Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu


Shikamoo Mkuu Kombesana!

Unasemaa!?...

Tuko pamoja Mkuu!

Ahsanta.
 

Mkuu nimekusoma!

Takriban hayo yoote nakubaliana na weye!

Tatizo lililopo hata huyo kilaza Tundu Lissu pia anatumika tu kwa maslahi ya mmiliki wa Chadema!

Hakuna chochote/lolote jipya alilozungumza Tundu Lissu...ambalo sisi wangine hatujawahi kulizungumza humu-JF na kwingineko!

Unyama,uharamia na uzandiki wa Nyerere unafahamika kwa myaka yoote ya maisha yake yule Mzee wa Kizanaki!

Tatizo ni yakua huyo Lissu na Chadema yake...nao pia hawana credibility wala integrity ya kuzungumzia urongo,uzandiki,unafiki,kuchafuana kisiasa na uharamia mwangine...sababu hiyo pia ndo michezo ya hao Chadema,au!?

Ahsanta.
 
Mkuu wa Chuo,

Napenda kuona siku hizi unajitambua japo kiduchu na unaacha kuwa mfia Unyerere!? Well done!

Sasa mbona unaanza kuniita mie muongo!?...badala ya yule Nyerere kama tulivyojuzwa na Tundu Lissu!? Daah!

Acha kujichosha pumzi/vijiguvu vyako kiduchu ulivyobaki navyo...kwa ati kujibizana na mie!

Wewe ukiwa kama ex-mfia Unyerere...je unakubalina na hoja/shutuma za Tundu Lissu dhidi ya Baba wa Taifa!?...yakua Julius Nyerere ati alikua fataani,mrongo alokubuhu,fitna,mnafiki,mzandiki...aliyeishi kwa maisha na mambo ya kunyonga,sababu mambo ya kuchinja/ya ukweli alikua hayajui!? Duuh!

Acha cheap excuses na triangular explanations...Watanzania soote,hata sisi tulioko huku vijijini...basi tumemsikia huyo Mbunge wenu wa Chadema akiivua nguo maiti ya Baba wa Taifa!? Daah!

Sasa,weye endelea tu kujitoa ufahamu! Teeeh! Teeeh! Teeeh!

Shukran na Ahsanta sana!
 
Mkuu wa Chuo,

Kwa context ya hiyo bayana yako dhaifu hapo juu...je unaamisha yakua Bwana mleta mada,Mkuu Ng'wamapalala...ndie mrongo na mfitinishi!? Na sio yule Julius Nyerere,kama tulivyoaminishwa na Tundu Lissu!? Duuh!

Weye na wenzio nakhis hoja zenu ni muflis...na labda mmeamua kuja hapa na kumbughudhi/kumchafua tu Mkuu Ngw'amapalala,au!?

Kipi alichoongeza au kutia chumvi...ambacho yule Tundu Lissu hakukisema dhidi ya Nyerere!?

Si amejaribu kukuwekeeni mpaka link ya mumsikize neno kwa neno,au!?

Mbona Mkuu wa Chuo nawewe unataka kuwa wale vilaza wangine!? Daah!

Mie nakustahi mno Mkuu na pia nathamini baadhi ya michango yako...kwa hiyo jaribu kuwa objective!

Mbona mwenyewe Yericko Nyerere...ambae ndo mtoto wa damu/wa kumzaa mwenyewe Nyerere,haonekani kushughulishwa saana
kama weye Kamanda,inakuwaje hii!?
 
Mkuu wa Chuo,

Kama unamuona yule Tundu Lissu ati hawezi kupewa Darsa maridhawa na Mkuu FaizaFoxy...hilo nakwacha nalo utafakuri zaidi!

Yaani unataka mpaka nikuwekee na picha hapa!? Daah! Chadema bana!
 

Mkuu mpaka umejibu hivo kweli TL kawashika.
Mnarukaruka tu Kama mahindi kwenye kikaango.
 
Na Wewe acha umbea wamekwambia kuwa wamesikitika au unaandika ili na wewe uongeze post humu.
 
Mkuu wa Chuo,

Kwa context ya hiyo bayana yako dhaifu hapo juu...je unaamisha yakua Bwana mleta mada,Mkuu Ng'wamapalala...ndie mrongo na mfitinishi!? Na sio yule Julius Nyerere,kama tulivyoaminishwa na Tundu Lissu!? Duuh!
Mkuu gombesugu mleta mada ameleta mada ya uchonganishi kwa sababu ametia fitina kuna mada nyingi zimeongelea alichosema Tundu Lissu ila huu ni uchambuzi wa mleta mada, kwa sababu kama kumsikia Tundu Lissu wote tulimsikiliza wala sio alisikia yeye mwenyewe sasa yeye amekuja na uchambuzi wake yaani amefasiri alivyoelewa yeye na lengo la mleta mada limefanikiwa, anajua lengo lake
Weye na wenzio nakhis hoja zenu ni muflis...na labda mmeamua kuja hapa na kumbughudhi/kumchafua tu Mkuu Ngw'amapalala,au!?
Hapana sio kwamba tumekuja kumchafua mleta mada licha ya hivyo mleta mada hajulikani ukiongelea Ng'wamapalala wapo wengi sasa hapo sijajua mleta mada atakuwa amechafuka vipi!?

Kipi alichoongeza au kutia chumvi...ambacho yule Tundu Lissu hakukisema dhidi ya Nyerere!?
Tundu Lissu hakusema Nyerere amezoea kuishi kwa uongo na udanganyifu kama kichwa cha habari cha mleta mada kinavyosema
Si amejaribu kukuwekeeni mpaka link ya mumsikize neno kwa neno,au!?
Sio kwamba Tundu Lissu aliongelea hivyo vitu mafichoni ina maana wote wanaokataa wameangalia ufafanuzi wa Lissu na wala sio kwamba mleta mada alisikia yeye mwenyewe tu...
Mbona Mkuu wa Chuo nawewe unataka kuwa wale vilaza wangine!? Daah!
Vilaza gani tena hao mkuu gombesugu?
Mie nakustahi mno Mkuu na pia nathamini baadhi ya michango yako...kwa hiyo jaribu kuwa objective!
Sawa mkuu ila hapa tunajaribu kuwa objective na mleta mada pia anatakiwa kuwa objective pia
Mbona mwenyewe Yericko Nyerere...ambae ndo mtoto wa damu/wa kumzaa mwenyewe Nyerere,haonekani kushughulishwa saana
kama weye Kamanda,inakuwaje hii!?
Kama vipi mkuu gombesugu uwe unatembelea pia jukwaa la great Thinkers uone michango ya watu imeenda shule, utakutana pia na duru za siasa kule na michango mingi iliyonenepa, hapo kwa Yericko Nyerere nadhani una kitu unakitafuta maana nyote wawili mnafahamiana wenyewe, halafu una hoja za kichokozi sana...
 
Last edited by a moderator:
Inasikitisha sana kuona watu wanamtukana jaji Warioba kwa sababa tu hawaafiki yale yaliyomo ndani ya rasimu ya katiba, ukiangalia kwa undani utaona watu wanaodiriki kutoa maneno ya kashifa kwa tume ya Warioba ni watu ambao hata kufikiri kwao ni kudogo sana, tume ya Warioba ilijaa watu wenye "HEKIMA NA BUSARA" NI WATU AMBAO NI HAZINA YA NCHI HII, na waliteuliwa na Raisi kwa kuangalia uwezo wao na uzoefu wao, hivyo kwa kuikashifu tume ya Warioba inamaana mnamkashifu aliye wateua, Watu wandiriki kusema kuwa takwimu za tume si sahii, wanauhalali gani wa wao kutuambia hivyo kama si upotoshaji mkubwa.
 
Ndio maana TBC wakakatasha matangazo!!!!
 
Tundu Lissu ni smart lawyer na very good mwanaharakati but he is a lousy politician....huwezi mtukana Nyerere na isi ku cost

Tatizo lenu nyerere mnamuona kama malaika hanamakosa, ndio maana ukwli wowte unaomhusu Nyerere mnona ni matusi.

Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
 

Uko sawa Mkuu,matatizo hapa ni baadhi ya wanasiasa kumtanguliza Nyerere kwa kila kitu,wanamfanya Nyerere kama mtume hawajui kila kitu kina wakati wake Nyerere alitawala kwa wakati wake huu ni wakati mwengine
 

Mkuu, hiyo ndio siasa, Chadema wanajua fika kuitoa CCM katika madaraka lazima wawe pamoja na wazanziabri lazima wamkosoe Nyerere na utawala wake

Lissu ni mwanasheria makini yuko bungeni kutetea mteja wake chadema 🙂
 

Wacha nisubiri mavuno yake...... Wahehe husema "pakulya si pakusembea"
 
Namkubali Nyerere na nitaendelea kumkubali kwa aliyoyafanya katika nchi hii......
 
Borrow trouble for yourself,if that's Your nature,but don't lend it to your neighbours.. napita tu..
 
Umeamua kuchagua hayo ya nyerere tu!? Je akina mwakyembe walioandika kitabu kuja kukana kwa midomo? Je kina Shifji na ukosefu wa uti wa mgongo kwa kupinga yale aliyoamini na kuwachechemua Zenji? Je wale wasomi wa vyuo vyote TZ waliokaa na kuandika andiko la serikali tatu sasa wanatumiwa kama magogo ya chooni kuandika tena serikali mbili!! MAGOGO YA CHOONI YAKO MENGI!! ukiwepo wewe mtoa mada uliyejikita kwenye sehemu moja ya Nyerere tu!! pole huna wafuasi!!! Wa kuantagonize na LISSU!!
 

Hebu soma kichwa cha habari cha hii nyuzi halafu kinukuu hapa. Wacha porojo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…