Mimi nipotoshe ili inisaidie nini?.
Mh. Tundu Lissu alianisha mambo manne katika muktadha wa makundi ndani ya CCM na kila jambo lilikuwa na kundi lake. Jambo la nne lilikuwa linamhusu Mwl. Nyerere na siasa za Zanzibar kama nilivyobainisha hapo juu.
Jaribu kuangalia video yake ili upate ukweli na kubainisha vizuri ninachokisema.
mkuu naomba link ya hiyo video