Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

Mkuu sitaki kupinga au kukubaliana na hoja yako mimi ninakusudia hapo kwenye Red
sijui amani hiyo ni kwa kina nani? Maana mimi natembea na Mkongojo kwani nimewekewa
chuma kwenye mguu wangu baada ya vipigo vya polisi, si hivyo tu kuna ndugu yangu ambaye
alikuwa mjamzito pale Mtwara mjini alipigwa risasi na polisi na akapoteza maisha sijui ni
amani gani unaizungumzia?

pole sana mkuu hakuna amani kunna utulivu
 
Mungu anatukanwa kila siku, na watu kama akina Kingunge, wanadiriki kukebehi na kusema Mungu hayupo, sembuse Nyerere kutukanwa! Nyerere ni nani asitukanwe????? Yeye ni zaidi ya Mungu!!!!???? Nyakati za "Zidumu fikra za Mwenyekiti", zilikwisha kuzikwa kaburini!!!!!!!
 
acha kuwa mjinga ww nyerere hakuwa maraika hata yeye alisema amefanya mengi mazuri na yakijinga sasa wa2 wanafata ya kijinga wanaacha mema ndo maccm wanafata ya kijinga wanaacha mema
 
kwa watu waliosoma saikolijia au
ile saikolojia ya
kuzaliwa...ukimtazama Lissu kwa
umakini usoni tu utaona ana tatizo
kubwa sana kwenye akili...sijajua
ni ugonjwa gani.
 
Lisu ni mropokaji. Wala hafikirii mambo ayasemayo, ni mpuuzi tu. Mimi sina chama Ila alichoongea kimemshushia heshma yake na chama chake.
 
Lisu ni mropokaji. Wala hafikirii mambo ayasemayo, ni mpuuzi tu. Mimi sina chama Ila alichoongea kimemshushia heshma yake na chama chake.

vitu vingine kama hujui kaa kimya,
swali dogo kama huna chama huyu lisu anakushughulidha nanini? huo niupuuzi mtupuuuuu.haya post hayo matus tuyaone au umesikia habar TBC, weka naakir yako japo kidogo!
 
Katika wanasiasa ambao wametokea kuwa wa ajabu tanzania Lisu naye ni mmoja wapo,Lisu amekuwa mpotoshaji mkubwa,muongo,mzushi,mchochezi na mnafiki.

Hivi karibuni amekuja na jambo jipya la kutukana na kukejeli viongozi wote wa kitaifa bila kujali michango yao waliyoitoa katika jamii.

Lisu kwa mda mrefu amekuwa kinala wa kutengeneza majungu ndani ya chadema kuwafitinisha wenzake kwa mbowe ili yeye apande chart ndani ya chadema rejea alivyopika majungu kumchongea zitto,kitil na mwigamba ili tu waonekane hawafai.

kwa tabia hii ya lisu tumweke kundi gani ili aweze kuwa kwenye hilo kundi na jamii ijue kuwa sasa yupo kwenye hilo kundi kwakuwa kwenye kundi la wabunge kamwe hastahili tena.
 
Mnaosumbuka na lisu nawashangaa sana Lisu mnajua hayuko sawa tatizo lake kigwangala aliweka wazi najua bado halijaisha hivyo msishangae kabisa.
 
Tueleze kwanza wewe uu katika kundi gani ili tujue kama unastahili hata kusogea alipo Lissu.
 
kama ilivyo kwa mbowe, lisu pia ni moja ya watu ambao wanatoa mchango mkubwa katika kuiangamiza chadema. Wakati mwngne huwa ana hoja nzuri lakn huwa anazipresent kwa kukurupuka na jazba nyingi akidhani yeye anaelewa kuliko wengne wote!
 
Katika wanasiasa ambao wametokea kuwa wa ajabu tanzania Lisu naye ni mmoja wapo,Lisu amekuwa mpotoshaji mkubwa,muongo,mzushi,mchochezi na mnafiki.

Hivi karibuni amekuja na jambo jipya la kutukana na kukejeli viongozi wote wa kitaifa bila kujali michango yao waliyoitoa katika jamii.

Lisu kwa mda mrefu amekuwa kinala wa kutengeneza majungu ndani ya chadema kuwafitinisha wenzake kwa mbowe ili yeye apande chart ndani ya chadema rejea alivyopika majungu kumchongea zitto,kitil na mwigamba ili tu waonekane hawafai.

kwa tabia hii ya lisu tumweke kundi gani ili aweze kuwa kwenye hilo kundi na jamii ijue kuwa sasa yupo kwenye hilo kundi kwakuwa kwenye kundi la wabunge kamwe hastahili tena.
Mwekeni kundi la Amfibia pengine huko atafiti Lisu anapotosha kila siku anakipotosha na chadema kumbuka sakata la zito alivyowapotosha eti zitto akiondoka chama kitakua mara dufu sasa kinakufa kifo cha mende.
 
Katika wanasiasa ambao wametokea kuwa wa ajabu tanzania Lisu naye ni mmoja wapo,Lisu amekuwa mpotoshaji mkubwa,muongo,mzushi,mchochezi na mnafiki.

Hivi karibuni amekuja na jambo jipya la kutukana na kukejeli viongozi wote wa kitaifa bila kujali michango yao waliyoitoa katika jamii.

Lisu kwa mda mrefu amekuwa kinala wa kutengeneza majungu ndani ya chadema kuwafitinisha wenzake kwa mbowe ili yeye apande chart ndani ya chadema rejea alivyopika majungu kumchongea zitto,kitil na mwigamba ili tu waonekane hawafai.

kwa tabia hii ya lisu tumweke kundi gani ili aweze kuwa kwenye hilo kundi na jamii ijue kuwa sasa yupo kwenye hilo kundi kwakuwa kwenye kundi la wabunge kamwe hastahili tena.

hata 'mashoga' huwa wanaanza kama hivi. Ujue mtu ukishakuwa na some frequencies of 'mbebez' genes ni kazi sana!!..
 
kama ilivyo kwa mbowe, lisu pia ni moja ya watu ambao wanatoa mchango mkubwa katika kuiangamiza chadema. Wakati mwngne huwa ana hoja nzuri lakn huwa anazipresent kwa kukurupuka na jazba nyingi akidhani yeye anaelewa kuliko wengne wote!
Kweli mkuu Lisu anaamini kuwa yeye anajua kila kitu hali ambayo imefanya kuwabeza wenzake wote ndiyo maana hata ripoti ya wachache alikatalia aandike zote yeye kana kwamba wengine hawana uwezo kabisa.
 
hata 'mashoga' huwa wanaanza kama hivi. Ujue mtu ukishakuwa na some frequencies of 'mbebez' genes ni kazi sana!!..
Kwakuwa familia yenu ndivyo mlivyo usidhani kila mtu anapenda hayo mambo sijui kwa sasa wewe uko kwa nani nakumbuka ulikuwa na mbunge mmoja ya arusha amekuacha?
 
Lissu amewaamsha ambao walikuwa kwenye usingizi mzito huku wamefunikwa Kwa blanket zito la chuma. hongera sana Lissu.
 
Back
Top Bottom