Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

Lugha aliyotumia mkuu...kumuita Nyerere muongo na alizoea vya haramu huku na wao chadema wakijifanya wana muabudu Nyerere

ndugu mwalimu wako darasani alikufundisha kuwa neno uwongo lina maana gani?,vp warioba anavyoambiwa muongo na maccm hatukanwi?.
 
Lugha aliyotumia mkuu...kumuita Nyerere muongo na alizoea vya haramu huku na wao chadema wakijifanya wana muabudu Nyerere

ndugu mwalimu wako darasani alikufundisha kuwa neno uwongo lina maana gani?,vp warioba anavyoambiwa muongo na maccm hatukanwi?.
 
Tundu Lissu ni bogus, hawa ndio wale wale politician uchwara, je alikuwepo mkutanoni na wakati Marehemu Sokoine anamwonyesha Mwinyi gari la kupanda? Je, kama Jumbe aliwekwa ndani ilikuwaje aruke na ndege kwenda Zenji. Lissu ni mwongo na hawezi kufika popote anatapatapa tu. J K Nyerere an icon watasema sana lakini wote watapita na jina la Nyerere litabaki pale pale na heshima yake.
 
adui wa nyerere mzee mtei atakuwa alimtuma tundu lisu amtukane nyerere

Lisu ndio mfonao wa mtu anaye juwa maana yakuelimika na kuelimisha sio kama wengine wanao juwa kuelimika ni kujuwa njinsi ya kuchumia tumbo kwa kufurahisha master
 
Siyo kweli umeamua kutuwekea maneno kwenye midomoni mwetu.

Kwa kukusaidia tu ufahamu Waislam hawapo chini ya Bakwata.

Bakwata iliundwa na Nyerere kwa kazi maalum.


1. Kwahiyo Ally Hassan Mwinyi na kikwete siyo waislam ila wewe na kundi lako?

2. Kama kikwete na mwinyi niwaislam vip wasiitumie nafasi ileile alokuwa nayo Nyerere kuuunda chama/Jumuiya nyingine?

3. Mnaitetea hoja ya erikali mbili nyinyi kwakisingizio cha umoja, hili lakujiona wewe nimwislam zaidi kuliko wengine sio ubaguzi? nahapa ndipo wanafiki utakapo waona wanaojadili mambo kidinidini na chuki za udini vichwani.

Hayo ndo tunayaita majungu na udini, Nyerere anaonekana hawa vipi nani kawazuia kufanya mabadiliko? (kikwete na mwinyi) Maana yake nikwamba hakuna ukweli kwenye hoja ya kumlaum nyerere ilhali maraisi wengine katika nafasi ileile wangeweza kufanya marekebisho isipokuwa udini na chuki binafsi.
 
KWA MAMBAO ALIOFANYA BABA WA TAIFA NYERERE,ANATAKA KUTANGAZWA MTAKATIFU,SASA WE lisu ENDELEA KUTUMIKA NA MZEE MTEI.
 
Nakubaliana na maoni yako kwasababu Mwl. Nyerere ameondoka madarakani miaka 28 iliyopita. Watawala waliofuata licha ya kuhufamu upungufu na makosa yaliyo fanyika wakati wa kuunganisha nchi zetu walishindwa kurekebisha makosa. Hata wakati huu ambako wamepata fursa nzuri kuyarekebisha wanagoma na kuja na stori za kisiasa.

Binafsi ni mkereketwa wa siasa za Mwl. Nyerere lakini kwa kusoma hotuba ya Lissu na vielelezo ni dhahiri shairi mambo hayakuwa sawa ktk kuunganisha nchi zetu na hata baada ya kuungana haikufanyika juhudi ya kurekebisha mapungufu. Hii kitu licha ya nia yake njema kabisa haikua sawa!

Tume nyingi ziliundwa kufikia hii ya Jaji Warioba. Wote waliliona hili kwamba limekaa vibaya lakini Watawala wakakataa ushauri. Mpaka jana Lissu akatema nyongo ambayo kwa propaganda rahisi wana CCM watasema amemkosea heshima Mwalimu Nyerere lakini kiukweli wao walioshindwa kurekebisha makosa ndiyo wamesababisha sasa sisi wote tukajua nini tulifichwa!

I like that in red.
 
Duuu naona baadhi ya wana chadema wanashindwa pakusimama kati ya nyerere na lisu
wanajua wamelikoroga,kule vijijini kwa wapiga kura wakiambia hii mijamaa imemtusi nyerere na kumwita amezoea vya haramu,ujue kura hamna tena.
 
Very soon huyu mtu atakushangaza na kuku dissapoint. Siamini kama ana conviction .mimi namuona ni mwanasiasa ambae anahangaika tu kutafuta pa kusimamia...I hope he proves me wrong.

Hawezi kunishangaza kwa lolote atakalofanya simply because sina expectations zozote kubwa kwake.

Atawashangaza labda hao wenye expectations.

Kama umesoma majibu yangu kwako vizuri utaona nimempopoa naye vizuri tu.

I dressed him down facetiously for reasons of space and relevancy, I can dress him down judiciously.
 
1. Kwahiyo Ally Hassan Mwinyi na kikwete siyo waislam ila wewe na kundi lako?

2. Kama kikwete na mwinyi niwaislam vip wasiitumie nafasi ileile alokuwa nayo Nyerere kuuunda chama/Jumuiya nyingine?

3. Mnaitetea hoja ya erikali mbili nyinyi kwakisingizio cha umoja, hili lakujiona wewe nimwislam zaidi kuliko wengine sio ubaguzi? nahapa ndipo wanafiki utakapo waona wanaojadili mambo kidinidini na chuki za udini vichwani.

Hayo ndo tunayaita majungu na udini, Nyerere anaonekana hawa vipi nani kawazuia kufanya mabadiliko? (kikwete na mwinyi) Maana yake nikwamba hakuna ukweli kwenye hoja ya kumlaum nyerere ilhali maraisi wengine katika nafasi ileile wangeweza kufanya marekebisho isipokuwa udini na chuki binafsi.
mwinyi aliruhu iwepo Tanganyika,moto ukawaka,malecela akaambiwa kamshauri rais vibaya,alisemwa hadi akatungiwa na kitabu.

Mwinyi nae alisemwa hadi zoezi likasitishwa.
Jk nae ameruhusu mjadala na amewachia wananchi waamue mfumo wanaoutaka.
 
Kwa miaka kadhaa sasa nilikuwa naandika humu JF kuwa Nyerere. Ni mwongo. Nyerere ni kiongozi aliyeiletea matatizo hii nchi ya kila aina kwa uongo wake na undumila kuwili wake. Mlikuwa hamnielewi? Au mlikuwa hamtaki tu kuamini?

Nyerere alishakiri, kwanza ni Kanisa lake halafu ni nchi. Na hilo mtakataa tumwage ushahidi humu?
 
Hivi kwani Tundu Lissu kaanza kumshutumu Nyerere Leo kama mtakumbuka huyu huyu Tundu Lissu alisha wahi kumuita Nyerere Dikteta na wala hajakosea Nyerere alikuwa fatani sana.
MWALIMU JKNYERERE ALIKUWA DIKTETA MKUBWA SANA NA KACHAWI VILEVILE KWANI ALIWEZA KUWALAZIMISHA WATANZANIA WAAMKIANE KWENYE MIKUTANO NA SHUGHULI ZA SEREKALI KWA KAULI MBIU ISEMAYO zidumu fikira sahihi za mtukufu julis k nyerere HII SLOGANY ILITUMIKA KUANZIA MASHULENI HADI KWENYE MIKUTANO YA SEREKALI hii ina maanisha kuwa mwalimu ALIKUWA SAHAHI KULIKO MTU MWINGINE YEYOTE TANZANIA ina maana hakukuwa na mtu mwingine mwenye fikra chanya kuliko yy.CHA AJABU HAMNA MTU ALIYEWEZA KUHOJI. JAMBO LINGINE NI LILE LA KUTUMBAZA KUCHAGUA RAIS KWA KUTUMIA KIVULI KAMA MPINZANI
Kwenye karatasi kura kuna picha ya mwl na kisanduku chenye kivuli cheusi
Sasa unaambiwa mchague rais kati yavkivuli na mwl. ZILIFANYIKA CHAGUZI HEWA PESA ZA UCHAGUZI ZILIPOTEA BURE. Huyo jamaaa alijifanya kuwa yy cio mroho wa madaraka kwanini alikaa madarakani kwa miaka25 na kuendesha inch kama mali yake leo anatuachia mitihani
.jiulise mwalimu alikuwa na nguvu gani kama hakuwa kigagula kwanini watu walimuogopa hivyo?
 
mwinyi aliruhu iwepo Tanganyika,moto ukawaka,malecela akaambiwa kamshauri rais vibaya,alisemwa hadi akatungiwa na kitabu.

Mwinyi nae alisemwa hadi zoezi likasitishwa.
Jk nae ameruhusu mjadala na amewachia wananchi waamue mfumo wanaoutaka.


Jadili kulingana na uzito wa hoja sio kulalama, soma maandishi mekundu tafakali halafu uliza kama hujaelewa.


quote_icon.png
By adolay

1. Kwahiyo Ally Hassan Mwinyi na kikwete siyo waislam ila wewe na kundi lako?

2. Kama kikwete na mwinyi niwaislam vip wasiitumie nafasi ileile alokuwa nayo Nyerere kuuunda chama/Jumuiya nyingine?

3. Mnaitetea hoja ya serikali mbili nyinyi kwakisingizio cha umoja, hili lakujiona wewe nimwislam zaidi kuliko wengine sio ubaguzi? nahapa ndipo wanafiki utakapo waona wanaojadili mambo kidinidini na chuki za udini vichwani.

Hayo ndo tunayaita majungu na udini, Nyerere anaonekana hawa vipi nani kawazuia kufanya mabadiliko? (kikwete na mwinyi) Maana yake nikwamba hakuna ukweli kwenye hoja ya kumlaum nyerere ilhali maraisi wengine katika nafasi ileile wangeweza kufanya marekebisho isipokuwa udini na chuki binafsi.
 
Tundu Lissu ni smart lawyer na very good mwanaharakati but he is a lousy politician....huwezi mtukana Nyerere na isi ku cost

Kwanini Nyerere hawezi kutukanwa,Nyerere alikuwa mwanasiasa kama wanasiasa wengine,kwanini aseme uongo kuhusu mungano kwanini aseme kuwa "kama wazanzibari watakataa mungano hatowapiga mabomu lakini Aboud Jumbe alipohoji kuhusu mungano akamweka ndani,akamvua uraisi na uanachama wa CCM",,,Nyerere alikuwa sio nabii alikuwa muongo kama wanasiasa wengine,period
 
Back
Top Bottom