Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
fikra gani ipo hai hiyo?
Nyerere aliweka msisitizo katika dhana ya umoja na upendo. Mabara yote yanafanyika kila liwezekanalo ili nchi ziungane, wazungu wanawashangaa sana waingereza wanavyojitenga.
Hotuba ya Nyerere ya 1995 March ni kama ya mwaka huu...ujumbe wake unaishi.