Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
fikra gani ipo hai hiyo?
Kwa hoja zako najikuta nampongeza Musiba mkuu,aendelee tu kuwasema wazee.Aah, bwana kweli kabisa?
Tatizo lenu wengi mnadhani ni "taboo" kuwasema viongozi waliopita kwa makosa yao kwa lengo la kujifunza ili kizazi cha Leo kisijefanya makosa kama hayo....
Ikitokea hivyo, mnadhani na kutaka kuaminisha watu kuwa, huko ni kutukana....!!
Hakuna tusi lolote hapo. Kama alivyoainisha mleta mada, alichokisema Tundu Lissu karibu miaka 6 iliyopita ni kile ambacho kinaonekana kama mwiko (taboo) kwa wengi....
Thanks to Tundu Lissu because he has broken that damaging taboo!!
Tundu Lissu asubiri adhabu popote na wakati wowote sio leo wala kesho! Amuombe radhi Mwalimu Nyerere kupitia familia yake na awaombe radhi Watanzania
AminaLaana ya kumtukana baba wa taifa itakuandama milele
Laana inapatikana kwa wazazi.Laana ya kumtukana baba wa taifa itakuandama milele
Wanasiasa wote werevu huwa wanajitenga na mtego wa kutoa maoni hasi kwa waasisi wa Mataifa yao.Neno Hilo halikuamatana na laana kweli?
Hata kwenye hili mkuuSijawahi kukosa kumuamini Lissu.
Tusome kitu then tuchambue, tuanze na namba moja, hati ya Muungano ipo?Hata kwenye hili mkuu
Mkuu, hata kama, Hilo haliwezi kuondoa heshima yake Kwa jinsi alivyolipigania hili Taifa, yeye Tundu Lisu alikuwa wapi, je wazazi wake mbona hawatajwi? Halafu iwe rahisi tu kumvunjia heshima huyu babaTusome kitu then tuchambue, tuanze na namba moja, hati ya Muungano ipo?