a moderator:
Ntazitafuta post zako za kumponda FaizaFoxy kila alipokuwa akiyasema hayo aliyoyasema Lissu jana na mengine. Nyerere niliwahi kusema humhumu JF ni ndumila kuwili.

Nyerere kuhusu Muungano wa Zanzibar alifata maelekezo ya Kanisa. Ngoja na Tundu Lissu aitwe na Kanisa muone kama hajabadilika, mtakuja kunambia humuhumu JF.

Kama leo mnavyodiriki kukubali maneno ya FaizaFoxy kwa kuwa tu yametoka kinywani mwa Tundu, basi iko siku mtayakubali na haya ya shinikizo la Kanisa. Ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.

mama foxy we we si Nazi wa magamba??
imekuaje Leo unamtusi muasisi wa chama Chetu????
 
Duuu naona baadhi ya wana chadema wanashindwa pakusimama kati ya nyerere na lisu
 
Unaweza kusema mengine yote lakini tukubaliane tu kuwa, Mwl. Nyerere hakuwa mtu wa kawaida. Historia inabainisha hivyo na wala siyo yeye anayebainisha kwenye historia. Think bigger!.

Una maana gani Ndg yangu Ng'wamapalala? Huu ni wakati wa kujifunza!
 
Waambie ccm wakubali rasmu ya katiba serikali 3 . Ili kulinda heshima NYERERE .ccm ndio inapelekea sasa hivi .kudhalilisha heshima ya Baba wa Taifa letu Tukufu .


Nakubaliana na maoni yako kwasababu Mwl. Nyerere ameondoka madarakani miaka 28 iliyopita. Watawala waliofuata licha ya kuhufamu upungufu na makosa yaliyo fanyika wakati wa kuunganisha nchi zetu walishindwa kurekebisha makosa. Hata wakati huu ambako wamepata fursa nzuri kuyarekebisha wanagoma na kuja na stori za kisiasa.

Binafsi ni mkereketwa wa siasa za Mwl. Nyerere lakini kwa kusoma hotuba ya Lissu na vielelezo ni dhahiri shairi mambo hayakuwa sawa ktk kuunganisha nchi zetu na hata baada ya kuungana haikufanyika juhudi ya kurekebisha mapungufu. Hii kitu licha ya nia yake njema kabisa haikua sawa!

Tume nyingi ziliundwa kufikia hii ya Jaji Warioba. Wote waliliona hili kwamba limekaa vibaya lakini Watawala wakakataa ushauri. Mpaka jana Lissu akatema nyongo ambayo kwa propaganda rahisi wana CCM watasema amemkosea heshima Mwalimu Nyerere lakini kiukweli wao walioshindwa kurekebisha makosa ndiyo wamesababisha sasa sisi wote tukajua nini tulifichwa!
 
Waambie ccm wakubali rasmu ya katiba serikali 3 . Ili kulinda heshima NYERERE .ccm ndio inapelekea sasa hivi .kudhalilisha heshima ya Baba wa Taifa letu Tukufu .

Kuainisha maovu ya kiongozi sio udhalilishaji bali ndio sera za utawala bora na haki za binaadam. Anakosolewa Rais aliyopo madarakani sembuse Rais asie kuwepo madarakani? Tunacho kosea ni kumfanya Jkn kama malaika mtukufu tukisahau kama yeye mwenyewe akituusia tuenzi na tuendeleze mazuri alio yafanya.Na tuachane na yele tutakayo yaona ni mabaya alio yatenda.sasa tutachana nayo vipi hayo mabaya yake bila kuyaanisha na kuyasema na zaidi kuyajadili ili tukubaliane kwa pamoja kama hili ni baya tuliache na hili ni zuri tulifuate. Mm binafsi sioni kama nikumkashif au kubeza yanapo jadiliwa mambo alio yaasis au kuyafanya huo ndio msingi ulio tukuka ktk demokrasia ya kweli.
 
NOMA SANA BABA wa TAIFA AMEMVUA NGUO,KILA NIKIFIKIRIA INAUMA.BUSARA HAIKUEPO.
 
SISHANGAI SANA WAKATI MTEI KAJA MASASI ALIKUWA ANAMTUKANA BABA wa TAIFA WAZIWAZI.
 
Kazikubwa kuliko zote nikuficha ukweli!
Ukweli hauna mwisho ila uwongo unamwisho na mwisho wa uwongo ubaya!
 
Ndio keshaibadili sasa! Mie mwenyewe sikuwahi kuhisi udikteta wa mwalimu, ila jana nimejua nini mwalimu alicho fanya. Hadi TBC wakafanya Yao.

Hayo aliyo yasema Lisu kila siku wazabzibari wana sema tokea siku ya kwanza tu ya muungano wazanzibari wanasema.Ukisoma vitabu vya Mze Muhamed said na maandiko yake ktk mitandao ya kijamii na mihadhara na makongamano anayo shiriki kila mara husema hayo alio sema jana Lisu lakini kwaida ya wTz huwa hawaamini mtu analosema huwa wanaamini mtu anae sema.hili ndio tatizi letu
 
Tundu Lissu ni smart lawyer na very good mwanaharakati but he is a lousy politician....huwezi mtukana Nyerere na isi ku cost

acha uongo bk 7 yaani wewe na spika nani alikuwa anashuhudia live?.spika alimwabia lisu afute maneno hayo kwa kuwa yanawakera wabunge wenzake.sasa maneno haya mnageuzia kwa waasisi kutaka huruma ya wananchi.
juu hili ccm hamna hoja waacheni wananchi waamue.
 
Nyerere ni nani mpaka hasikosee? Tundu Lissu kasema ukweli mtupu na katoa ushahidi kuwa Nyerere alikuwa muongo.
Lugha aliyotumia mkuu...kumuita Nyerere muongo na alizoea vya haramu huku na wao chadema wakijifanya wana muabudu Nyerere
 
Last edited by a moderator:
Tundu Lissu ni smart lawyer na very good mwanaharakati but he is a lousy politician....huwezi mtukana Nyerere na isi ku cost

Hajamtukana NYERERE!
ALICHOFANYA NI KUMTANIA KIKWELIKWELI TU BABU YETU, NA WATU WENGINE HAWAPENDI BILA KUJUA WANACHUKIA NINI!
 
Wewe punguani kweli tafsiri yako ya udini mtu akiwa Muislam mambo ya Msikiti yameingiaje hapa kama siyo unafiki, kwako uwa hakuna Mkirsto mdini wadini wote ni Waislam.

I would've been "shocked" had you spoken something different!
 
Kati ya wanasiasa ambao wanatakiwa kufungwa gavana ni Tundu lisu. Kwenye Bunge hili la katiba wajumbe wako pale Kujenga ni kubomoa. Kama kuna makosa na dosari katika muundo wa muungano huu ndo wakati wake na si kupokea waasisi wa muungano. Bila hao waasisi ambao waliusimamia muungano ambao hadi leo miaka 50 upo, si wa kubezwa hata Kidogo. Mchango wao ni mkubwa mno kulinganisha na Lisu ambao kazi yake ni kuponda na katika nchi mchango wake katika Kujenga umoja, mshikamano, kudumisha amani hatujauona zaidi ya siasa za uhasama na utengano
 
Back
Top Bottom