Bavicha bana,Lisu anaipotosha na kuichafua chadema Lakini bavicha hawalioni hilo kila kitu wanachekelea ngoja mtayaona matokeo yake.Tueleze kwanza wewe uu katika kundi gani ili tujue kama unastahili hata kusogea alipo Lissu.
Kwakuwa familia yenu ndivyo mlivyo usidhani kila mtu anapenda hayo mambo sijui kwa sasa wewe uko kwa nani nakumbuka ulikuwa na mbunge mmoja ya arusha amekuacha?
Bavicha bana,Lisu anaipotosha na kuichafua chadema Lakini bavicha hawalioni hilo kila kitu wanachekelea ngoja mtayaona matokeo yake.
Katika wanasiasa ambao wametokea kuwa wa ajabu tanzania Lisu naye ni mmoja wapo,Lisu amekuwa mpotoshaji mkubwa,muongo,mzushi,mchochezi na mnafiki.
Hivi karibuni amekuja na jambo jipya la kutukana na kukejeli viongozi wote wa kitaifa bila kujali michango yao waliyoitoa katika jamii.
Lisu kwa mda mrefu amekuwa kinala wa kutengeneza majungu ndani ya chadema kuwafitinisha wenzake kwa mbowe ili yeye apande chart ndani ya chadema rejea alivyopika majungu kumchongea zitto,kitil na mwigamba ili tu waonekane hawafai.
kwa tabia hii ya lisu tumweke kundi gani ili aweze kuwa kwenye hilo kundi na jamii ijue kuwa sasa yupo kwenye hilo kundi kwakuwa kwenye kundi la wabunge kamwe hastahili tena.
Lisu ni sawa na ikulu yote. Ikulu hawajaalala tangu LIsu azungumze. CCM wote Ushuzi tu unawatoka. LIsu ni jeshi la amtu mmoja.
Na ulijiondoa CCM kwa kosa la nani?Sikutegemea kwa mtu mzima Kama lisu kumtusi muasisi Wa taifa. Alitakiwa kujenga hoja,na kwa njia ta matusi. Tumesononeka sana sisi watanzania,kauli ya mtusi mwalimu haivumiliki. Ningekuwa mimi ndio mkono Wa dola, ningechukua hatua mathubuti. Si kila kitu kazima useme, pima tumia hâta busara ya kawaida. Tunamheshimu mwl na bado tunampenda. Amani unayoiona si kwa bahati mbaya. Karibu kujizuia kwa baadhi ya mambo. Huwezi hâta kidogo wewe lisu kujilinganisha na mwl. Linda heshima yako na chama chako. Kila kona wanasema umekosea. KAzi njema.
Kwakuwa familia yenu ndivyo mlivyo usidhani kila mtu anapenda hayo mambo sijui kwa sasa wewe uko kwa nani nakumbuka ulikuwa na mbunge mmoja ya arusha amekuacha?
Sina baba mwenye faili milembe mie tuheshimiane mkuu.Mweke ktk kundi la mmoja wa baba zenu, kama sio wewe basi wadogo zako.
Nani kakwambia kuwa mimi mwanaume unakurupuka bila kujua hata unachojadili kwenye kinywa chako.si unaona sasa!..kumbe ushakuwa 'shemale mbebez'. Huna genes za kiume wewe!..mwanaume halisi huwa hana mipasho!!
Lissu ni Disappointment! Na amejitengenezea mazingira ya kutokushauriwa. Hivyo kama Bulldozer huyooo akiharibu mambo. Nimemtafakari sana napata majibu mengi sana juu yake. Na kama anategemewa kwa ushauri basi hata wenyewe hawajui wanachokifanya.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums