Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

Tueleze kwanza wewe uu katika kundi gani ili tujue kama unastahili hata kusogea alipo Lissu.
Bavicha bana,Lisu anaipotosha na kuichafua chadema Lakini bavicha hawalioni hilo kila kitu wanachekelea ngoja mtayaona matokeo yake.
 
Kwakuwa familia yenu ndivyo mlivyo usidhani kila mtu anapenda hayo mambo sijui kwa sasa wewe uko kwa nani nakumbuka ulikuwa na mbunge mmoja ya arusha amekuacha?

si unaona sasa!..kumbe ushakuwa 'shemale mbebez'. Huna genes za kiume wewe!..mwanaume halisi huwa hana mipasho!!
 
Bavicha bana,Lisu anaipotosha na kuichafua chadema Lakini bavicha hawalioni hilo kila kitu wanachekelea ngoja mtayaona matokeo yake.

walishanyweshwa viroba vya lema wakalewa, ni wazee wa "ndiyo mzee"
 
Katika wanasiasa ambao wametokea kuwa wa ajabu tanzania Lisu naye ni mmoja wapo,Lisu amekuwa mpotoshaji mkubwa,muongo,mzushi,mchochezi na mnafiki.

Hivi karibuni amekuja na jambo jipya la kutukana na kukejeli viongozi wote wa kitaifa bila kujali michango yao waliyoitoa katika jamii.

Lisu kwa mda mrefu amekuwa kinala wa kutengeneza majungu ndani ya chadema kuwafitinisha wenzake kwa mbowe ili yeye apande chart ndani ya chadema rejea alivyopika majungu kumchongea zitto,kitil na mwigamba ili tu waonekane hawafai.

kwa tabia hii ya lisu tumweke kundi gani ili aweze kuwa kwenye hilo kundi na jamii ijue kuwa sasa yupo kwenye hilo kundi kwakuwa kwenye kundi la wabunge kamwe hastahili tena.

Mweke ktk kundi la mmoja wa baba zenu, kama sio wewe basi wadogo zako.
 
Lisu ni sawa na ikulu yote. Ikulu hawajaalala tangu LIsu azungumze. CCM wote Ushuzi tu unawatoka. LIsu ni jeshi la amtu mmoja.
 
Lissu tumweke kundi la watu wenye siasa kali sana kwa wenzetu wanaita Right wing Extremist!
 
Magamba wame zoea na wamelemaa kuwa fikra za mwenyekiti zidumu hata kama ni mbovu,so nyerere mwenyewe alisema katika utawala wake kuna ya maana na yakijinga,so yale ya kijinga ukawa lazima wayaseme
 
Kauli za lisu zitarudi kuwang'ata cdm kwenye kampeni
 
Lissu ni Disappointment! Na amejitengenezea mazingira ya kutokushauriwa. Hivyo kama Bulldozer huyooo akiharibu mambo. Nimemtafakari sana napata majibu mengi sana juu yake. Na kama anategemewa kwa ushauri basi hata wenyewe hawajui wanachokifanya.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Toka wewe sisi tuingie .hakika kuna mamburukenge wengi tanzania
 
Sikutegemea kwa mtu mzima Kama lisu kumtusi muasisi Wa taifa. Alitakiwa kujenga hoja,na kwa njia ta matusi. Tumesononeka sana sisi watanzania,kauli ya mtusi mwalimu haivumiliki. Ningekuwa mimi ndio mkono Wa dola, ningechukua hatua mathubuti. Si kila kitu kazima useme, pima tumia hâta busara ya kawaida. Tunamheshimu mwl na bado tunampenda. Amani unayoiona si kwa bahati mbaya. Karibu kujizuia kwa baadhi ya mambo. Huwezi hâta kidogo wewe lisu kujilinganisha na mwl. Linda heshima yako na chama chako. Kila kona wanasema umekosea. KAzi njema.
Na ulijiondoa CCM kwa kosa la nani?

Na usiporudi CCM unaenda wapi?

Ohh jamani where is our BRAIN?
 
Lisu ni mbunge wa nusu karne amekifanya kile ambacho watangulizi wake walishindwa kukifanya kwa kipindi cha miaka 50.Kwa mara ya kwanza na kwa watanzania tuliowengi Lisu ametufanya kuiona hati ya muungano baada ya kutolewa na serekali ya CCM iliko kuwa imefutikwa wakati ilikuwa ni mwiko kuonyesha hati ya mkataba hadharani mwiko ambao kwa mara ya kwanza Lisu amefanikiwa kuuvunja.
 
Kweli nilisikia jana kiboko yao mmoja akisema hatuwezi kuingia kwenye serikali tatu kwani ni garama alafu na mikopo ipo kwa masharti ambayo sisi wengine hatuyawezi, ahaa ok kwa hiyo naanza kukubaliana na mwigulu.
Kwakuwa familia yenu ndivyo mlivyo usidhani kila mtu anapenda hayo mambo sijui kwa sasa wewe uko kwa nani nakumbuka ulikuwa na mbunge mmoja ya arusha amekuacha?
 
Lisu kawa mwanasiasa mwenye nidhamu na kutokurupuka kwenye kazi zake zaidi ya kuongea kwa kuruka ruka na kejeli kwa wengine.
 
si unaona sasa!..kumbe ushakuwa 'shemale mbebez'. Huna genes za kiume wewe!..mwanaume halisi huwa hana mipasho!!
Nani kakwambia kuwa mimi mwanaume unakurupuka bila kujua hata unachojadili kwenye kinywa chako.
 
Lissu ni Disappointment! Na amejitengenezea mazingira ya kutokushauriwa. Hivyo kama Bulldozer huyooo akiharibu mambo. Nimemtafakari sana napata majibu mengi sana juu yake. Na kama anategemewa kwa ushauri basi hata wenyewe hawajui wanachokifanya.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

hapo kwenye red umenigusa sana, na hii inatokana na kujifanya kujua zaidi kuliko wengine
 
Back
Top Bottom