Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

Ng'wanampalala acha kujenga hoja mfu na kutaka public sympathy, weledi wa Tundu Lissu haufananishwi na wasomi wowote walio ndani ya ccm kwani ni mtu mwenye kwenda na fact na huwa na defending points, rejea hotuba ya mwalimu nyerere kuwa yeye sio malaika na kkuna sehemu yawezekana alikosea aliomba asamehewe, na kushauri watu wafate mazuri aliyoyafanya na sio mabaya aliyoyafanya, Sasa kuna wavivu wa kufikiri mnaleta tafsiri za kupotosha, h
Miaka 6 iliyopita kabla ya MATAGA kuwepo duniani[emoji1787][emoji1787]
 
Hakuna lolote linalo wapa msukumo wa kumjadili t.lissu bali ni upeo finyu wa kutafakari mambo.
Mimi mwenyewe ni mfuasi na mkereketwa wa siasa za j.k nyerere lakini kwa uchambuzi makini wa jana inanipa muono fulani kuwa uongozi unapande mbili.
1.mema kwa umma kwa manufaa ya wengi.
2.ubaya kwa wachache ili kujenga taifa lililo imara.
Hivi ndivyo mwalimu nyerere alifanya na kwa kipindi hiki cha kutoka kwenye makucha ya wakoloni wa ulaya na arabuni ili kuwa ni sahihi.
Wakati kwa kipindi hichi cha kupambana na mkoloni mweusi c.c.yem pia tundu lissu yuko sahihi kurejea mapungufu yaliyojitokeza ili kuweka mambo sawa kwa watanzania,
na itusaidie kupata katiba bora itakayoweza kudumu zaidi ya miaka 100.
Viva tundu lissu.
Jiwe walilokataa waashi
 
Kwa mtazamo wako hafifu, ila kwa fikra za wenye busara ni kauli hii ni tusi kubwa Sana kwa muasisi wa Taifa letu.

Muanzilishi wa Chadema mwenyewe mzee mtei ingawa alikuwa na tofauti na Nyerere lakini anakiri kauli hii ni mbaya sana na hakufurahishwa nayo.
Kwa mtazamao wako hafifi naomba.nikuulize nyerere MUNGU au binadamu?
 
Tundu Lissu anasoma na kufanya reference wengine ni watetezi wa tumbo tu. Kila aliyempinga Lissu kwa hili anaendeleza kuishi katika uongo
 
Sasa hivi anatambua eti Nyerere alijenga Reli
Ushamba uliopitiliza huu! Kwahiyo kwakuwa jiwe anakujengea barabara hutakaa uamini kwamba anaishi akisema uongo ilhali alitudanganya kashusha bei ya sukari, katengeneza ajira milioni 8, maendeleo hayana chama, etc?
 
Ushamba uliopitiliza huu! Kwahiyo kwakuwa jiwe anakujengea barabara hutakaa uamini kwamba anaishi akisema uongo ilhali alitudanganya kashusha bei ya sukari, katengeneza ajira milioni 8, maendeleo hayana chama, etc?
Kama anaamini hivyo anajipendekeza kwa sababu zipi?
 
Leo anajifanya anamheshimu hii ndio sifa kuu ya Tundu Lissu ya ukigeugeu
TAL sio size yenu MATAGA. Ukipata nafasi ya kumuuliza kuhusu hilo alilolisema wakati huo na katika muktadha huo atakufafanulia vizuri. Nina uhakika hatakana kuwa hakusema. Atakiri alisema na kukupa ufafanuzi mzuri sana. Nyerere hakuwa malaika, alifanya makosa mengi kama alivyofanya mazuri mengi, na hiyo haiwezi kutuzuia kujadili makosa aliyofanya ili tusiyarudie. Yeye mwenyewe akiwa mstaafu alikuwa akirudiarudia kutaja makosa ya wakati wa utawala wake. Sasa nyie MATAGA mnataka sote tuamini katika fikira za kijima kwa Nyerere alikuwa malaika, mungu-mtu kama Magufuli anavyotaka kujifanya!!!!
 
Back
Top Bottom